Huyu ana mtindio wa ubongo,mwone tu alivyo na anavyoonekana<br />By Mwana Mpotevu<br />
Jaribu kukua haya mambo waachie watoto wanaovaa Kata K!
Kweli nimeamini moto mkali huzaa majivu,mzee John Samweli Malecela ni kichwa sana tofauti na huyu mtoto wake(Majivu)!
- Yaap katika miezi 10 niliyoishi bongo toka nirudi nimegombea:-
1- Ubunge EAC - Nimeshindwa
2. Katibu MWenezi na Elimu na Mazingira wa Wazazi Kata Kivukoni - Nikashinda
3. Ujumbe wa CCM Wilaya ya ILALA - Nikashinda
4. Ujumbe wa WAZAZI_CCM Mkoa wa Dar - Nikashinda
5. Katibu MWenezi CCM Mkoa wa Dar - Nikashindwa
6. Ujumbe Baraz la Wazazi-CCM Taifa - Nikashinda
7. NEC Viti 10 Bara - Nimeshindwa
- So haya yote in 10 months, ni supa sana na tupo vizuri sasa ni kutulia na kujipanga tena mapambano bado sana!!
Le Mutuz!!
There are currently 119 users browsing this thread. (48 members and 71 guests)
nimekusoma big broo le mutuz.....mayanki wengi wanakuonea wivu sana aisee ukiwa karibu na totozi kama JLO kweli nakuambia....hata hapa JF si unaona arifu.....arife please hook me up aisee kwa hio totozi JLO nataka nipige muhuri na mie....ndio ujanja wa mjini arifu- Le Biig Shoow na My Super Friends, Super Sintah JLO na Super Kidoti Jokate, ni my people good friends love them with my heart tuna uhusiano wa kawaida na kibiashara maana wote ni wafanya biashara wakubwa sana na very smart people ingawa Sintah JLO nimecheza naye Movie ya The Return Of JLO, si aunajua klwamba Rais Reagan naye alikuwa Big show mcheza Cinema kama vipi au? ha! ha! ha!
Le Mutuz!!
- WEll, nimeshindwa kwa sababu walioshinda ni wazoefu wakubwa zaidi yangu ndani ya chama, wameshinda Viongozi wa Taifa wote 10 naamin inajisema yenyewe ni kwa nini nimeshindwa, tatizo sio kushindwa ila ni ulipoangukia ni wapi!!
Le Mutuz!
hapana arifu kama uko majuu hizo totozi zinapenda sana mtu alieko mamtoni......update status yako facebook weka mapicha uko DXB una cross border Schiphol utawamega wengi.....hata wale cooperate women educated utawamega kwa style hiyo....hawa si kama wajukuu zake kabisa?/jamaa hakui au laana za watanzania bado zinamwandama??
wenye umri sawa na mwanao wa ujanani!!!!!!si umeona akiri yako ilivyo fupi.
serikali imeibiwa million nne tume ya uchunguzi inatumia million 22 kufatilia wizi huo...??
Eboo..!!ndicho chama unachojivunia wewe??
Tunawajua...
Mwisho wenu unakaribia
- Maana yake ni kwamba nikiondoka hapa wote mnakosa raha manaaanza kuniomba kila kona nirudi, and then nikija hapa nikigusa to key board wote mnakimbilia najua inawaduhi watu flani wanaopenda ujiko lakini huwezi kushindana na talent ya mtu, halafu nimeanzisha blog kwa miezi mitano tu inavuta visitors na watangazaji wa biashara kuliko blogs kibao ambazo zimekwua hai kwa miaka mingi, njoo Facebook ndio kabisa my account imejaza watu 5,000 wanaotakiwa na sheria ya FB na huku ni watu 10,000 wanaosubiri niwakubali kuwa marafiki zangu, na sasa hivi nimeombwa kuwa mtangazaji wa TV mpya Internent inayoanza next month!!
- ndio maana ya kwua The King Of All Social Networks Media!!
Le Mutuz!!
Jibu zuri sana hilihayo 46 yalikuwa ya nani kabla????mwehu kweli wewe,yaani unanyang'anywa 46 kati ya 100 ulokuwa nayo,then unambeza aliyekunyang'anya hana aibu.ndo maana magamba wanakutosa maana upeo wako bora hata mtoto wa chekechea.
Mkuu hiyo agenda ya Chadema ndiyo mmekubaliana kuitumia kujitetea watu mlioshindwa ama wewe unaitumia kwa nafsi yako, maana naona ukijibu unatumia kushindwa kwa Chadema, unataka kusema Chadema wamekuhujumu? Alafu mie afadhali nifie huku kwa kubeba mabox kuliko kurudi kama unavyoomba labda kama CUF itashika madaraka nitarudi lakini si kujenga nchi katika mfumo wa sasa.- Chadema wameshindwa kila kona na kuishia kuambulia majimbo 46 tu vipi hamuoni aibu kwamba kila kona wanawakataa, yaani ni MBULULA KWELI, well, kesho ninashikiri kwenye kikao cha Baraza Kuu la Taifa Wazazi-CCM so sijakataliwa kila mahali kama Chadema hawajakataliwa kila mahali! ha1 ha1 ha! ha!
Le MutuZ
- Chadema wameshindwa kila kona na kuishia kuambulia majimbo 46 tu vipi hamuoni aibu kwamba kila kona wanawakataa, yaani ni MBULULA KWELI, well, kesho ninashikiri kwenye kikao cha Baraza Kuu la Taifa Wazazi-CCM so sijakataliwa kila mahali kama Chadema hawajakataliwa kila mahali! ha1 ha1 ha! ha!
Le MutuZ
- At least sijaacha mke wangu na kuiba mke wa mwananchi na kutaka kwua Rais wa jamhuri! ha! ha! ha! ha! ha!
Le Mutuz!!
- Kannuni na katiba za vyama vya siasa sio ishu ya Taifa, so ni invalid agrument!!, ni kama Chadema inapoamua kumnyima Zitto kugombea Urais ni tatizo la Chadema sio la Taifa ya CCM waachie CCM, wewe jali ya kwenu huko Chadema ambako wabunge wenuwanaenda bungeni na watoto zao, wake zao, na wakwe zao pamoja na dada zao!!
Le Mutuz!!