Amo1
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 1,612
- 2,381
Aiseeeee ma EX huwa wanashida sana wanatukanwa Kila tusi hahahhHata sio wewe.... Yule mburula hawezi kuijua jamiiforum labda facebook
Aiseeeee ma EX huwa wanashida sana wanatukanwa Kila tusi hahahhHata sio wewe.... Yule mburula hawezi kuijua jamiiforum labda facebook
Kwenye vitabu vya dini...ndo mana ndugu zetu waislamu wanaruhusiwa kuoa mpaka wanawake wanne...vipi ushawahi ona wapi mwanamke mmoja kaolewa na wanaume wawili zaidi at the same timeHii statement ya mwisho imeandikwa wapi mkuu
Kwenye vitabu vya dini...ndo mana ndugu zetu waislamu wanaruhusiwa kuoa mpaka wanawake wanne...vipi ushawahi ona wapi mwanamke mmoja kaolewa na wanaume wawili zaidi at the same time
Mzee mama hata ka dem kawe kazuri vipi kuliko fedheha ya kugongewa bora niachane nako tuUnadhani kutembea mbele ni rahisi vivo mzee baba!!! Labda kwa kidem tu unachosuuzia rungu ila sio rahisi hivo
Kuna muda "kitu na mtu" vinapaswa kufungamana ili maandiko yatimie. No way! Upige uhuni na binti yangu halafu unamdunda? Umemuoa? Lini? Fanyeni uhuni wenu kwa nidhamu. Hata mimi na shangazi yenu tulikuwa watundu ila hatukuuana wala kuumizana.Kuna kitu kinaitwa jela mkuu
Hahaha tatizo sio uzuri ila umejiweka hapo kwa kiasi gani? Sio rahisi nakwambia wanaume wengi huwa mnasema ooh nikigongewa nasepa mnasepa kwa keyboards tu dear tehMzee mama hata ka dem kawe kazuri vipi kuliko fedheha ya kugongewa bora niachane nako tu
Mnavyojitutumuaga humu sasa utafikiri watu vile!!!![]()
Haa ha ha.. kweli mkuu ndo maana me sikutaka kuendelea kuongeaMzee usimwone hana akili. Hata mie ningefanya kitu kama hicho hicho ujue mda mwingine ni kutokujali ili umpe MTU sababu ya kujitafakari. Usije shangaa unaambiwa jamaa kaua maana uwezi jua anawaza nini juu yake.
Ofcoz ila huyu jamaa sijui ana Malengo nae au ndo kumpenda mpaka kazidishaSasa kwanini kuvunjiana simu...kwani ukimvunjia simu ndo ataacha michepuko..wengine ukituvunjia cm akili yetu inatupeleka kukufanya kitu ambacho siku nyingine itakufunza usijaribu kusogelea kabisa simu yangu
Huwajui Wakurya vzr ww, "usithubutu kukutwa na bwana pepsi"Huyu atakua amedhamilia kuniua si sababu ya kuvunja simu bhana
Huwajui Wakurya vzr ww, "usithubutu kukutwa na bwana pepsi"
naonna unamsema Gwajima hapa kiana mkuuKweli bhana,
Katoto kakiwa katundu kitandani,
Hata kakivunja I phone sikaachi.
Sema ng'ombe zengine mapenz hazijui alafu, usumbufu kibao.
Na hadi leo upo na huyo bondia?kwan umeeleza kwa hisia,hakika ulichapika haswaaa😂😂Haahahahhaha huyo dada ana hasira kama zangu...... Niliwahi kukuta meseji kama hivyo kipindi simu yake x wangu ina week mbili tu toka anunue niliishika nikabamiza chini vunja vunja mpaka nilihakikisha haitengenezeki..... Kilichofuata ni kipigo cha mbwa koko nusu nife sirudii tena mimi kushika simu ya mtu na kuvunja Ile siku angeniua dah nilibadilika rangi mwili wote nikawa mwekunduuu jamani wadada tusifanye hii michezo ya kuvunjiana simu
Chukulia Me ya kikurya ikipigwa na Me yenzake km ni Mtoto au Mvulana hapewi msosi na hatapewa ushirikiano kifamilia hadi akilipiza kisasi kwa kumshinda aliyempiga, ndo iweje ss Me aletewe kiburi na Ke waliokutana ukubwani tu?Siwezi thubutu aisee ingawa mkizingua itabidi tu mbio ninazo
Chukulia Me ya kikurya ikipigwa na Me yenzake km ni Mtoto au Mvulana hapewi msosi na hatapewa ushirikiano kifamilia hadi akilipiza kisasi kwa kumshinda aliyempiga, ndo iweje ss Me aletewe kiburi na Ke waliokutana ukubwani tu?
NB: sihalalishi kulipiza kisasi lkn nilichoongea ndicho nilichowahi kukiona nikiwa Mvulana.
Hopeful wameelimika kwa mda huu


Hopeful wameelimika kwa mda huu
Siwezi kukubishia sana coz inategemea ntu na ntu....kwa mimi nikihisi tu kuchapiwa lazima niondoke na sigeuki nyuma kamwe sasa kwa ambaye nimeprove kachapwa narudije kwa mfano....inahitaji ushujaa kuendelea kubaki na mwanamke ka huyoHahaha tatizo sio uzuri ila umejiweka hapo kwa kiasi gani? Sio rahisi nakwambia wanaume wengi huwa mnasema ooh nikigongewa nasepa mnasepa kwa keyboards tu dear teh