rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,458
- 41,808
Kuna jamaa angu tunafanya naye kazi, sasa jana kaja ana simu ndogo mpyaa nikamuuliza vipi ndugu simu yako ile smart ipo wapi? Jamaa akasema demu wangu alikuta msg za mademu wengine akaivunja kisha kaitumbukiza kwenye maji.
Aiseh! Nilishangaa sana how yani? How? Halafu jamaa hadi leo hajamwambia chochote kuhusu ile simu wanachat tu kawaidaa
Wadada punguzeni visirani.
Aiseh! Nilishangaa sana how yani? How? Halafu jamaa hadi leo hajamwambia chochote kuhusu ile simu wanachat tu kawaidaa
Wadada punguzeni visirani.