Kama mpenzi wako ni mkurya usijaribu kumfanyia huo ujinga...wafanyieni hayo hao wa hukohuko darFresh tu vunja simu vunja na mwenye simu...
Usijaribu...habari itakayokuja huku mitandaoni ni auwawa kwa kushika simu ya mpenzi wakeNatamani huu udhubutu hata mara moja tu japo siuwezi ugomvi
Usijaribu...habari itakayokuja huku mitandaoni ni auwawa kwa kushika simu ya mpenzi wake
Hahaah ni tahadhari tu...kuna wanaume wengine usijaribu kabisa kufanya huo mchezo...hayo mambo wafanyieni wa hukohuko darHuyu atakua amedhamilia kuniua si sababu ya kuvunja simu bhana
Huyo ndio wa kumrostia kichuri na kukiwekea sumu ya panyaKama mpenzi wako ni mkurya usijaribu kumfanyia huo ujinga...wafanyieni hayo hao wa hukohuko dar
Hahaah ni tahadhari tu...kuna wanaume wengine usijaribu kabisa kufanya huo mchezo...hayo mambo wafanyieni wa hukohuko dar
Haahahahhaha huyo dada ana hasira kama zangu...... Niliwahi kukuta meseji kama hivyo kipindi simu yake x wangu ina week mbili tu toka anunue niliishika nikabamiza chini vunja vunja mpaka nilihakikisha haitengenezeki..... Kilichofuata ni kipigo cha mbwa koko nusu nife sirudii tena mimi kushika simu ya mtu na kuvunja Ile siku angeniua dah nilibadilika rangi mwili wote nikawa mwekunduuu jamani wadada tusifanye hii michezo ya kuvunjiana simu
Hahaaah sawaa bhn mjanja weweHuyo ndio wa kumrostia kichuri na kukiwekea sumu ya panya
Sasa kwanini kuvunjiana simu...kwani ukimvunjia simu ndo ataacha michepuko..wengine ukituvunjia cm akili yetu inatupeleka kukufanya kitu ambacho siku nyingine itakufunza usijaribu kusogelea kabisa simu yanguNikivunja yako vunja yangu sio kutoana ngeu ntakulaza ndani hamna cha mwanaume wa dar au wa mkoa
Sasa kwanini kuvunjiana simu...kwani ukimvunjia simu ndo ataacha michepuko..wengine ukituvunjia cm akili yetu inatupeleka kukufanya kitu ambacho siku nyingine itakufunza usijaribu kusogelea kabisa simu yangu
Ndo univunjie simu yangu...na maisha yalivyomagumu haya...ebu tuwe serious..ukinikamata na cheat wewe lia tu nitakuonea huruma nitaacha but usijaribu kuleta vurugu kwa kujifanya baunsaMkuu all in all unatetea kucheat sababu wewe ni mwanaume usifanywe chochote kweli
True,Kwanza simu yangu huyo demu anashika ya Nini.. ?? Hilo ndio swali langu la msingi
Wewe udeserve machozi ya mwanamke hata kidogo bora iwe mbwai tu tena si simu tu upate ataekufanya uanze upya kwenye kila kitu ila afanye wakati haupoNdo univunjie simu yangu...na maisha yalivyomagumu haya...ebu tuwe serious..ukinikamata na cheat wewe lia tu nitakuonea huruma nitaacha but usijaribu kuleta vurugu kwa kujifanya baunsa



Ndio maana ikaitwa simu ya mkononi ya mume ni ya mume,na mke ni ya mke hapo nadhani ndoa itakuwa safi no migogoroHaahahahhaha huyo dada ana hasira kama zangu...... Niliwahi kukuta meseji kama hivyo kipindi simu yake x wangu ina week mbili tu toka anunue niliishika nikabamiza chini vunja vunja mpaka nilihakikisha haitengenezeki..... Kilichofuata ni kipigo cha mbwa koko nusu nife sirudii tena mimi kushika simu ya mtu na kuvunja Ile siku angeniua dah nilibadilika rangi mwili wote nikawa mwekunduuu jamani wadada tusifanye hii michezo ya kuvunjiana simu
Eti lia ntakuonea huruma hahahaa funny...if u cheat we cheat tu kwa raha zako wala sifanyi fujo namie ukijua napigwa dudu la yuyuu utulie hivo hivoNdo univunjie simu yangu...na maisha yalivyomagumu haya...ebu tuwe serious..ukinikamata na cheat wewe lia tu nitakuonea huruma nitaacha but usijaribu kuleta vurugu kwa kujifanya baunsa