Nilimwambia atakufa akafa kweli

Nilimwambia atakufa akafa kweli

Yeeeduuu

Na wewe umetibua wapiii tenaaa... Mshana please Msamehe babu keshazeeka ujue tunasubiri tukufwe wenyewe...

mshana jr twakuomba ukisikie kilio cha Sakayo
0fgjhs3nv9106b8gcg.41251eaf.jpg
 
BTW trust me MIMI NINA MDOMO MBAYA!!! Sijivunii wala sijisifu na kwakweli kuna wakati huwa najiogopa binafsi kwakuwa hata mimi mwenyewe nikisita kufanya jambo kisha nikafosi huwa inakula kwangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukipata dawa ya Hii nipe jamani maana ni km umeona nilivyo, inatesa wakati mwingine hii hali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mganga wa kienyeji nampinga kila siku..mbona wenzio wanabandika mabango na yana kichwa cha habari kabisa we huweki wazi unazunguka sana
 
Hata Mimi imenitokea Sana mpaka sasa siwezi kusema neno baya kwa mtu kwan lazma litokee. Wakati nipo darasa la tatu kuna dada nilipigana nae akanipiga watu wakanicheka sana, roho iliniuma Sana nkamtafuta baadae tukajibizana kwa maneno nikamwambia atakufa na usiku wa siku ile ile akafa, mwingine alinipiga darasa la tano akafariki wk hyo hyo japo sikumwambia kitu, nikiwa form 1 kuna rafk yangu alikua tuliondoka shule anasema anaumwa ila alikua kawaida. Baadae nkakutana na pacha wake nikamwambie msalimie KULWA mwambie mwaka wake huu hawez kupona, nilisema kiutani ila usiku wa siku hyo akafariki kweli. Mwingine nilisema tukiwa chuo kwenye stori tu mada ilikua watu marafiki kufiwa na wazazi wao ndani ya mwaka huo huo kwan washkaj wengi walifiwa mwaka huo, kuna jamaa akasema sababu wazaz washazeeka ndo maana rate ya wao kufa ni kubwa, mimi nikasema kifo anapanga Mungu.wakat natetea hoja yangu nikasema Mungu anapanga nikamtolea mfano jamaa kwamba hata yeye anaweza kufa siku yeyote wala sio mpaka azeeke. Yule jamaa aligongwa na gari wiki ile ile akafariki. Toka hapo sitaki kumsemea mtu mabaya kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Inakufanya ujisikie vby mi nina hiyo ya kutamka vby km mtu kanikera lkn sio kufa, we Hii ni mby kuliko pole sana bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya fumba macho tuanze sala...
ad8687_8fced70d859b4bf5a573d976dd0b083e~mv2.webp
Ewaaa....

Damu ya Yesu itufunike kila Mshana akitaka kuturoga aone taswira yake mwenyewe.... Mungu wewe ni Mkuu, naomba utulinde na babu yangu, tufiche kwenye mbawa zako mfalme wa amani.... Katika jina la Yesu naomba na kuamini Aaaaammmeenn
 
Ipo wazi kwamba maneno yana 'umba' lakini sielewi nguvu iliyotoka nyuma ya maneno yako ni chanya au hasi na kama ni vyovyote iwayo yalikuwa yana 'akisi' 'usafi'wa msemaji au 'uchafu' ?

Au tuchukulie ni nasibu tu iliyotokea
 
Back
Top Bottom