Niligombea NEC Na Nimeshindwa Kihalali - Le Mutuz!

Niligombea NEC Na Nimeshindwa Kihalali - Le Mutuz!

Status
Not open for further replies.
Ewe MBULULA ebu jaribu unapojibu hoja taja jina la aliyekugusa, CHADEMA inaingiaje katika MASABURI yako au unawashwa? Mbona kuna CUF, TLP, NCCR-Mageuzi, CCK, CCJ na vingine vingi au kwa kuwa mmefunga navyo ndoa ndo maana huviotaji ila CHADEMA ndo inakunyima usingizi kwa kukuwasha kwenye MASABURI!:target:
arifu aiseee hivi hilo ni jina lako pigangoma bwahaha la ukweli au nick name?
 
Jamani mwacheni mume wangu LeMutuz. Yeye ni CHADEMA damu ndo maana anawataja CDM. Wivu utawaua eboooooo
 
- WEll, nimeshindwa kwa sababu walioshinda ni wazoefu wakubwa zaidi yangu ndani ya chama, wameshinda Viongozi wa Taifa wote 10 naamin inajisema yenyewe ni kwa nini nimeshindwa, tatizo sio kushindwa ila ni ulipoangukia ni wapi!!

Le Mutuz!

Mawazo tunatofautiana sana wewe kama unaona kushika nafasi ya 12 ni ufahari mie siamini hilo, pia inawezekana umeshika nafasi hiyo kutokana na huruma ya rafiki wa baba yako ambao bado wako kwenye systems, wanakumbuka ambavyo mzee wako aliwasaidia wakati wa enzi zake vinginevyo wewe na Shy Rose Bhanji mko sawa na pengine yeye yuko juu maana hana benchmark kama ulivyo wewe.

Kutumikia watanzania sio lazima ugombee uongozi kwenye chama cha siasa unaweza kuyafanya hayo nje ya ulingo wa siasa. Pili nakuonea huruma sana kurudi Tanganyika wakati mzee wako alishatoswa, ulitakiwa urudi wakati yeye akiwa na nguvu kichama na kiserikali hapo naamini ungefaidi vinginevyo kazi bado ipo.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
umekaa miaka 30 halafu unarudi kuhangaika na chama cha magamba ..mimi nilidhani ungesema nimekaa miaka 30 nimerudi na nimeanzisha miradi na kuajiri vijana masikini wa kitanzania sasa wewe unarudi halafu bado unaparanganya na siasa uchwara ili uendelee kula kodi za wanyonge kama baba yako na mama yako wanavyofanya
 
  • Thanks
Reactions: Ame
William

kwanza nikupe heshma za kuwa a man enough na ku admit kuwa umeshindwa na utaendelea kupigana

kweli hapa JF wewe ni kama kaka yetu na kila kukicha tumefarakana na mwishowe tumetukanana na lakini in the end you will always be the big brother wetu hapa ndio maana wengine hatuushi kukutania na kukuzingua na yote ni kwa sababu ya mapenzi tu na si vinginevyo.

Sasa umezungumzia suala la kurudi mimi ni mfano hai ya hao wana diaspora na sikubaliani na mawazo yako ya kuwa watu warudi kuendesha nchi kwa sababu wenye nchi wapo na sasa nafasi zimechukuliwa na watoto wao

Kama utaweza nakushauri uanzishe separate thread hapa hapa SIASA kuhusu Experiences za wana disapora waliorudi na mimi nitaweka bayana yaliyonikuta toka nimerudi, experiences zangu na mpaka hapa tulikofikia na kwa nini nasema its not a good idea kwa mwana diaspora kurudi Tanzania.

In short Uongozi na system iliopo on the ground Tanzania not only haitaki diaspora bali pia haipendi watu wenye independent minds, critical thinkers na zaidi ma intellectuals.

Sina haja ya kusema zaidi lakini jiulize kwa nini watu wenye mawazo mbadala wameamua kukimbilia twitter?

we have alot to discuss lakini si katika hii discourse ambaye iko more interested na siasa za jalalani na chuki.

kaka its not easy na hasa kama huna sir name ya akina Malecelas or Mwinyis and co...

I can feel your frustrations....Mimi kama wewe had been far from home for more than 10 years lakini tofauti na wengi wenu I had been going home staying for a while na kurudi nje ya nchi na sasa nimeamua narudi nyumbani once and for all for better or for worse.....

Ninachowashauri wale wote ambao wana reasonable mind ni kuwa whatever you decide in life maters a lot....future will not give you anything if you have not planned for it. Ina maana it matters a lot what was your plan before you left. Yours most of you was to go and find in other places and you left a lot of uncertainty in the future unresolved. Those uncertainties will never go off without proper planning including the prediction of if you react this way what would be the outcome..For most of you this was lacking.

Ni somo zuri kwa wadogo ili wasijefanya like you did...We need to plan for our future as a country and for this case we need to train our youngs on how to plan for the future that they should not repeat the same mistake....I for one have decided to change a lot of things in my country na kwajinsi nilivyojipanga sitegemei kushindwa katika lolote zaidi sana labda itanichukua muda kwa mimi kufaidi matunda lakini na hakika those behind will enjoy a lot....

My call is; it will help you nothing to live on regrets let us join hands and together shall be able to set a course if we wont manage to completely change the regime!
 
Le Mutuz,
Hongera sana kwa ku- think big,
Always think big and try catch up with your dreams.
But CCM NEC? hapa mkuu uli dream more than big, pakubwa sana hapo kaka
 
Gamba lolote linalotafuta uongozi ndani chama chao kwa kuitaja Chadema ni dhahiri kwamba halina sera wala vision. Na wale waliovurugwa kama @w.j.malecela ndio hawawezi kuandika sentesi moja bila kuitaja Chadema kwakuwa wanatambua kazi ngumu inayowakabili toka kwa Chadema. Kuna vyama lundo lakini wao wakilala, wakiamka, wakitembea, wakiwa gheto, wakiwa wamejibanza kwa baba zao wanaiwaza Chadema.
Matokeo ya kuvurugwa ndio kama haya ya les mutuz kwakuwa ni hakika na kweli kwamba hana vision yoyote katika siasa zaidi ya kujaribu kutembelea viatu vya baba yake mzee Tingatinga.

Si ajabu magamba wenzake wamempiga chini katika nafasi zote za kitaifa zinazohitaji mtu muelewa na mwenye vision. Ukitazama nafasi alizoshindwa utaona udhaifu wake.
1- Ubunge EAC - Nimeshindwa
2. Katibu MWenezi CCM Mkoa wa Dar - Nikashindwa
3. NEC Viti 10 Bara - Nimeshindwa

Ameshinda nafasi za kawaida sana ambazo hazimuhitaji mtu kuwa makini has huko jumuiya ya wazazi ambako hakuna chochote cha maana wanachokifanya, hata kwa ccm yenyewe.
1. Katibu MWenezi na Elimu na Mazingira wa Wazazi Kata Kivukoni - Nikashinda
2. Ujumbe wa CCM Wilaya ya ILALA - Nikashinda
3. Ujumbe wa WAZAZI_CCM Mkoa wa Dar - Nikashinda
4. Ujumbe Baraz la Wazazi-CCM Taifa - Nikashinda

Sasa kama ndani ya magamba tu anagaragazwa itakuwaje akipambana na jembe la Chadema? les mutuz huna lolote la kujivunia zaidi ya jina la baba yako katika siasa za Tanzania.


 
Binafsi nilikuwa nakuheshimu kama kijana mojawapo ya watu walioanzisha mtandao ili sisi tuweze kutoa maoni yetu. Kasoro yangu kubwa ya Kukuchukia moja kwa moja. Nilikukuta Victoria Internet Cafe, pale Dodoma baada ya Uchaguzi wa bunge la jumuiya ya Afrika Mashariki. Ulikuwa ukinung'unika kuwa umetumia milioni 50, kuhonga lakini haujachaguliwa. huku ukisisitiza kuwa wengine waliotoa zaidi ya wewe na wao walikuwa wazoefu na siasa za Tanzania. kwa kuwa sikuambiwa na Mtu na nilikusikia Mwenyewe, basi Nakuhesabu kuwa wewe nawe ni mtoa Rushwa, kauli za kisiasa unazotoa sasa eti umeshindwa kihalali, ni kujipa matumaini ili siku zingine rushwa yako ikitimia uchaguliwe. Ulinikwaza, bahati mbaya hunifahamu. Ila wewe sio mojawapo ya vijana wenye Uzalendo na Nchi yao. Unasadiki katika uongozi wa kununua. haufai.... sijui zamu hii kama pia ulitoa rushwa. Unapoongea na simu huwajui watu, unapayuka payuka, iwe ni kweli au sio kweli, ila kwa kuwa maneno uljitamkia mwenyewe, sikuamini kwa lolote kuhusu rushwa, we ni mtoa rushwa.
 
Harakati zote mkuu mwisho wake ni Ubunge tu unajusumbua au ndiyo madarakani yanatafutwa kwa kila njia ?Inwould have xpected uje na njia nyingine ya kuisaida Tanzania nje ya siasa na hasa baada ya miaka 30 ya exposure yako nje lakini bado ume enda ku chagua viongozi wako wa Kitaifa kama China then you calling it democrasia?
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mwacheni Le-mutuz. Walau yeye amethubutu. Nyie mnacheza na key boards tu. Mnadhani mabadiliko yataletwa ndani ya ofisi zenu zinazopulizwa na viyoyozi. Hongera Mkuu Le-Mutuz. Endeleza mapambano, pandikiza mbegu zitakazoleta chachu ya mabadiliko. Tumia experience yako ya Politics za republican na democrat kubadilisha platform ya siasa za CCM.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
- WEll, nimeshindwa kwa sababu walioshinda ni wazoefu wakubwa zaidi yangu ndani ya chama, wameshinda Viongozi wa Taifa wote 10 naamin inajisema yenyewe ni kwa nini nimeshindwa, tatizo sio kushindwa ila ni ulipoangukia ni wapi!!

Le Mutuz!

For real??
January Makamba na wewe nani mzoefu?
 
Mwacheni Le-mutuz. Walau yeye amethubutu. Nyie mnacheza na key boards tu. Mnadhani mabadiliko yataletwa ndani ya ofisi zenu zinazopulizwa na viyoyozi. Hongera Mkuu Le-Mutuz. Endeleza mapambano, pandikiza mbegu zitakazoleta chachu ya mabadiliko. Tumia experience yako ya Politics za republican na democrat kubadilisha platform ya siasa za CCM.
Mkuu kuwa JF aimaanishi kuwa watu hawagombei nafasi mbalimbali katika siasa za nchi hii na hasa ukizingatia ya kuwa wanachama wengi wanatumia anonymous names hivyo ni vigumu kujua ushiriki wao katika siasa!Unaweza ukakuta mimi ninayeaandika maneno haya ni mwasiasa maarufu hapa Tanzania!!
 
- Ungeanza kusema umri wako kwaanza kama ni tija wka Taifa, haalafu useme Dr. Slaa ana umri gani na Mbowe kama vipi au? ha! ha! ha! ha! ha! ha!

Le Mutuz!!

Wewe unataka kujilinganisha na Dr. Slaa ambaye hata mwenyekiti wako anamgwaya, hukusikia jana alipowaasa kuwa kukimbilia dola iwasaidie haina mashiko kwa sasa kwenywe chama chenu maana watu wako tayari kufa lakini sio kusikia CCM?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom