Nakazia mkuusorry
ila Huyo jamaa ako mseng3
Ilikua na wiki mbili toka anunue dukani![]()


,, naona ulionja sumu kwa kuilamba.,, naona ulionja sumu kwa kuilamba.
Ndo univunjie simu yangu...na maisha yalivyomagumu haya...ebu tuwe serious..ukinikamata na cheat wewe lia tu nitakuonea huruma nitaacha but usijaribu kuleta vurugu kwa kujifanya baunsa
Ndio maana ikaitwa simu ya mkononi ya mume ni ya mume,na mke ni ya mke hapo nadhani ndoa itakuwa safi no migogoro
Duh hasira za kuvunjiana vitu...but kuna watu sio wa kuwaletea hizoo...hivi unamletea mkurya hayo mambo unategemea nini...si mtaishia kubadilishana majengo ya serikaliHapana hiyo huja na hasira,unajua hasira zikizidi unaweza hata kujiua mwenyewe! Cha msingi shuka tu omba msamaha siyo kuwa mbabe,utasikia mademu wangu ndiyo,mara simu kwanini umeshika?....
Ni kweli kabisa...!Huyo demu anampenda mshikaj na inaonekana ndo kwanza anayaingia mapenz na hana michepuko mingne,siku akiwa na michepuko mingne hatakua na time na simu za wanaume coz ukianza kuchati na mchepuko wako nayy anamtamfuta mchepko wake wanayamaliza
Bado huna ndoa kumbeHahahahahahahah kwakweli mimi vituko vingi nishapitia na naona kabisa nikikaa kwa ndoa nitatulia sababu hakuna kipya
Unataka kunioa?Bado huna ndoa kumbe
Ikiwezekana maana ugumu wa safari ndio wepesi wa akiliUnataka kunioa?
Amuulize Nalaila Kiula (pamoja.na uwaziri wake)Haa ha ha.. watu wanapasuliwa magari vioo kabisaa
Nimecheeekaa ! Kama Messi ....Nilikuwa na hasira na huwa sijali nikikasirika.... Alinipiga vibaya mnooo nakwambia nusu nife.... Ilifikia stage alinibana nikashindwa kupumua sijui nilipata wapi nguvu ya kusema "unaniuwaaa" akaniachia