Nilimwambia atakufa akafa kweli

Nilimwambia atakufa akafa kweli

Mkuu sishangai, Yuko Boss wangu mmoja akikwambia kitu lazima kitokee, akikwambia huyu atavunja hiki, basi kinavunjika, akikwambia huyu ataleta madhara haya kwenye kazi lazima itokee..

Na mwenyewe anasemaga msinikere, Mimi na mdomo mbaya!
 
Back
Top Bottom