Hivi ni kweli kina Mwigulu hawana akili au hawajui waongoze vipi? Kweli?Kuna masikini wa akili ambao ni viongozi wetu, hawa wamesoma lakini hawana maarifa ya kutuongoza, na masikini wa kipato ambao wengi ni wananchi.
Nani kawapa masharti?Ni Masharti ndiyo yanawafanya wawe na roho mbaya ila moyoni wananumia Sana ila watafanyaje sasa?.
Kuwa na akili halafu usijue namna ya kuzitumia, naona ni sawa na kuwa hauna akili tu, haiwezekani kwa mtu anayejielewa, akaendelea kushupaza shingo hata kama jamii yote inaona jambo tofauti nae.Hivi ni kweli kina Mwigulu hawana akili au hawajui waongoze vipi,? Kweli?!
Matumizi ya hizi kauli yameanza kunifanya niwaamini wale wanaoona 2025 Samia hatagombea Urais.Mh. Samia apaswa kujua eti, mwanangu na hilo nendeni mkalitizame, sio kauli ya kiuongozi.
Muhimu Sana hiliKATA MATUMIZI YOTE YASIYO YA LAZIMA, KABLA HATUJAKWAMA KAMA TAIFA.
Serikali imepunguza matumizi yasiyo ya lazima ili kufidia tozo tuache kulalamika tozo zimesaidia kuimarisha sekta muhimu ya afya na elimuHabari Watanzania wenzangu,
Kuna jambo ambalo naamini viongozi wetu huwa wanalipuuza wakifika kwenye viti hivyo.
Japo Tanzania ina utajiri mwingi sana, lakini Watanzania asilimia kubwa ni fukara sana.
Hii ni kuanzia kwa Mawaziri, Makatibu wakuu, viongozi wa Taasisi mbalimbali, Majaji, Bunge na Wabunge, Wawakilishi, Waziri Mkuu, Makamu na Rais; wote hawahisi kabisa magumu wanayopitia wananchi wengi waliopo ktk umaskini wa kutupwa.
Ukitaka kuthibitisha hili, angalia sera mbalimbali zinazotungwa na serikali. Haziakisi kabisa hali ya maisha ya Watanzania wengi!
SWALI: Shida ni nini?
Tuna sera za kijinga sana, tuna maamuzi mengi ya kipumbavu kweli kweli. Nchi imejaa mikorogano tu.
Ukiulizwa hii sera alitungiwa Mtanzania, hadi unahisi uchungu hadi moyo unataka kuchomoka.
Hawa akina Mwigulu, na Rais wetu Mh. Samia wana shida gani hasa?! Au shida ni vile ving'ora, au saluti wanazopigiwa, au misafara mikubwa mikubwa ile, Mbona hawaelewi kabisa uhalisia wa maisha ya WaTz wengi!
Niliwahi kusafiri hadi Bukombe, Geita huko. Nilimkuta Mwananchi mmoja, ameugua kweli, lakini kwa sababu alikuwa na Sh. 2000 tu. Hiyo hiyo anaitegemea kula, kuhudumia watoto, na kila kitu. Yule ndugu alichukua uamuzi wa kwenda kununua paracetamol (dawa za maumivu) za sh. 400/- ili ameze japo atulize maumivu ya mwili.
Watanzania wa aina hii wapo chungu mzima nchi hii. Mtu anaumwa, hana hela ya kumuona daktari, hana fedha ya vipimo, na wala uwezo wa kununua dawa. Anaamua kununua tu dawa za maumivu.
Si kwamba hapendi kutibiwa, la hasha, kipato kinakataa.
Nikuulize Mh. Rais Samia, huyu Mtanzania akitumiwa na ndugu yake sh 25,000/- aende hospital, mtumaji anakatwa tozo, na yeye akienda kutoa ana tozo. Rais wangu na wewe Dr. Mwigulu mnatengeneza Uchumi wa watu gani? Huu sio wa WaTz, labda mna watu wenu wengine mnaowawaza na kuwahudumia.
Ni wakati sasa Mh. Rais Samia ukate matumizi yote yasiyo ya lazima ndani ya serikali yako.
Haiwezekani Waziri, Naibu Waziri, Katibu mkuu, Wakuu wa Taasisi, Mamlaka mbalimbali, mkuu wa mkoa, n.k, atembelee gari ya thamani ya Tsh. 400 million, huku kuna Kijiji kizima hakina Zahanati, Kuna shule haina choo, kuna shule hawana madawati. Halafu unaweka Tozo kwenye sh. Elfu 10, unajiita Mzalendo, na tai ya rangi ya Tanzania unavaa. UNAFIKI!
KATA MATUMIZI YOTE YASIYO YA LAZIMA, KABLA HATUJAKWAMA KAMA TAIFA.
Watanzania ni fukara sana. Isipokuingia akilini hii, 2025 watakulazimisha upishe mwingine.
Anapenda haki ndio maana amepunguza amepunguza na kuondoa tozoAlafu eti wengine wanamwita Rais mpenda haki hapendi dhuluma
Masikini ni mtu mlemavu asiye jiweza kwa lolote.Habari Watanzania wenzangu,
Kuna jambo ambalo naamini viongozi wetu huwa wanalipuuza wakifika kwenye viti hivyo.
Japo Tanzania ina utajiri mwingi sana, lakini Watanzania asilimia kubwa ni fukara sana.
Hii ni kuanzia kwa Mawaziri, Makatibu wakuu, viongozi wa Taasisi mbalimbali, Majaji, Bunge na Wabunge, Wawakilishi, Waziri Mkuu, Makamu na Rais; wote hawahisi kabisa magumu wanayopitia wananchi wengi waliopo ktk umaskini wa kutupwa.
Ukitaka kuthibitisha hili, angalia sera mbalimbali zinazotungwa na serikali. Haziakisi kabisa hali ya maisha ya Watanzania wengi!
SWALI: Shida ni nini?
Tuna sera za kijinga sana, tuna maamuzi mengi ya kipumbavu kweli kweli. Nchi imejaa mikorogano tu.
Ukiulizwa hii sera alitungiwa Mtanzania, hadi unahisi uchungu hadi moyo unataka kuchomoka.
Hawa akina Mwigulu, na Rais wetu Mh. Samia wana shida gani hasa?! Au shida ni vile ving'ora, au saluti wanazopigiwa, au misafara mikubwa mikubwa ile, Mbona hawaelewi kabisa uhalisia wa maisha ya WaTz wengi!
Niliwahi kusafiri hadi Bukombe, Geita huko. Nilimkuta Mwananchi mmoja, ameugua kweli, lakini kwa sababu alikuwa na Sh. 2000 tu. Hiyo hiyo anaitegemea kula, kuhudumia watoto, na kila kitu. Yule ndugu alichukua uamuzi wa kwenda kununua paracetamol (dawa za maumivu) za sh. 400/- ili ameze japo atulize maumivu ya mwili.
Watanzania wa aina hii wapo chungu mzima nchi hii. Mtu anaumwa, hana hela ya kumuona daktari, hana fedha ya vipimo, na wala uwezo wa kununua dawa. Anaamua kununua tu dawa za maumivu.
Si kwamba hapendi kutibiwa, la hasha, kipato kinakataa.
Nikuulize Mh. Rais Samia, huyu Mtanzania akitumiwa na ndugu yake sh 25,000/- aende hospital, mtumaji anakatwa tozo, na yeye akienda kutoa ana tozo. Rais wangu na wewe Dr. Mwigulu mnatengeneza Uchumi wa watu gani? Huu sio wa WaTz, labda mna watu wenu wengine mnaowawaza na kuwahudumia.
Ni wakati sasa Mh. Rais Samia ukate matumizi yote yasiyo ya lazima ndani ya serikali yako.
Haiwezekani Waziri, Naibu Waziri, Katibu mkuu, Wakuu wa Taasisi, Mamlaka mbalimbali, mkuu wa mkoa, n.k, atembelee gari ya thamani ya Tsh. 400 million, huku kuna Kijiji kizima hakina Zahanati, Kuna shule haina choo, kuna shule hawana madawati. Halafu unaweka Tozo kwenye sh. Elfu 10, unajiita Mzalendo, na tai ya rangi ya Tanzania unavaa. UNAFIKI!
KATA MATUMIZI YOTE YASIYO YA LAZIMA, KABLA HATUJAKWAMA KAMA TAIFA.
Watanzania ni fukara sana. Isipokuingia akilini hii, 2025 watakulazimisha upishe mwingine.
Wana akili sana bali ni malimbukeni wa madaraka, walafi wa mali na wabinafsi waliotukuka ambao ukomo wa fikra zao ni pale panapokomea matumbo/maslahi yao.Hivi ni kweli kina Mwigulu hawana akili au hawajui waongoze vipi? Kweli?
Wewe ni maskini, kukataa wewe sio maskini Ni sawa na kukataa wewe sio mwanaume.Masikini ni mtu mlemavu asiye jiweza kwa lolote.
Usitutie umasikini wako mkuu maana sisi tunajielewa na tunajiondoa katika hali hiyo kifikra na kimatendo.
Na wananchi pia wamejaa ujinga na hivyo kutwa nzima wanajadili ujinga tu. Mfano Moira, koneksheni, n.kTuna sera za kijinga sana, tuna maamuzi mengi ya kipumbavu kweli kweli. Nchi imejaa mikorogano tu.
Ukiulizwa hii sera alitungiwa Mtanzania, hadi unahisi uchungu hadi moyo unataka kuchomoka.
Japo Dunia inapitia changamoto sana ambazo zinaathiri karibu kila Taifa, lakini ni wkt tuchukue maamuzi ya kiuongozi, kufunga mikanda wote .Umenena vyema..waanze na mishahara ya wabunge na wakuu wa taasisi za umma..waje kwenye hizo v8 zao watumie toyota hilux double cabin.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Tatizo sijui ni nini? Maslahi binafsi yamezidi yale ya Taifa.Wana akili sana bali ni malimbukeni wa madaraka, walafi wa mali na wabinafsi waliotukuka ambao ukomo wa fikra zao ni pale panapokomea matumbo/maslahi yao.