Kwani uchunguzi unachukua muda gani??sema wewe.Ila mimi nimekuta wanasimulia na katoto nimekaona.True story.Au twende.Huwa mimi napenda fact .Ukikataa kwenda we ndo unaleta ulongooooHuo uchunguzi mtaani umechukua muda gani na mjomba kakaa ndani muda gwni. Story fake hiyo
Nimekuta story. Mjomba yupo nje alipita tu kufuatiliaHata mm nashindwa kuelewa UchunguZi umefanyika kwa muda gani, kwa maelezo yako inaonyesha kila kitu kimefanyika jana na ww ukiwepo toka mjomba anasekwa rumande mpka watu wanaenda kuchunguza na mpka anatolewa hii yote ilikuwa jana tu, ina maana toka asubuhi we upo kituoni au na ww ulikuwa rumande
NajaNjo Pm![]()
![]()
Karekebishe bas bandiko lakoUkhuty..this is true story.Kama mnabisha ajitolee mtu twende naye kwa hao maafande.Aje na ushuhuda.Niongope jamani.Kuna Bank inanilipa kwa kusema Uongo??
Mbezi kwa Yusuph?Jamani typing error. Ni kweli.kabisa.Labda njoo Pm nikupe no.Ya afande au uende mwenyewe pale Mbezi luis police.Ni kweli njoo pm nikupe no.Akakusimulie Afande mwenyewe.Sipendi mtu aseme ni uongo wakati wahusika nimewaona wote.(inasikitisha kweli)
Kuna wakati simu ninapoandika ikiwa kwenye Chaji sijui Ni friction ..Inakacha.Utakuwa hata nukta zinakuwa nyingi au inajiandika inavyoona.Inahitaji nirudiee kwa umakin Sasa sometimes Naona Ujumbe ufikr.Au nipo on a go.Chaji inaishiaaaa.Napost tu Bila kurekebisha.But now ntakuwa makini.AKarekebishe bas bandiko lako
Njoo Pm.Nikupe no.Ya Afande.I swear.Na mkishaongea utupe mrejeshoJF Tuweni makini na vyanzo vyetu vya habari, ndio maana namuamini joseverest katika kujitolea kama KIRANJA...
Thread kama hizi huwa anazishitukia MAPEMA na kutupa muongozo wale WAKURUKUPAJI...
Sitoi hata POLE kwa Mjomba, wala simuhukumu JAMES..
Yawezekana mleta MADA umelelewa na MJOMBA hivyo una mdedicate, yawezekana pia una chuki na dereva bodaboda pengine wanakulia MZIGO wako...
Habari hii, mpelekee SHIGONGO atakulipa chochote...dms {doesn't make sense)
Ukiona hivyo mjomba labda aliwahi kukatishia nyau kakajua mjomba nae anatakaWasalaam!
Jana Nilikuwa Na ishu naifatila pale Police Mbezi.
Jamani,Tuwe makini sana Na Watoto wa kike Hasa wadogo tunaowachukua kwa Lengo la kuwalea au kuwatunza.
Mtoto wa kike miaka kama 6 au 7 tuchukulie Ni darasa la 7.Amebakwa!!
Sasa kisanga hicho kikataka kumgeukia Mjomba MTU anayeishi naye,Baada ya Huyo mtoto kubakwa Na kupimwa kubainika kabakwa,ma jirani wakaripoti police,Baada ya police mtoto huku akilia akawa anamtaja mjomba wake. Kama ujuavyo Police hawana ajizi wakamsweka Ndani.Mpaka ile Jana ilikuwa mwendelezo wa mjomba MTU kuona kuozea jela kwa miaka 30.
Sasa,Baada ya mjomba MTU kuweka mahabusu Ili utaratibu uanze kufuatwa mjomba MTU akiwa Hajui wala haamini kilichomtokea inasemekana alikuwa analia Kilio mfululizo Bila kukoma Na huku akimuomba Mungu akiapa 'Jamani sijambaka Huyu mtoto sijambaka Huyu Mtoto Mungu Wangu anashuhudia'akaliaa akaliaaa anaomba.
Afande mmoja wa kike akaomba suala hili lifuatiliwe kwa makini mtaani anakoishi mjomba MTU Na Mtoto Ili kupata ukweli.Kamati ikaingia mtaani.Ndo kuja kubaini Ni kijana Bodaboda aitwae James ndio aliyembaka Mtoto Na kumtisha Mtoto aseme Ni mjomba.Na Ndio mjomba kutolea.
Hivi Sasa mjomba MTU anafanya utaratibu wa kumhamisha Mtoto Shule narudi kijijini.Maana ameponeaa tundu la sindano ukitegemea mjomba MTU ameoa.
Tuwe makini jamani.Mana katoto nilivyokaona japo Ni Kadogo vijana wameshakakomaza kiasi kwamba Baada ya maaskari kupata ukweli Na kuuliza tena akakakiri 'kweli Ni Bodaboda James.Lakini kabla kulikuwa Mpaka kanapiga makofi kushadadia mjomba ashikwe.
Angalia Pm.Tayari nimekutumia No.ya Afande .Ole wako usimpigiee Sipendi MTU.mpotoshaji hata kidogo.Kwa Hapa nakuwa mkari Mnisamehe.Na ulete mrejesho.Ujuaji mwingine haina faida.Ni MTU mzuri Na Ni muelewa .Uliza tu.Eti samahani Kuna alisingiziwa Kumbaka mjomba wake??uje Na mrejesho. Watu kama nyie nawapa Na Evidence.Usikimbie Uzi.Ulete mrejesho.Nidanganganye Ili iweje???JF Tuweni makini na vyanzo vyetu vya habari, ndio maana namuamini joseverest katika kujitolea kama KIRANJA...
Thread kama hizi huwa anazishitukia MAPEMA na kutupa muongozo wale WAKURUKUPAJI...
Sitoi hata POLE kwa Mjomba, wala simuhukumu JAMES..
Yawezekana mleta MADA umelelewa na MJOMBA hivyo una mdedicate, yawezekana pia una chuki na dereva bodaboda pengine wanakulia MZIGO wako...
Habari hii, mpelekee SHIGONGO atakulipa chochote...dms {doesn't make sense)
Hapo naenda kwa mguu nipo magari saba.