Nilidhani ni story kumbe Kweli

Haahahahhaha huyo dada ana hasira kama zangu...... Niliwahi kukuta meseji kama hivyo kipindi simu yake x wangu ina week mbili tu toka anunue niliishika nikabamiza chini vunja vunja mpaka nilihakikisha haitengenezeki..... Kilichofuata ni kipigo cha mbwa koko nusu nife sirudii tena mimi kushika simu ya mtu na kuvunja Ile siku angeniua dah nilibadilika rangi mwili wote nikawa mwekunduuu jamani wadada tusifanye hii michezo ya kuvunjiana simu
aah, vipi hakutaka uilipe cm yake?
 
Mimi alinikuta na chati na mwanachuo mwenzangu katika pulukushani kioo kikavia wino aisee hakuamini nilimbadilikia hadi akanunua sm yangu kesho yake tu nikaipata
 
Nini simu? Mimi nishavunjiwa TV inchi 52, laptop, kabati la vyombo na vyombo vyake, sofa lether zilichanwa chanwa na wembe, sigth mirrors, nguo na viatu kuchomwa Moto na hasala luluki. Kisa mchumba alikuta alikuta kitenge magetoni. Akapaniki Sana. Nilikuwa nimetoka kidogo kumsindikiza sister alikuja kunitembelea ila yeye sikumwambia. Kurudi nikakuta geto limekuwa torabora. Kumuuliza ananijia juu na kunikwida na kuanza kulalamika nimefikia hatua ya kuingizwa made zangu ndani. Kisa kitenge.

Nikamwambia subiri. Nikampigia sista akarudi maana hakufika mbali. Nikamwambia umesahau kitenge chako na ndio kimeleta dhahma yote hii. Akapigwa butwaa. Nilichofanya nikamwambia yule mchumba ingia kwenye ndinga tukaongee. Nikaenda nae mpka kwao nikamshusha na kumwambia asinitafute Tena. Hakukubali ila baada ya miezi kadhaa akakubali matokeo.
 
Nini simu? Mimi nishavunjiwa TV inchi 52, laptop, kabati la vyombo na vyombo vyake, sofa lether zilichanwa chanwa na wembe, sigth mirrors, nguo na viatu kuchomwa Moto na hasala luluki. Kisa mchumba alikuta alikuta kitenge magetoni. Akapaniki Sana. Nilikuwa nimetoka kidogo kumsindikiza sister alikuja kunitembelea ila yeye sikumwambia. Kurudi nikakuta geto limekuwa torabora. Kumuuliza ananijia juu na kunikwida na kuanza kulalamika nimefikia hatua ya kuingizwa made zangu ndani. Kisa kitenge.

Nikamwambia subiri. Nikampigia sista akarudi maana hakufika mbali. Nikamwambia umesahau kitenge chako na ndio kimeleta dhahma yote hii. Akapigwa butwaa. Nilichofanya nikamwambia yule mchumba ingia kwenye ndinga tukaongee. Nikaenda nae mpka kwao nikamshusha na kumwambia asinitafute Tena. Hakukubali ila baada ya miezi kadhaa akakubali matokeo.
Duuh alikuwa falaa sana Yani hasara yote hii kweli duuh..
 
Nini simu? Mimi nishavunjiwa TV inchi 52, laptop, kabati la vyombo na vyombo vyake, sofa lether zilichanwa chanwa na wembe, sigth mirrors, nguo na viatu kuchomwa Moto na hasala luluki. Kisa mchumba alikuta alikuta kitenge magetoni. Akapaniki Sana. Nilikuwa nimetoka kidogo kumsindikiza sister alikuja kunitembelea ila yeye sikumwambia. Kurudi nikakuta geto limekuwa torabora. Kumuuliza ananijia juu na kunikwida na kuanza kulalamika nimefikia hatua ya kuingizwa made zangu ndani. Kisa kitenge.

Nikamwambia subiri. Nikampigia sista akarudi maana hakufika mbali. Nikamwambia umesahau kitenge chako na ndio kimeleta dhahma yote hii. Akapigwa butwaa. Nilichofanya nikamwambia yule mchumba ingia kwenye ndinga tukaongee. Nikaenda nae mpka kwao nikamshusha na kumwambia asinitafute Tena. Hakukubali ila baada ya miezi kadhaa akakubali matokeo.
Hasira hasara, watu wanapaswa kujifunza kucontrol hasira zao.
 
Haahahahhaha huyo dada ana hasira kama zangu...... Niliwahi kukuta meseji kama hivyo kipindi simu yake x wangu ina week mbili tu toka anunue niliishika nikabamiza chini vunja vunja mpaka nilihakikisha haitengenezeki..... Kilichofuata ni kipigo cha mbwa koko nusu nife sirudii tena mimi kushika simu ya mtu na kuvunja Ile siku angeniua dah nilibadilika rangi mwili wote nikawa mwekunduuu jamani wadada tusifanye hii michezo ya kuvunjiana simu
 
Back
Top Bottom