Nilidhani ni story kumbe Kweli

Nilidhani ni story kumbe Kweli

Wewe udeserve machozi ya mwanamke hata kidogo bora iwe mbwai tu tena si simu tu upate ataekufanya uanze upya kwenye kila kitu ila afanye wakati haupo
😂 Nisimkamate...tutabadilishana majengo ya serikali...anyway kabda hujamfanyia mtu vurugu jifikirie kwanza...kuna watu si wakuwafanyia vurugu
 
Eti lia ntakuonea huruma hahahaa funny...if u cheat we cheat tu kwa raha zako wala sifanyi fujo namie ukijua napigwa dudu la yuyuu utulie hivo hivo
Dadeki...naweza ua..hakuna kitu kinauma kama ugundue mwanamke wako anapigwa dudu...nafikiri ukitaka kumkomoa mwanaume hakikisha unapigwa dudu na anafahamu...hakuna kidume anayeweza vumilia hii lazima alie mchana kweupe
 
Dadeki...naweza ua..hakuna kitu kinauma kama ugundue mwanamke wako anapigwa dudu...nafikiri ukitaka kumkomoa mwanaume hakikisha unapigwa dudu na anafahamu...hakuna kidume anayeweza vumilia hii lazima alie mchana kweupe
Hahahaaaa unaona mchezo ulivo mtamu sasa???!!haiwezekani uniumize afu mi niumize simu yako lazma nkuumize wewe tu....tena nikikufuma heri ujishushe unibebishe unidanganye na vi outing plus vihela ukinitunia ndio unaharibu
 
Dadeki...naweza ua..hakuna kitu kinauma kama ugundue mwanamke wako anapigwa dudu...nafikiri ukitaka kumkomoa mwanaume hakikisha unapigwa dudu na anafahamu...hakuna kidume anayeweza vumilia hii lazima alie mchana kweupe

Ha ha ha kumbe uvumilivu 0+ dawa ni hii ukipiga dudu nje na demu wako akapigwe miti na masela wengine
 
Haahahahhaha huyo dada ana hasira kama zangu...... Niliwahi kukuta meseji kama hivyo kipindi simu yake x wangu ina week mbili tu toka anunue niliishika nikabamiza chini vunja vunja mpaka nilihakikisha haitengenezeki..... Kilichofuata ni kipigo cha mbwa koko nusu nife sirudii tena mimi kushika simu ya mtu na kuvunja Ile siku angeniua dah nilibadilika rangi mwili wote nikawa mwekunduuu jamani wadada tusifanye hii michezo ya kuvunjiana simu
Naona ulipigwa ukachakaa Uaije ukawa ndo wewe x wangu Mana ili tukio mbona Kama linafanana kabisa
 
Hahahaaaa unaona mchezo ulivo mtamu sasa???!!haiwezekani uniumize afu mi niumize simu yako lazma nkuumize wewe tu....tena nikikufuma heri ujishushe unibebishe unidanganye na vi outing plus vihela ukinitunia ndio unaharibu
Kweli kwa mwanamke mwenye jeuri hiyo ya kwenda kuchezea dudu la yuyuu bora tu ujishushe uwe mdogo...but kwa mimi nikigundua mwanamke wangu niki cheat na yeye atalipiza fasta natembea mbele hii kitu kwa sisi wanaume inaumiza sanaa huwezi vumilia
 
Ha ha ha kumbe uvumilivu 0+ dawa ni hii ukipiga dudu nje na demu wako akapigwe miti na masela wengine
Ukitaka kumshinda mwanaume ajue kabisa kuwa akichepuka basi na wewe unaenda kulipa kisasi kwa kuchepuka....nakuhakikishia hata awe kidume vipi lazima akuogope..hakuna mwanaume anayeweza kuvumilia haya maumivu...but mwanamke kuchepuka ni kuyaaibisha mahusiano mkuu 😂 😂 ....mwanaume tu ndo anaruhusiwa kuchepuka
 
Aisee angeiilipa huo uzungu wakuvunjian vitu sina

Tungeuza yake ninunue yangu mpya
 
Kweli kwa mwanamke mwenye jeuri hiyo ya kwenda kuchezea dudu la yuyuu bora tu ujishushe uwe mdogo...but kwa mimi nikigundua mwanamke wangu niki cheat na yeye atalipiza fasta natembea mbele hii kitu kwa sisi wanaume inaumiza sanaa huwezi vumilia
Unadhani kutembea mbele ni rahisi vivo mzee baba!!! Labda kwa kidem tu unachosuuzia rungu ila sio rahisi hivo
 
Ukitaka kumshinda mwanaume ajue kabisa kuwa akichepuka basi na wewe unaenda kulipa kisasi kwa kuchepuka....nakuhakikishia hata awe kidume vipi lazima akuogope..hakuna mwanaume anayeweza kuvumilia haya maumivu...but mwanamke kuchepuka ni kuyaaibisha mahusiano mkuu ....mwanaume tu ndo anaruhusiwa kuchepuka

Hii statement ya mwisho imeandikwa wapi mkuu
 
Back
Top Bottom