Nilichoshuhudia POLICE Jana!

Nilichoshuhudia POLICE Jana!

[HASHTAG]#Haloo[/HASHTAG],
Nakuamkia, shikamooooooooo!!
Wewe ni fireeeee
 
Una mahusiano yapi na Afande huyo, hadi kukupatia namba yake...!!? Au umemdanganya unawasiliana na WAANDISHI wa Habari, ili atoe USHUHUDA...?!

Muulize kwanza yeye ndie msemaji wa Jeshi la Polisi...?

Punguza kutoa POVU mleta Mada...Jasho na Mate yanakutoka kama JAMES una ugonvi nae.

Nenda nyumbani UKAPUMZIKE, waache Polisi wafanye kazi yao...
Halafu nahisi wewe n

Ameikuta mwishoni, ya nyuma amesimuliwa
Afadhali unisaidie Jf Kuna wajuaji sijapata ona.Ukiwapa Evidence wanakimbia
 
Inaweza ikawa ni chai ila kuna lakujifunza katika hili tukio
 
Ni story ya kweli au umetunga? jana umeshuhudia na jana kutafutwa uhamisho? hapa kuna chumvi.
mbona ameeleza vizuri mtoa mada, labda wewe ndio utakuwa umesoma kwa mihemko. ni somo zuri kujifunza
 
Madereva bodboda, bajaji, Noah zinazopeleka na kurudisha watoto shule pamija na wale wa school basi wanaharibu sana watoto wa shule katika umri mdogo huo ndio ukweli
 
Unatengeneza stori isiyo na kichwa wala miguu ili iweje? Hayo matukio mbona yameenda haraka sana?
 
Unatengeneza stori isiyo na kichwa wala miguu ili iweje? Hayo matukio mbona yameenda haraka sana?
Kuna wakati Huwa nikitafakari uelewa wa baadhi ya Watu humu jukwaa ni napata tabu sana.Sijui kutaka tu Watu Na wewe wakuone umesema.
Nabda nirudie Tena.Mimi nilienda kwa mishe zingine.Akatokea Huyo mjomba Na hako katoto kufuatilia mambo mengine Naona waliambiwa warudi hapo unajua Hata kama kesi ilifutwa bado mtoto alibakwa .
Sasa Afande mmoja wa kike akawa anasimulia ilivyokuwa Na mimi nimeelezwa Baada Hata ya kumuona mjomba MTU Na mtoto. Sio kwamba kesi ni Siku hiyo hiyo.
Sipendi tabia yenu ya kujifanya mnajuaaaaa kumbe kupotosha.Hivi story inakuwa je.Jambo limetendeka Hata kama mwezi uliopita but story itabaki kama ilivyo.Na ukweli Ndo Huo.Sasa shida Ilo wapi.Nawaelimisha.Lakini bado.
 
Kweli mkuu
Ikitokea Muda mjomba Na mtoto walitokea hiyo Siku Afande Ndo akawa anaelezeaaa.Nilishuhudia mtoto Na mjomba wa tukio.So soma vizuri usidandie tren
 
umesahau kitu kimoja, na jana hiyo hiyo uchunguzi umefanyika mtaani!
Usidandie tren kwa mbele wewe.Rudia kusoma Tena,tukio lilishatokeaaaaaaaaaàaaaaaaaaaa!!!
Hapo ilikuwa kama Afande anasimuliaaaa.Jamani.Kuna Watu wanakera hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom