Nilidhani story, kumbe haya mambo yapo kabisa

Nilidhani story, kumbe haya mambo yapo kabisa

Yaani sio siku ya kuoana muongee kila kitu kikae sawa hakuna siku ya harusi wala nini, baba mkubwa na baba mdogo au mama mkubwa na mdogo sawa lakini huko hao wengine maisha yanasonga tu
Asante kwa ushauri wako,nitaufanyia kazi
 
Mmetenda kosa siyo kosa...

Mkirudia au kuendeleza kosa ni kosa...

Madhara ya utandawazi huo watu mnakutana kirahisi rahisi hamjuani, mnaenda kufanya yenu, siku ya siku mnakuja gundua nyie ndugu tena wa damu kabisa...


Cc: mahondaw
Ushauri wako sasa mkuu ndio ninaouhitaji
 
We nenda kampe tu papa hilo ila ukumbuke- ge ni game ya mhenga vs kijana usije ukapata taabu hahahahaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naanzaje kupata tabu mwenyewe nipo vizuri
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naanzaje kupata tabu mwenyewe nipo vizuri
Tabu sio kwako ,si unajua wahenga joto usipompa pole pole utamuunguza hahahahaaaaaa
 
Back
Top Bottom