Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,577
- 5,265
Mleta mada wewe ni muongo, haiwezekani mtoto wa miaka sita au saba akawa darasa la saba na akawa kaishakomazwa.Wasalaam!
Jana Nilikuwa Na ishu naifatila pale Police Mbezi.
Jamani,Tuwe makini sana Na Watoto wa kike Hasa wadogo tunaowachukua kwa Lengo la kuwalea au kuwatunza.
Mtoto wa kike miaka kama 6 au 7 tuchukulie Ni darasa la 7.Amebakwa!!
Tuwe makini jamani.Mana katoto nilivyokaona japo Ni Kadogo vijana wameshakakomaza kiasi kwamba Baada ya maaskari kupata ukweli Na kuuliza tena akakakiri 'kweli Ni Bodaboda James.Lakini kabla kulikuwa Mpaka kanapiga makofi kushadadia mjomba ashikwe.