Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,716
- 62,666
nimefanyaje tena 😅🙌😂Muone vile
nimefanyaje tena 😅🙌😂Muone vile
makubaliano yalikua kwamba ni mkopo....Ulimpa kukopesha kunatoka wapi[emoji23]
ni mkristo 😂atakulipa, subiri Kwani na ramadhan iishe
ndo usubiri apate sasa, atakulipa tuni mkristo 😂
Dalili za kunizungusha naziona kabisa 😂ndo usubiri apate sasa, atakulipa tu
me ndomana sipendi kumkopesha ela mtu wangu wa karibu najua tu hatanilipa na sina cha kumfanyaDalili za kunizungusha naziona kabisa 😂
itabidi ninywe hichi kikombe tu hivohivo japo ni kichungu 😂me ndomana sipendi kumkopesha ela mtu wangu wa karibu najua tu hatanilipa na sina cha kumfanya
me nikishajua huyu ni rafiki yangu sana akiongelea swala la hela jibu ni moja tu "sina" tena bila maelezoitabidi ninywe hichi kikombe tu hivohivo japo ni kichungu 😂
Shida na nyie hua mnalegeza sauti 😂 na hivo vimacho vya huruma....me nikishajua huyu ni rafiki yangu sana akiongelea swala la hela jibu ni moja tu "sina" tena bila maelezo
Hamkukubaliana, ulikubaliana ww na mtu wa ndani yako.makubaliano yalikua kwamba ni mkopo....
alisema mwenyewe kwamba atairudisha baada ya muda....au mpaka kuandikishana??Hamkukubaliana, ulikubaliana ww na mtu wa ndani yako.
asa mtu kwenye shida unakaza sauti na macho ili iweje😅😂Shida na nyie hua mnalegeza sauti 😂 na hivo vimacho vya huruma....
Basi liwalo na liwe....hata nikichakata mbususu sioni kama inafidia chochote...asa mtu kwenye shida unakaza sauti na macho ili iweje😅😂
🤣🤣🤣🤣🙌View attachment 2584879
Tulia dawa ikuingie mkuu...!
kwahiyo hata mbususu yake hailingani na thamani ya hela yako🙄😎Basi liwalo na liwe....hata nikichakata mbususu sioni kama inafidia chochote...
Haijakaa sawa, sijui nisemeje, ila yaani hayakua makubaliano afu mi naona inakua kama dharau 😂kwahiyo hata mbususu yake hailingani na thamani ya hela yako🙄😎
kama hauna shida ndogondogo achana nae tu, siku akijistukia yeye mwenyewe atakulipaHaijakaa sawa, sijui nisemeje, ila yaani hayakua makubaliano afu mi naona inakua kama dharau 😂
Kwa wanaume Huwa wanarudisha shida hii gender baadhi ya wanawake wachache akikopa ohoo ukimtafta anaanza kuongea lugha ya puanime ndomana sipendi kumkopesha ela mtu wangu wa karibu najua tu hatanilipa na sina cha kumfanya