Nilikosea kumlipa?

Hahaha,paka mweusi umenikumbusha wakaka wa chuo walikuwa wanatutishia eti ''usijidai kunipandishia vioo,mi nakuvua nguo kila siku!!Ukininyima haisaidii!'' Halafu kulikuwa na usemi '' i should pay him rent coz i spend too much time in his mind!''
Itakuwa alikufurumsha hela zilikuwa chache,jaribu kumpa dolari nyingi labda...
 
Kuna siku nilitokewa na ndoto nzuri na ya kupendeza.Usiku huo niliota nipo na msichana mrembo wa kuvutia ambaye kila kijana pale mtaani alikuwa akitamani kuwa naye.Na mimi katika ndoto hiyo nilimfaidi barabara,maana ilikuwa nikiamka na kujisafisha narudi tena kulala, naye anakuja tena na ndoto inaendelea na tuna do tena,hali hiyo ilijirudia mara tatu mpaka kulipokucha.Asubuhi yake nikajiona kuwa sitamtendea haki dada wa watu endapo sitamlipa ujira wake kwa kazi aliyonitendea ukizingatia kuwa mimi pia sipendi vya bure.Basi mtoto wa kiume nikatoka mpaka anapoishi yule dada na kutoa kitita cha noti na kumkabidhi,akaniuliza unanipa pesa ya nini?Nikamsimulia ndoto yangu,We!Nilikoma jinsi alivyonitoa mbio siku hiyo mpaka nikajiuliza kosa langu lilikuwa lipi?Kumlipa ujira wake?Kuota ninado naye?Au ujasiri wangu wa kwenda kumsimulia ndoto yangu.

wewe jamaa una undugu na ABUNUASI
 
Siku hiyo nina hakika hata itifaki haitafuatwa................
Jiandae na wewe mama kesho nakuja kukulipa..............

Halafu wewe Nyau Mweusi bwana, mtu kama ndoto kanyaga haswa na usimpe nafasi mzee, kama vipi mpe mimba kabisa ndotoni atakoma ubishi wake, si unajua ndoto lazima azae usiku ule ule? Hatakuwa na usemi mzee....Kesho yake tena muote vile vile unakanyaga haswa? Kuna kadudu huko kwetu kanaitwa "NYASHA" ukichanjia haka KAMA BOMBA VILE....
 
Yani unafunga mwaka kwa kukopa!Siungekunywa soda tu!

Mama watoto kanikomoa eti ili nisihonge mademu sikukuu kafungia ATM cards zangu zote na funguo kaficha, na mimi sitaki kumaliza mwaka kwa ugomvi nimejiendea bar ninayofahamika mambo mswano. Nina pesa kidogo tu mfukoni ya dharula.
 
Kuna siku nilitokewa na ndoto nzuri na ya kupendeza.Usiku huo niliota nipo na msichana mrembo wa kuvutia ambaye kila kijana pale mtaani alikuwa akitamani kuwa naye.Na mimi katika ndoto hiyo nilimfaidi barabara,maana ilikuwa nikiamka na kujisafisha narudi tena kulala, naye anakuja tena na ndoto inaendelea na tuna do tena,hali hiyo ilijirudia mara tatu mpaka kulipokucha.Asubuhi yake nikajiona kuwa sitamtendea haki dada wa watu endapo sitamlipa ujira wake kwa kazi aliyonitendea ukizingatia kuwa mimi pia sipendi vya bure.Basi mtoto wa kiume nikatoka mpaka anapoishi yule dada na kutoa kitita cha noti na kumkabidhi,akaniuliza unanipa pesa ya nini?Nikamsimulia ndoto yangu,We!Nilikoma jinsi alivyonitoa mbio siku hiyo mpaka nikajiuliza kosa langu lilikuwa lipi?Kumlipa ujira wake?Kuota ninado naye?Au ujasiri wangu wa kwenda kumsimulia ndoto yangu.

Hakukupa kw pesa ndio mana alikutimu... vp baba ulikula tig
 
Mama watoto kanikomoa eti ili nisihonge mademu sikukuu kafungia ATM cards zangu zote na funguo kaficha, na mimi sitaki kumaliza mwaka kwa ugomvi nimejiendea bar ninayofahamika mambo mswano. Nina pesa kidogo tu mfukoni ya dharula.
Safi kabisa...kudhibitiwa ndio sawa yenu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom