Nilichoshuhudia POLICE Jana!

Nilichoshuhudia POLICE Jana!

Halafu uongo uongo huo peleka kibiti huko
Njoo nikupe no.ya Afande Aliyekuwa kwenye hiyo kesi tunajuana.Halafu uje ulete la sivyo.Nisikuone Tena unaleta mihemkoo.Story Ni ya kweli wewe unapinga.Nidanganye unanilipa
 
Inaweza ikawa ni chai ila kuna lakujifunza katika hili tukio
Sio Chai wala kahawa.Ni kweli Na kama hutaki kuamini.Hiyo story IPO Mbezi Luis kituoni.Askari wengi wanaijuaaaa.Sipendi mshadadie vitu msivyovijuaa
 
Njoo nikupe no.ya Afande Aliyekuwa kwenye hiyo kesi tunajuana.Halafu uje ulete la sivyo.Nisikuone Tena unaleta mihemkoo.Story Ni ya kweli wewe unapinga.Nidanganye unanilipa
Duuu acha ukali basi
 
Ni story ya kweli au umetunga? jana umeshuhudia na jana kutafutwa uhamisho? hapa kuna chumvi.
Hivi wewe Babati una nini lakini.MTU akisema mapaka Jana ile Ni muendelezo wa Hiyo kesi ana Maana gani?ulisomaga kiswahili kweli??
 
Ikitokea Muda mjomba Na mtoto walitokea hiyo Siku Afande Ndo akawa anaelezeaaa.Nilishuhudia mtoto Na mjomba wa tukio.So soma vizuri usidandie tren
hujui kuna watu ubishi wamechanjia? achana nae mtu kama huyo ni kumpotezea tu
 
Kama umejichanganya hv? Mda wooote ulikua hapo? Hadi uhamisho unafanyika? Noooooo
 
Kama umejichanganya hv? Mda wooote ulikua hapo? Hadi uhamisho unafanyika? Noooooo
Rudia kusoma Tena.Naona Kuna sehemu inasema ........Siku Hiyo Ni muendelezo wa tukio wenyewe ni kama ilishatokea Sasa wanasimulia.Imeonekana story ya Siku moja Baada ya kutoka mjomba Na mtoa Mada kumuona kwa macho
 
Ni story ya ukweli kabisa.Mjomba anakaa kimara korogwe'mji mpya street .huyo binti anasoma mavurunza shule ya msingi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom