Nilidhani ni story kumbe Kweli

Nilidhani ni story kumbe Kweli

Kuna jamaa angu tunafanya nae kazi sasa jana kaja ana simu ndogo mpyaa nikamuuliza vipi Ndugu simu yako ile smart ipo wapi?? Jamaa akasema demu wangu alikuta msg za mademu wengine akaivunja kisha kaitumbukiza kwenye maji... Aisee nilishangaa sanaa How yani??? How??? Afu jamaa hadi leo hajamwambia chochote kuhusu ile simu wanachat tu kawaidaa


Wadada Punguzeni visiraniii..!
acha kudanganya watu ni ww, kweli ww ni popoma
 
Hahahahahahahah kwakweli mimi vituko vingi nishapitia na naona kabisa nikikaa kwa ndoa nitatulia sababu hakuna kipya
Hongera,

Unaonekana ni mtu mwenye uthubutu.

Utakua na Experience na mengi, nyie ndio kwenye ndoa huwa mnatulia kabisa na mnajua kuchagua mume.
 
Haahahahhaha huyo dada ana hasira kama zangu...... Niliwahi kukuta meseji kama hivyo kipindi simu yake x wangu ina week mbili tu toka anunue niliishika nikabamiza chini vunja vunja mpaka nilihakikisha haitengenezeki..... Kilichofuata ni kipigo cha mbwa koko nusu nife sirudii tena mimi kushika simu ya mtu na kuvunja Ile siku angeniua dah nilibadilika rangi mwili wote nikawa mwekunduuu jamani wadada tusifanye hii michezo ya kuvunjiana simu
aiseee
 
Haahahahhaha huyo dada ana hasira kama zangu...... Niliwahi kukuta meseji kama hivyo kipindi simu yake x wangu ina week mbili tu toka anunue niliishika nikabamiza chini vunja vunja mpaka nilihakikisha haitengenezeki..... Kilichofuata ni kipigo cha mbwa koko nusu nife sirudii tena mimi kushika simu ya mtu na kuvunja Ile siku angeniua dah nilibadilika rangi mwili wote nikawa mwekunduuu jamani wadada tusifanye hii michezo ya kuvunjiana simu
Pole ila huyo jamaa alikua kiboko simu tu anataka kuua mtu,
je ingekua gari?
 
  • Thanks
Reactions: amu
Nilikuwa na hasira na huwa sijali nikikasirika.... Alinipiga vibaya mnooo nakwambia nusu nife.... Ilifikia stage alinibana nikashindwa kupumua sijui nilipata wapi nguvu ya kusema "unaniuwaaa" akaniachia
Naona kichapo kilikunyoosha aswa
 
Stories za vijana wa kileo hizo. Sasa, akikuvunjia simu uwe makini. Usijidai kumpiga halafu ukakutana na baba yake ndiye mimi. Sijui itakuwaje! Sipendi kukutisha ila ni vema mtunze zipu zenu kwa uzuri ili muoe kihalali.
 
Kuna jambo huyo jamaa kalifanya baya sana kwenye hiyo simu, kuna wanawake hawapendi kuchitiwa na wakigundua wanafanya hivyo kwa hasira.
 
Stories za vijana wa kileo hizo. Sasa, akikuvunjia simu uwe makini. Usijidai kumpiga halafu ukakutana na baba yake ndiye mimi. Sijui itakuwaje! Sipendi kukutisha ila ni vema mtunze zipu zenu kwa uzuri ili muoe kihalali.
Umenikumbusha bwana mmoja Sinza,mwanae wa kike alitiwa mimba na mhuni tu mcheza viduku,muhhuni akajifanya kukimbia,jamaa akamtafuta kimyakimya akapamta,alimpiga risasi akamvunja mkono.
 
Zee lenyewe baharia la zamani alafu umtie mimba mwanae ukimnie kirahisi rahisi tu!!
 
Umenikumbusha bwana mmoja Sinza,mwanae wa kike alitiwa mimba na mhuni tu mcheza viduku,muhhuni akajifanya kukimbia,jamaa akamtafuta kimyakimya akapamta,alimpiga risasi akamvunja mkono.
Duuu
 
Kuna jamaa angu tunafanya nae kazi sasa jana kaja ana simu ndogo mpyaa nikamuuliza vipi Ndugu simu yako ile smart ipo wapi?? Jamaa akasema demu wangu alikuta msg za mademu wengine akaivunja kisha kaitumbukiza kwenye maji... Aisee nilishangaa sanaa How yani??? How??? Afu jamaa hadi leo hajamwambia chochote kuhusu ile simu wanachat tu kawaidaa


Wadada Punguzeni visiraniii..!
Kuchunguza cm ya mwenza ni ushamba! Coz u have urs.
 
Write your reply...daah huyo atakuwa sampuli ya wanaume WA dar yaani huyo manzi alikuwa ni wakupigwa kipigo cha mbwakoko na kuchomewa handbag yake

angenikuta mm nimetoka kweny bangi zangu ningempiga mpaka nikamvunja hasira yangu ingepoa pale ambapo ningeona damu
 
Back
Top Bottom