Tychob
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 4,221
- 5,560
Endelea kuchukia politics ukizani ndo unatatua tatizo.Hakika 100%, mm siwachukii ccm peke yao, I REALLY HATE THE WHOLE THING CALLED POLITICS
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kuchukia politics ukizani ndo unatatua tatizo.Hakika 100%, mm siwachukii ccm peke yao, I REALLY HATE THE WHOLE THING CALLED POLITICS
Mkuu watz ni waoga wa mabadiliko na wabinafsi .Za kuambiwa changanya na zako, ni lini uliwaona wameshika hatamu wakafanya haya haya!?
Kuna vitu ni rahisi kuvielewa, lakini inashangaza kuona ni vigumu kueleweka!! Kusema tu "haya haya" maana yake ni mabaya (hatuyataki). Sasa ni kipi tunachong'ang'ania kuwa na walewale wanasababisha "haya haya"?! Nitoe mfano: Kipindi hiki cha corona, mtu akiumwa akaenda hospitali, asipopata tiba, ni wazi atarudi nyumbani, na kwa hakika hata kujifukizia atajifukizia. Na akijifukizia, asipopona bado akiambiwa arudi hospitali (hata kama mwanzo hakupata tiba) atarudi tu. Tupo na wale wale wanaotufanyia "haya haya" miaka yoote, lakini wanakuja "wenye kutuhubiria tiba mbadala" hatutaki kujaribu, tunajisemea (au tunasemewa na wale wale wanatufanyia "haya haya") kuwa hata hao "wanaojitapa kuwa wa tiba mbadala" watafanya "haya haya". Khaa Watz!!!
the onemkuu usiongee story za vijiweni..ungekuwa daktari ungejua a,b,c za taaluma zetu..hakuna upumbavu unaoitwa hofu ya mgonjwa kwa daktari mwenye vifaa.
Madaktari wamesikiliza maneno ya mitandaoni kuwa Hali ni mbaya kwanini wasiogope?.
maana huku mitandaoni kila mgonjwa anaepelekwa hospital wanasema ana corona kila mtu akifa wana sema ana corona kwanini wasiogope.
TUBADILIKE SISI KWANZA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni kwamba haitatokea tukaongea lugha mojaWananchi tukiongea kwa lugha moja hao wanasiasa watakaa sawa tu, Ila tukiendelea kuwa hatujielewi wataendelea kutuburuza.
Hao wa presha za kushuka unawakorogea kahawa kikombe kimoja na ikibidi unamchochea na konyagi ndogo mpaka jasho
Unaweza kwenda na matatizo ya kapresha ka kushuka unarudi na kacorona
Madaktari wamesikiliza maneno ya mitandaoni kuwa Hali ni mbaya kwanini wasiogope?.
maana huku mitandaoni kila mgonjwa anaepelekwa hospital wanasema ana corona kila mtu akifa wana sema ana corona kwanini wasiogope.
TUBADILIKE SISI KWANZA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni kwamba haitatokea tukaongea lugha moja
Siku nyingine unamrekodi na unamtupia mtandaoni tu ili tumuone sura yake usije ukawa unalalamika kumbe umekutana na wakala wa shetani.Salamu wote. Corona imetuletea tafrani kubwa. Leo nimempeleka Muhimbili mgonjwa mwenye presha ya kushuka.
Alikuwa mahututi, hawezi hata kuongea. Kufika mapokezi dr mmoja (jina lake sikufanikiwa kulijua) aligoma kumpokea akidai kwamba twende hospitali ya Temeke au Mwananyamala.
Nikamuuliza dr kwa hali ya mgonjwa ilivyo huoni kama akichelewa kupata tiba yanaweza kutokea mengine. Jibu alilonipa nilichoka. Alijibu kwamba mgonjwa bado hajazidiwa na hawezi kumtibu hivyo tuondoke.
Sikuwa na jambo lingine la kufanya zaidi kumpeleka mgonjwa hospitali ya private. Siku hizi ukimpeleka mgonjwa hospitali nyingi (za serikali) akiwa mahututi, ma-dr na ma-nesi wanaogopa kumuhudumia, wanahukumu kwamba kila mtu ameambukizwa Corona.
Wizara ya afya imeshindwa kutoa huduma bora kwa wakati. Wagonjwa wengi wanakufa kwa kukosa matibabu.
Hayo nimeshuhudia kwa macho yangu leo tarehe 30 Machi, 2020 hospitali ya MUHIMBILI saa 7 mchana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya, siku ikitokea hivyo unishtue mkuuNo no usiseme haitatokea
It will when the conditions are met, kuongea lugha moja is absolutely Possible
I'm on that good kush and alcohol
Haya, siku ikitokea hivyo unishtue mkuu
Manesi na madaktari hawapigiwi kura, wanaajiriwa kulingana na taaluma walizosomea!!Halafu utawapigia kura watu hawahawa
Sikuzote kumbuka za kuambiwa changanya na za kwako...Madaktari wanajua kuliko wewe mkuu, kwanini haukumpeleka Temeke au M/nyamala?