Niligombea NEC Na Nimeshindwa Kihalali - Le Mutuz!

Niligombea NEC Na Nimeshindwa Kihalali - Le Mutuz!

Status
Not open for further replies.
Kuna tetesi uongozi mpya utafuta baadhi ya chaguzi zilizofanyika , sasa balaa zikiguswa hadi zile zilizokuleta kwenye hizo jumuiya ! ndugu Le Baharia ,Le Mutuz , Le Macheni Dah ! Majina kibao , usijipongeze kwanza subiri kidogo huu upepo upite !
 
- WEll, nimeshindwa kwa sababu walioshinda ni wazoefu wakubwa zaidi yangu ndani ya chama, wameshinda Viongozi wa Taifa wote 10 naamin inajisema yenyewe ni kwa nini nimeshindwa, tatizo sio kushindwa ila ni ulipoangukia ni wapi!!

Le Mutuz![/QUOTE Pole mkuu kwa maezo yako haya moyo wako ulishashindwa game hata kabla mechi haijaanza,ulijua fika unapambana na wazoefu ukataka kupima maji kwa miguu miwili ukasombwa.jipange upya.
 
Mkuu kuwa JF aimaanishi kuwa watu hawagombei nafasi mbalimbali katika siasa za nchi hii na hasa ukizingatia ya kuwa wanachama wengi wanatumia anonymous names hivyo ni vigumu kujua ushiriki wao katika siasa!Unaweza ukakuta mimi ninayeaandika maneno haya ni mwasiasa maarufu hapa Tanzania!!

Tupo ukurasa mmoja. Asante sana kaka!
 
Hongera sana aisee mzee wa masauti ya umeme aka mzee wa the dataz
 
Sasa we CHADEMA hapa inaingiaje?au we kila anayekuwa kinyume na wd unajua ni wa CHADEMA?Jibu unayoulizwa...usikimbilie kuisema CHADEMA
- Chadema wameshindwa kila kona na kuishia kuambulia majimbo 46 tu vipi hamuoni aibu kwamba kila kona wanawakataa, well, kesho ninashikiri kwenye kikao cha Baraza Kuu la Taifa Wazazi-CCM so sijakataliwa kila mahali kama Chadema hawajakataliwa kila mahali! ha1 ha1 ha! ha!

Le MutuZ
 
- Yaap katika miezi 10 niliyoishi bongo toka nirudi nimegombea:-

1- Ubunge EAC - Nimeshindwa
2. Katibu MWenezi na Elimu na Mazingira wa Wazazi Kata Kivukoni - Nikashinda
3. Ujumbe wa CCM Wilaya ya ILALA - Nikashinda
4. Ujumbe wa WAZAZI_CCM Mkoa wa Dar - Nikashinda
5. Katibu MWenezi CCM Mkoa wa Dar - Nikashindwa
6. Ujumbe Baraz la Wazazi-CCM Taifa - Nikashinda
7. NEC Viti 10 Bara - Nimeshindwa

- So haya yote in 10 months, ni supa sana na tupo vizuri sasa ni kutulia na kujipanga tena mapambano bado sana!!


Le Mutuz!!

Ulikuja bongo kugombea nyazifa?
Na wankupa hawajakupima vizuri. Nafikiri wanaweza kukuvua usipoangalia.
Nakushauru ushikilie sana zile semina elekezi. Usiende na note book tu bali na video na sound recorders. Bila hivyo, utakuwa historia katika siasa za Tanzania kwa haya unayoyaonyesha .
 
- Ile Short-Pants ilikuwa ni USD $ 150.00 kwenye Marcys Times Square, made by Kevin Clain so ni kubwa yao sana you know!! ha! ha1 ha! ha! ha! ha!, kumbe uliona my special interview kwenye Red Capet ya Miss Redds 2012, saafi sana si unajua ukwia Big Celeb ni ya kawaida sana hayo!! ha! ha! ha! ha!


Le Mutuz!!

Le Mutuz!
Tsk tsk tsk!! ... made by or designed by?
..Calvin or kevin? .... Clain or Klein? .. au mchina huyo?
Dah, bro uwa unachemsha s'times.
 
- Ohh yeah nimeshindwa kama Chadema wanavyoshindwa Urais toka ianzishwe mpaka leo, maneno ya baba ni too low of argument ni simply waste of my time hata kujibu!!

Le Mutuz!

Duh, mshkaji unaongea pumba! Nina wasiwasi na upeo wako wa kuelewa na kuchambua issues. Kama viongozi wetu wangekuwa na upeo butu kama wako....! Kabla hujajibu hoja tulia, think.
 
- Yaap katika miezi 10 niliyoishi bongo toka nirudi nimegombea:-

1- Ubunge EAC - Nimeshindwa
2. Katibu MWenezi na Elimu na Mazingira wa Wazazi Kata Kivukoni - Nikashinda
3. Ujumbe wa CCM Wilaya ya ILALA - Nikashinda
4. Ujumbe wa WAZAZI_CCM Mkoa wa Dar - Nikashinda
5. Katibu MWenezi CCM Mkoa wa Dar - Nikashindwa
6. Ujumbe Baraz la Wazazi-CCM Taifa - Nikashinda
7. NEC Viti 10 Bara - Nimeshindwa

- So haya yote in 10 months, ni supa sana na tupo vizuri sasa ni kutulia na kujipanga tena mapambano bado sana!!


Le Mutuz!!


Le Mutuz, kwa kweli unastahili pongezi kwa 'DRIVE' uliyo nayo juu ya nafasi ambazo huwa wagombea. Nashangaa sana kuwa all this has been in just ten months. Kimzaha zaha pamoja na kejeli zote hizi utafika tu mahala unataka ingawa bahati mbaya sana ukijulikana kwa tabia za kejeli, majidai, kujigamba kupenda watoto (most wanapenda lakini si kwa kujigamba) na kujiamini kupita kiwango stahili. However nina maswali kwako ambayo naomba ujibu kama hutajali;

1. Unadhani kuwa katika mchakato wote wa kupiga kura wanachama wapo huru kama inavyostahili? Kuwa kweli kabisa mtu anapiga kura vile anavyotaka na sio anavyo tarajiwa kupiga kura hasa kwa inapo husisha viongozi wakubwa katika hilo zoezi?

2. Mapungufu yepi unayaona yapo ambayo yanatakiwa kusimamiwa na kurekebishwa ili yasirudiwe tena uchaguzi ujao kama huo?

3. Chadema ni threat kiasi gani kwa kwa CCM?

4. Kuna interview uliwahi ongea na Pascal Mayalla (sio Pasco wa JF :smile🙂 kuwa moja ya azma yako ni kuhakikisha CCM inaongioza miaka 50. Do you still believe CCM ina uwezo huo and why? (Nimeuliza sababu wewe mwenyewe ulijicheka saana hii kauli kana kwamba hukuwa na hakika na hii hoja yako).

5. BTW mara ya mwisho mkuu nilibahatika kuona mabandiko na maandishi yako kadhaa (na nje ya jf pia) jinsi gani huwezi kurudi mahala hapa, kwa maneno ya kejeli kana kwamba kweli huwezi thubutu na inaweza kuwa dhambi ukifanya hivyo (kurudi mahala hapa). Nini kimefanya change of heart?

Karibu tena mkuu..
 
William mimi naomba kuku uliza hivi miaka 30 US/ulaya ulikuwa unafanya nini? Kwasababu naona kama vile unasaka nafasi za kisiasa kama ajira!!! I would expect mtu kama wewe kwa muda uliokuwa huko ulikuwa huna shughuli ya maana hivyo hukujipanga na ndio maana unasaka sana uongozi. Naona mpaka unawaita wenzako walioko huko warudi kama vile mlikuwa wote mkipoteza muda. I think you are just too late to catch the bus!!!!
 
Manyama yanakuelemea yanakufanya uwe na akili ya kitoto! Unaandika ki fb hapa kwenye jukwaa la werevu! Au wewe ni kubwa jinga?
 
Huna mvuto wa kisiasa wewe, wala kura hazitatosha hata siku moja. Miaka 30 umeipoteza ukiwa nje sasa unarudi "kujenga nchi" uzeeni?

Nchi ambayo wazazi wako na ndugu zako wanazidi kuitafuna? Nenda kijijini ukale pensheni ya uzee wewe. Siasa itakupasua kichwa hicho. Utaendelea kuwa mtu wa "i'll do better next time" kama Arsenal!
Don't you ever compare Arsenal to this. At least they are good in what they do, except winning "The Trophy". BUT is this man good enough to be a leader at a national level? I doubt!!!!
"Incompetency rules only in Tanzania".
 
Wewe wiliam ni kubwa jinga, wenzako wengi tu wamepeta kwa kutumia majina ya baba zao! Wewe na babako wote mmetoswa mbali. Halafu kwa ujinga wako kila hoja yako unaitaja cdm, kama unaipenda omba kujiunga, huenda ukafikiriwa! Pambaf
 
This time nakupongeza! Umejitahidi mwaya! Kazana tena 2017.
 
- Chadema wameshindwa kila kona na kuishia kuambulia majimbo 46 tu vipi hamuoni aibu kwamba kila kona wanawakataa, well, kesho ninashikiri kwenye kikao cha Baraza Kuu la Taifa Wazazi-CCM so sijakataliwa kila mahali kama Chadema hawajakataliwa kila mahali! ha1 ha1 ha! ha!

Le MutuZ

Watu wa dizaini yako ndiyo mnaokifanya CCM kionekane kama chama cha wendawazimu. Badala ya kujibu hoja unaleta ukatuni usio na mashiko.... Hata Mpumbavu huonekana ana busara pale anapokaa kimya.
 
- Ohh yeah nimeshindwa kama Chadema wanavyoshindwa Urais toka ianzishwe mpaka leo, maneno ya baba ni too low of argument ni simply waste of my time hata kujibu!!

Le Mutuz!

Mhh,,,,, kazi kwelikweli, like faza like son, ukishindwa sana slim uitwe Jummanne
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom