Haya yananifaya imani yangu kwake iwe haba;
1. Kauli ya kila mtu ale kwa kamba yake, najua mnapatapata kwenye maeneo yenu, msivimbiwe!
2. Ripoti ya CAG amemeza pini as if hakuna kilichotokea na hakuna hatua aliyochukua.
3. Danadana za Katiba mpya.
4. Naibu Waziri na ajali yenye utata.
5. Na sasa Sheria ya kuhalalisha jinai ya TISS!
And I guess the whole problem stems from the fact that she vying for the next Presidency within CCM and hence a ticket to the national level.