Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,105
- 165,324
Misuli ya kwenye keyboards acha tuMnavyojitutumuaga humu sasa utafikiri watu vile!!!😂😂😂😂
Misuli ya kwenye keyboards acha tuMnavyojitutumuaga humu sasa utafikiri watu vile!!!😂😂😂😂
Teh we wasemaSiwezi kukubishia sana coz inategemea ntu na ntu....kwa mimi nikihisi tu kuchapiwa lazima niondoke na sigeuki nyuma kamwe sasa kwa ambaye nimeprove kachapwa narudije kwa mfano....inahitaji ushujaa kuendelea kubaki na mwanamke ka huyo
Kwa huko kwenu dar mkuu sishangai kumchekea mtu aliyevunja cm yakoOfcoz ila huyu jamaa sijui ana Malengo nae au ndo kumpenda mpaka kazidisha
Na hadi leo upo na huyo bondia?kwan umeeleza kwa hisia,hakika ulichapika haswaaa![]()
Na mm kiroho safi navunja na yake tu basi sote tucheze gemu la nyokaKuna jamaa angu tunafanya nae kazi sasa jana kaja ana simu ndogo mpyaa nikamuuliza vipi Ndugu simu yako ile smart ipo wapi?? Jamaa akasema demu wangu alikuta msg za mademu wengine akaivunja kisha kaitumbukiza kwenye maji...Aisee nilishangaa sanaa How yani??? How??? Afu jamaa hadi leo hajamwambia chochote kuhusu ile simu wanachat tu kawaidaa
Wadada Punguzeni visiraniii..!
Duh! Pole sana...Bila shaka hiyo simu alikuwa na uchungu nayo sana kuliko wewe.Nilikuwa na hasira na huwa sijali nikikasirika.... Alinipiga vibaya mnooo nakwambia nusu nife.... Ilifikia stage alinibana nikashindwa kupumua sijui nilipata wapi nguvu ya kusema "unaniuwaaa" akaniachia
😂😂😂😂😂Misuli ya kwenye keyboards acha tu
Hazikua hasira nahisi, ila ulijaribu kupima maji kwa miguu miwiliHaahahahhaha huyo dada ana hasira kama zangu...... Niliwahi kukuta meseji kama hivyo kipindi simu yake x wangu ina week mbili tu toka anunue niliishika nikabamiza chini vunja vunja mpaka nilihakikisha haitengenezeki..... Kilichofuata ni kipigo cha mbwa koko nusu nife sirudii tena mimi kushika simu ya mtu na kuvunja Ile siku angeniua dah nilibadilika rangi mwili wote nikawa mwekunduuu jamani wadada tusifanye hii michezo ya kuvunjiana simu
Umenikumbusha bwana mmoja Sinza,mwanae wa kike alitiwa mimba na mhuni tu mcheza viduku,muhhuni akajifanya kukimbia,jamaa akamtafuta kimyakimya akapamta,alimpiga risasi akamvunja mkono.


Duh! Pole sana...Bila shaka hiyo simu alikuwa na uchungu nayo sana kuliko wewe.
Pole sana ndug yangNilishaachana nae siku aliyonipiga hiyohiyo

