Nilivyokwenda Afrika Kusini bila kuwa na Ndugu wala Rafiki kule

Kabisa!

Yaani mtu anadhani kila alichokiona yeye mahali flani basi kila mtu atakiona kile kile, vile vile kama yeye.

Mentality ya ajabu sana hii!!
 
Tupatie username ya KANYA anayoitumi FACEBOOK.
 
Asante. Nilisema watoto wangu siwaachi. Hao watu wanaosema eti wanawake tunapenda wanaume wenye pesa huwa nawatazama kwa dharau. Saivi wale walionidharau na kuninyanyasa wanaona wivu
 
Watu Kama nyie ulaya mnapigwa shaba.Unatusemea sisi au umelazimishwa kusoma. Kwani umelazimishwa???
Ulaya hawahimizi watu kuwa wavivu wa kufikiri. Kosa nini kukwambia utafute mchapishaji au unataka ushauri ambao unao tayari ila unatafuta kiki? Kama hutaki kushauriwa basi usiweke upuuzi wako humu. Katafute gazeti au mchapishaji utajua kama huo utumbo wako ni dili au mavi matupu senzi we vivu la kufikiri.
 
Naunga mkono hoja
 
Ww jifanye mjuaji hivyo hivyo ipo siku chamoto utakiona maana humu JF unaifanya kama wote ni watoto wenzio narudia endelea kuropoka ujinga wako hivyo siku yenyew utajua kwann mtaa umetulea
 
Wanaume wa humu ukijipindua tu....wamejazana Pm.
Sijui wana kasumba gani aisee.
Anataka uhakika hapo ujue.
Makahaba wenzio ndio wanajazana huko usiseme wanaume wote kuwa na heshima beba mkoba wako muda wa kazin umefika sijui Leo utatega wap
 
Ww jifanye mjuaji hivyo hivyo ipo siku chamoto utakiona maana humu JF unaifanya kama wote ni watoto wenzio narudia endelea kuropoka ujinga wako hivyo siku yenyew utajua kwann mtaa umetulea
Wewe humfahamu Madame B ni moto wq kuotea mbali ,wema akiamua kukutunuku ni mtamu asali ikasome .long live Madame B
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…