Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,745
- 830,866
- Thread starter
- #221
Sio uchawi ni supernatural powers! Nguvu ya kuumba kwa manenohaya mambo yanawezekana kuwepo
mamangu alinambia unaenda shule lakini hauna muda mrefu utafukuzwa (nilikuwa nimemkera jambo fulani) na kweli wakanifukuza wala hakuonesha kushangaa.
aliwahi mwambia dadangu maneno flani na yakawa ivo, huwa anaogopa kunena mabaya kwa mtu maana hutokea.
kilicho nishangaza ni nduguze wakiugua ama watoto wao humpigia simu na kumuomba awanenee mazuri na kuwaombea wapate nafuu na kupona na huwa ivo.
mkuu leo niambie ni uchawi ama ni nini?
Ratiba yangu ilikuwa hivyo akaunga telaSasa mshana kumlewesha Dada wa watu na kuanza kubalizi nae viwanja nilikua inaendaje mwisho???
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushirikina huo.Inabidi nikate mazoea kabisa hata siwezi ku quotes nyuzi zako tusije tukagombana bure.
Dua mbaya haombewi mtoto, huwezi jua kila mtu ana mdomo wake kina wengine wakikuapiza tu basi yanakutikea kweli.Mkuu sishangai, Yuko Boss wangu mmoja akikwambia kitu lazima kitokee, akikwambia huyu atavunja hiki, basi kinavunjika, akikwambia huyu ataleta madhara haya kwenye kazi lazima itokee..
Na mwenyewe anasemaga msinikere, Mimi na mdomo mbaya!
HahahaInabidi nikate mazoea kabisa hata siwezi ku quotes nyuzi zako tusije tukagombana bure.
Kufa sio negative self talk. Maana ni lazima. Whether you want it or not. Kila nafsi itaonja umauti. Ingeuka nimesema ntakua jambazi hapo ni negative self talk au ningeema nataka niwe kahaba apo sawaSay 'No' to Negative Self-Talk
Naomba namba za huyo Afande mwanaidi nashida nayePale mabatini polisi huyo dada alionyesha sinema ya bure kwa kuvua nguo zote ili tu asipelekwe mahabusu... Nakumbuka aliitwa afande Mwanaidi acha kabisa hicho kifaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeeee upo wapi kaka nikufate sio kwa mihela hiyo jamani😉😉Natoa ridhaa, ushafurahi?
Hujajibu swali langu. Nani hatakufa?
Hali ngumu ya nchi yangu hainihusu. I am actually embarassed by how much money I make while people are screaming hali ngumu.
Ijumaa tu nimetengeneza faida ya $3,800. That is US dollars. Kwa hela zenu za madafu huko, kwa exchange rate ya leo bongo hiyo ni Tanzanian shillings 8,512,000.
Hiyo ni faida niliyoongeza kwa siku moja. Si msingi, si faida ya mwaka. Ni faida ya siku moja tu.
Na nina uwezo wa kupiga hata mara tano ya hiyo hela kwa siku.
Sasa kama wewe umekwama na hali ngumu ya huko kwenu niombe mkopo tu.
Usifikiri kila mtu ana hali ngumu.