Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,662
Kazi ya msalaba ni uongo mkubwa. Hakuna kitu kama hicho!Iko hv Mshana kwanza ulikosea sana kumtamkia mtu kifo kwani hakimu wa haki wa mambo yetu yote yawe mazuri au maovu ni Mungu tu. Ndo maana sisi wakristo tuliomwamini Mungu kupitia kazi ya msalaba Mungu anasema kisasi ni juu yake.
Lkn inakupasa ujue kuwa Mungu anasema hafurahii kufa kwake mtu mwovu heri atùbu na kuacha njia yake mbaya. Hvyo Mungu anavuta subira watu wamwamini si matamanio yake wanadamu wapotee japo watapotea kwa kutokuamini kwao.
Hvyo basi ukimtamkia mwenzako mabaya usijedhani eti kwavile ww Mkristo basi ni Mungu ametenda ila ni Adui ametake advantage ya mashambulizi yako kwa mwingine anatakeleza hasa pale ambapo amiyenenewa hana maarifa ya kucounter attack maneno hayo.
So pls tuwe makini tusitumie kauli zetu vby. Ww mwenyewe hapo umethibitisha. Sitarajii ulifurahia kufa kwake yule dada na kama ulifurahia aiseeèeeeee!!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app