BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
Yani unafunga mwaka kwa kukopa!Siungekunywa soda tu!
Lizzy, Soda kwenye kusherehekea mwaka mpya haipendezi wala haipandi kabisaaaaa!
Yani unafunga mwaka kwa kukopa!Siungekunywa soda tu!
Hehehe basi mi nimeharibu!Nimiminie kaWine basi kama kamebaki!Lizzy, Soda kwenye kusherehekea mwaka mpya haipendezi wala haipandi kabisaaaaa!
Kuna siku nilitokewa na ndoto nzuri na ya kupendeza.Usiku huo niliota nipo na msichana mrembo wa kuvutia ambaye kila kijana pale mtaani alikuwa akitamani kuwa naye.Na mimi katika ndoto hiyo nilimfaidi barabara,maana ilikuwa nikiamka na kujisafisha narudi tena kulala, naye anakuja tena na ndoto inaendelea na tuna do tena,hali hiyo ilijirudia mara tatu mpaka kulipokucha.Asubuhi yake nikajiona kuwa sitamtendea haki dada wa watu endapo sitamlipa ujira wake kwa kazi aliyonitendea ukizingatia kuwa mimi pia sipendi vya bure.Basi mtoto wa kiume nikatoka mpaka anapoishi yule dada na kutoa kitita cha noti na kumkabidhi,akaniuliza unanipa pesa ya nini?Nikamsimulia ndoto yangu,We!Nilikoma jinsi alivyonitoa mbio siku hiyo mpaka nikajiuliza kosa langu lilikuwa lipi?Kumlipa ujira wake?Kuota ninado naye?Au ujasiri wangu wa kwenda kumsimulia ndoto yangu.
wewe jamaa una undugu na ABUNUASI
wewe jamaa una undugu na ABUNUASI
Mwalimu wake.
Olwo walile e-embwa, Olye e-njungu. Otakulya Popiness eina embungo.
Obheja nkoi.
mhh hiki kichina au kijapan jamani
Nikikushikaa........................Nikikukamataaa..........................
Utalia nyyyauuuuuuuu!!!,hahahahahaa.nakulia mingo hapa
Siku hiyo nina hakika hata itifaki haitafuatwa................
Jiandae na wewe mama kesho nakuja kukulipa..............
Yani unafunga mwaka kwa kukopa!Siungekunywa soda tu!
mhh hiki kichina au kijapan jamani
Kuna siku nilitokewa na ndoto nzuri na ya kupendeza.Usiku huo niliota nipo na msichana mrembo wa kuvutia ambaye kila kijana pale mtaani alikuwa akitamani kuwa naye.Na mimi katika ndoto hiyo nilimfaidi barabara,maana ilikuwa nikiamka na kujisafisha narudi tena kulala, naye anakuja tena na ndoto inaendelea na tuna do tena,hali hiyo ilijirudia mara tatu mpaka kulipokucha.Asubuhi yake nikajiona kuwa sitamtendea haki dada wa watu endapo sitamlipa ujira wake kwa kazi aliyonitendea ukizingatia kuwa mimi pia sipendi vya bure.Basi mtoto wa kiume nikatoka mpaka anapoishi yule dada na kutoa kitita cha noti na kumkabidhi,akaniuliza unanipa pesa ya nini?Nikamsimulia ndoto yangu,We!Nilikoma jinsi alivyonitoa mbio siku hiyo mpaka nikajiuliza kosa langu lilikuwa lipi?Kumlipa ujira wake?Kuota ninado naye?Au ujasiri wangu wa kwenda kumsimulia ndoto yangu.
Safi kabisa...kudhibitiwa ndio sawa yenu!Mama watoto kanikomoa eti ili nisihonge mademu sikukuu kafungia ATM cards zangu zote na funguo kaficha, na mimi sitaki kumaliza mwaka kwa ugomvi nimejiendea bar ninayofahamika mambo mswano. Nina pesa kidogo tu mfukoni ya dharula.
ndoto zingine ni utata mtupu
Hakukupa kw pesa ndio mana alikutimu... vp baba ulikula tig