Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,556
Mimi ulidukuliwa, halafu nikapigwa mikwara na matusi !Kwa kweli. Mimi mtu hawezi kunifanyia hivi akabaki salama
Hapo penye matusi nilishindwa, nikamwambia lete mashahidi wako naiandikaa.......aah ! Akaufyata mpaka leo.






