Msukumakizazi
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 2,599
- 2,100
unamaliza stock yote inabidi uingilie hadi ndugu.Hahahaa [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] uma......ya .....ukizidi mambo ndiyo hayo
unamaliza stock yote inabidi uingilie hadi ndugu.Hahahaa [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] uma......ya .....ukizidi mambo ndiyo hayo
Acha wanaongea kweli lakini mwishoni mambo yakigeuka wanakuwa taabani kabisaJamani shoga wangu ndo napata mda ngoja niende kwenye ule Uzi nimejua kumbe wanaume ni dhaifu licha yakuchepuka mwanamke ukichepuka nakumchunia anaweza kujiua loh. Ngoja niende
duhhh,,,Kweli kbs. Walikutana night club dogo akazimikia flag akatupia ndoano ikanasa, wamekula na kunywa zao haooooo mgegedoni, fakamiana kisawasawa asubuhi mwanamke anamwambia ila we mtoto unayajulia ulijifunzia wapi na bado mdogo? Huku na kule kutambuana ayaaaa mtu na mama yake mdogo- ikabidi wapigane mikausho tu
Vitu vingine mpaka aibu unajua kuna viwembe mpaka kinyaaunamaliza stock yote inabidi uingilie hadi ndugu.
Ngoja nikawatoe povu huko wanaume wapenda kuchepuka ukiwakomesha wanaugua depressionAcha wanaongea kweli lakini mwishoni mambo yakigeuka wanakuwa taabani kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sahizi sijui wameenda michepukoni wametuliaNgoja nikawatoe povu huko wanaume wapenda kuchepuka ukiwakomesha wanaugua depression
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huyo bibi enzi zake sijui alikuwaje hahahaaaWabibi wengine hawajiheshimu aisee na uzee wanawaza umalaya
Ukute hata watoto aliozaa sio wa mumewe wabibi wa zamani walikuwa hatari[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] huyo bibi enzi zake sijui alikuwaje hahahaaa
Alishawahi kuja nae kijijini kumtambulisha akiwa na miaka 10, sa hv ana mwili mkubwa kuliko mimi kabadilika sana sikumtambua mapema hadi nilivyojua ndo sura ikarudi ni yuleDuu matatizo hayo sasa baba yako huyo mdogo hata kuwatonya msije pitia dada yenu?
Pole kwahiyo umekaa kimya bila kumwambia lakini aibu sanaAlishawahi kuja nae kijijini kumtambulisha akiwa na miaka 10, sa hv ana mwili mkubwa kuliko mimi kabadilika sana sikumtambua mapema hadi nilivyojua ndo sura ikarudi ni yule
Hahahaaa! Mapelele mojaAlimt0mbe@ hapo mitaa ya maperere nn??[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ijawezekana kabisa tubibi tulikuwa na siri kama hapati mimba lazima atoke nje bila kuongea [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Ukute hata watoto aliozaa sio wa mumewe wabibi wa zamani walikuwa hatari
Halafu hata bibi yake amebariki maana wamegegedeana nyumbani kwakeWatu wanaadhimisha kufufuka kwa kristo nyie mnagegedana huko kwa bibi yenu!
Ungeeleza ni baba yako kivip? Japo umesema sio mzaz!! Na huyo bibi ni bibi mzaa nan? Mama au babake na huyo ulienda kuzni naye?Za uzima,,
Sikukuu kwa upande wangu haikua nzuri kabisa, mpaka sasa sielewi kama nilisherehekea pasaka au sikukuu ya wajing. Ni hivi nimesex na ndugu yangu kabisa bila mimi wala yeye kujua. Huyu jamaa nilikua namzimia tangu zamani sasa pasaka ya juzi ikawa imetukutanisha akaomba "out".
Tukasafiri kwenda kijijin kwa bibi yake ambako alipanga akasherehekee. Tulifika salama na usiku "tukalalana". Mambo yakabadilika kesho yake mida ya usiku wakati tumekaa na bibi huku wao wakizungumza kilugha ambacho mimi sikielewi sana, kati kati ya mazungumzo nikamsikia bibi kataja jina fulani, moyo ukanilipuka nikauliza ili kuhakikisha jamaa akajibu kuwa huyo mtu ni babu yake. Nikahisi presha ya ghafla kwani huyo mtu ni baba yangu mimi( sio mzazi).
Baadae nilimwambia jamaa na akathibitisha kuwa ni kweli ila akawa hana la kufanya.
Naomba ushauri, nifanyeje??
Sijamwambia yaani, mwezi wa 2 sasa nimemchunia, hapo ana mpango wa kubeba mimba akimaliza chuo, mwenyewe ananipenda kupitiliza,Pole kwahiyo umekaa kimya bila kumwambia lakini aibu sana