Keagan Paul
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 500
- 3,071
- Thread starter
- #1,261
Umefafanua vyema MkuuKonda makosa ya kiufundi hayo yanatokea....
May be kwa kuwa alikua mpya akawa anajua wanaficha mdomoni maana ndio alianza kujifunza.
May be ile kurudi usiku sana ndio maana akawa anasema wanafanya kazi kama punda. Kuna sehemu alisema walilala saa 11 alfajiri na kudamka saa 1 asubuhi.... Si mchezo...
Hadithi yake mpaka sasa haionyeshi kuwa ametimiza hata miezi mitatu hapo SA. Na inaonekana hakuwa na ABC za sheria za huko, na hata aliokutana nao hawakuwa wamempa tahadhari ya vibali. Inawezekana alianza kusambaza barua bila kujua anaweza kudakwa au tuseme kama alivyosema aliamua kujilipua tu maana ndio kilichompeleka. Inawezekana ilikua bahati yake kutodakwa mapema 40 hazikufika....
Kumbuka alijiingiza kwenye kanisa na elewa mara nyingi watu makanisani huwa wanaweka wahamiaji sana. Nenda hata makanisa yetu haya ya kilokole utakuta wakenya wanyarwanda kila taifa wapo wanaishi bila vibali....
MAPITO NI TOFAUTI EXPERIENCE YAKO SI YAKE.....
TUMPE MUDA AELEZEEE KWA NAMNA ALIVYOISHI....
Ila pia KUDOS kwako umempa hint pale palipokua sio sawa.....
Jamhuri ya JF.... story iendeleeeee