Sahii kabisa mkuuHuwa hawalipagi hao. Mwanamke unayemdai pesa ndefu kiaina yuko tayari akupe mbususu hata mwezi mzima mmalizane deni lenu
Urafiki tu au ulishawahi na kula?😄😄 Kama uliwahi kula,....urafiki ulinipotosha 😂
Hahahaha wewe kweli ni mtoto! Kiufupi wewe hiyo hela uwezi lipwa kamwe! Mbona rahisi sana kupata mbususu hiyo tena kwa huyo mliozoeana atakuamini kabisa! Sema upewe mbinu!vitu vingine unajua ni rahisi kutype hapa jf ila real life ni ngum.....sasa imagine naanza kuchakataje mbususu 😂 wakati tuna urafiki wa karibia miaka 2 saivi. Eti nianze kumpanga 'kama hunilipi, nakut*mba'😂 unaona ni rahisirahisi tu......
Hahahaha wewe kweli ni mtoto! Kiufupi wewe hiyo hela uwezi lipwa kamwe! Mbona rahisi sana kupata mbususu hiyo tena kwa huyo mliozoeana atakuamini kabisa! Sema upewe mbinu!
Kamwe upewi hiyo hela kama ukilipwa hiyo hela basi mimi nitakuongezea elfu therathini!
Utalipwa kwa kupewa mbususuMwezi wa pili nilimkopesha dem fulani hela, alikuwa ndio amehamia geto kuna vitu alikuwa lazima anunue.
Kiwango cha pesa sitokitaja 😂, aliniahidi kurudisha katikati ya mwezi wa 3 sasa naona siku zinayoyoma. Tulikuwa tukisaidiana sana vitu mbalimbali ndio maana nilimuamini na hiyo pesa, kiufupi tulikuwa marafiki wa karibu kwa muda mrefu.
Nifanyeje?
Urafiki tuUrafiki tu au ulishawahi na kula?[emoji1][emoji1] Kama uliwahi kula,....
Aisee [emoji23]unamtetea sio....Samehe,
Mwanamke hakopeshwi.
Asante.Patana na mshtaki wako kabla ya kwenda kwa kadhii
mwite chemba muongee kiutu uzima muyamalizee kimya kimyaa bila maneno ya shombo, hii itakusaidia kuendelea kumkopeshaaa
Kama kiwango Cha pesa hukitaji vingine umevitaja vya nini?Mwezi wa pili nilimkopesha dem fulani hela, alikuwa ndio amehamia geto kuna vitu alikuwa lazima anunue.
Kiwango cha pesa sitokitaja [emoji23], aliniahidi kurudisha katikati ya mwezi wa 3 sasa naona siku zinayoyoma. Tulikuwa tukisaidiana sana vitu mbalimbali ndio maana nilimuamini na hiyo pesa, kiufupi tulikuwa marafiki wa karibu kwa muda mrefu.
Nifanyeje?