Nilichoshuhudia POLICE Jana!

Nilichoshuhudia POLICE Jana!

Mleta mada atakuwa darasa la sita au la saba. Yaaani amekaa akaona aibuke na kistori cha kipuuzi kama hiki. Ukiangalia tu uandishi wake na kastori kake unacheka maana ni mtoto kweli. Kastori ka kubumba hasa... Anadhan na sisi ni hopeless kama yeye.... Ha ha ha... Nacheka kwa dharau sana.
Mambo GuDume. Maisha yanendaje mtaani.hope you are doing fine my best friend

Sent from my Solar 5 using JamiiForums mobile app
 
Hao wanaobisha kwa hoja nyepesi wazoee.kwa sasa mtoto bado yuko Mbezi mwisho,barabara ya lami kwenda goba kuna kituo cha watu wa ustawi wa jamii.pale kwenye uwanja umetizamana na shule unaweza ukampata mtoto.ukifika uliza aliye mpa kesi ya kubaka mjomba afisa wa ustawi atakuitia but uwe na lugha za staha na ushawishi.
Naomba nisaidie kumuelimisha Huyo anayejiita Sr GuDume.This time Sitaki kabisa kumwambia aje PM Maana anakimbiliaga kulialia humu Na kuishi Ban.This time nimeelimika vya kutosha.
Si kujua Kumbe Hata baadhi ya Wanaume humu ni wadhaifu kiasi kwamba anakuwa kinyongo kikali Hata Baada ya mambo kupita Na kuombana msamaha.Sasa Unategemea MTU kama Huyo akiwa Na familia ataiendeshaje kama mambo madogo anayaweka moyoni Eti Na kuja kulipiza kisasi kwenye uzi mwingine.
Mambo ya sijui hajasoma sijui aliidhia la 6 vinahusiana nini Na hii story.Ninachiweza kumwambia Leo namstahi,Na Wala hataona PM kama ya nyuma iliyomyima Usingizi mwezi mzima.
Pm ya nyuma inamtosha.Simpi nyingine.Ile ile inamtosha

Sent from my Solar 5 using JamiiForums mobile app
 
Wasalaam!
Jana Nilikuwa Na ishu naifatila pale Police Mbezi.
Jamani,Tuwe makini sana Na Watoto wa kike Hasa wadogo tunaowachukua kwa Lengo la kuwalea au kuwatunza.
Mtoto wa kike miaka kama 6 au 7 .Amebakwa!!

Sasa kisanga hicho kikataka kumgeukia Mjomba MTU anayeishi naye,Baada ya Huyo mtoto kubakwa Na kupimwa kubainika kabakwa,ma jirani wakaripoti police,Baada ya police mtoto huku akilia akawa anamtaja mjomba wake. Kama ujuavyo Police hawana ajizi wakamsweka Ndani.Mpaka ile Jana ilikuwa mwendelezo wa mjomba MTU kuona kuozea jela kwa miaka 30.

Sasa,Baada ya mjomba MTU kuweka mahabusu Ili utaratibu uanze kufuatwa mjomba MTU akiwa Hajui wala haamini kilichomtokea inasemekana alikuwa analia Kilio mfululizo Bila kukoma Na huku akimuomba Mungu akiapa 'Jamani sijambaka Huyu mtoto sijambaka Huyu Mtoto Mungu Wangu anashuhudia'akaliaa akaliaaa anaomba.

Afande mmoja wa kike akaomba suala hili lifuatiliwe kwa makini mtaani anakoishi mjomba MTU Na Mtoto Ili kupata ukweli.Kamati ikaingia mtaani.Ndo kuja kubaini Ni kijana Bodaboda aitwae James ndio aliyembaka Mtoto Na kumtisha Mtoto aseme Ni mjomba.Na Ndio mjomba kutolea.

Hivi Sasa mjomba MTU anafanya utaratibu wa kumhamisha Mtoto Shule narudi kijijini.Maana ameponeaa tundu la sindano ukitegemea mjomba MTU ameoa.
Tuwe makini jamani.Mana katoto nilivyokaona japo Ni Kadogo vijana wameshakakomaza kiasi kwamba Baada ya maaskari kupata ukweli Na kuuliza tena akakakiri 'kweli Ni Bodaboda James.Lakini kabla kulikuwa Mpaka kanapiga makofi kushadadia mjomba ashikwe.
Pole kwa MJOMBA!! Huyu mtoto mbona ni muongo tena kanafiki kbs hivi mtoto wa la miaka 7 anaweza kusema uongo wote huo

Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
 
Pole kwa MJOMBA!! Huyu mtoto mbona ni muongo tena kanafiki kbs hivi mtoto wa la miaka 7 anaweza kusema uongo wote huo

Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
Bahati nzuri Kuna member mwingine humu kwa jina la Sr erica anawajua Na familia hiyo.Anasema kiumbo anaonekana mdogo Ndo mana nikabashiri tu kwamba Labda ana miaka 7 or 8 kumbe Ni zaidi.Kwa sasa yupo ustawi wa jamii Huyo mtoto akitokea Shule ya msingi Mavurunza.Unaweza enda kupata maarifa zaidi.Na Kuna watu sijui wana nia gani.Wanapotosha kana kwamba Nimesema hiyo story Ni siku moja.Ebu msiaome kwa mihemuko .Rudieni taratibu Nimesema mpaka ile Jana nilivyoenda ilikuwa Ni muendelezo.Au kiswahili kilikuja Na Pantoni



Sent from my Solar 5 using JamiiForums mobile app
 
Bahati nzuri Kuna member mwingine humu kwa jina la Sr erica anawajua Na familia hiyo.Anasema kiumbo anaonekana mdogo Ndo mana nikabashiri tu kwamba Labda ana miaka 7 or 8 kumbe Ni zaidi.Kwa sasa yupo ustawi wa jamii Huyo mtoto akitokea Shule ya msingi Mavurunza.Unaweza enda kupata maarifa zaidi.Na Kuna watu sijui wana nia gani.Wanapotosha kana kwamba Nimesema hiyo story Ni siku moja.Ebu msiaome kwa mihemuko .Rudieni taratibu Nimesema mpaka ile Jana nilivyoenda ilikuwa Ni muendelezo.Au kiswahili kilikuja Na Pantoni



Sent from my Solar 5 using JamiiForums mobile app
kiswahili kilikuja na upepo kutoka mashariki ya mbali...

Hiyo binti aliyebakwa mimi sijakataa atapata haki... Kwa nini amsingizie MTU mwingine?

Inaelekea kalifanya kenyewe ila kakaamua kumchafua MJOMBA wake..
Pole nyingi kwa mjomba

Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
 
mtaani sijajua si unajua ukiondoka asubuh kwenda job unarudi late jioni na folen zetu sisi wa dar ukifika home saa moja au mbili umechoka unaoga unakula unapumzika kidogo unalala. so sijajua kwa kweli.

enheeehh..nambie ilikuajea ukakaa ukaja na kastory kama haka kepesi ukasahau kuwa kwenye jukwaa tupo na sisi wenye akili? siku nyingine jipange ukiwa na kastory kama haka unafikiria kidogo.. sawa eeeeh? haya nambie wewe mtaani kwako wanasemaje? una story nyingine?

Mambo GuDume. Maisha yanendaje mtaani.hope you are doing fine my best friend

Sent from my Solar 5 using JamiiForums mobile app
 
mtaani sijajua si unajua ukiondoka asubuh kwenda job unarudi late jioni na folen zetu sisi wa dar ukifika home saa moja au mbili umechoka unaoga unakula unapumzika kidogo unalala. so sijajua kwa kweli.

enheeehh..nambie ilikuajea ukakaa ukaja na kastory kama haka kepesi ukasahau kuwa kwenye jukwaa tupo na sisi wenye akili? siku nyingine jipange ukiwa na kastory kama haka unafikiria kidogo.. sawa eeeeh? haya nambie wewe mtaani kwako wanasemaje? una story nyingine?
GuDume.Naomba uwe serious kidogo basi Na badilisha Iyo Avatar yako inanitisha .Kwa Heshima Na taadhima Naomba umPm. Sr erica .Hili Ni tukio la Kweli.Au nenda mbezi Shule ya Mavurunza Kule Kimara onana Na Mkuu wa Shule.Ulizia tu kuhusu mtoto aliyemsingizia mjomba wake kubakwa Na Sasa yupo Kituo cha Ustawi akisubili transfer. Jifanye Pengine umesikia Na una Lengo la kumsaidia mtoto.Baada ya kupata ukweli urudi tena Hapa kusahihisha.

Huwa napata tabu sana kukufikilia huenda Pengine Ni kati ya watu waliofukuzwa Kazi kwa vyeti feki Sasa una Stress sana.Kwa nini huwa unapenda kupotosha??? Na chuki juu Tena kwa vitu usivyokuwa Na uhakika navyo.Ukiambiwa Evidence huna kama kipindi Kule ukawa unashadadia vitu usivyokuwa Na uhakika navyo.
Hii Ni tabia mbaya sana kuwa nayo Mwanaume anayejielewa.
Kawaida Yangu Mimi MTU akinibeep kama unavyojaribu kufanya kuwa Napiga!!
Tuheshimiane kama ninavyokuheshimu.Najua Na kutambua nia ya jukwaa hili Sio chuki ama kuchafuana Ni kuelimishana Na kuburudika Na kama una chuki binafsi Ni bora ukaja Pm ukanielezeaa.Nipo Tayari kurekebisha kama nakukwaza but don't provoke me!!!!!!

Sent from my Solar 5 using JamiiForums mobile app
 
Hata mm nashindwa kuelewa UchunguZi umefanyika kwa muda gani, kwa maelezo yako inaonyesha kila kitu kimefanyika jana na ww ukiwepo toka mjomba anasekwa rumande mpka watu wanaenda kuchunguza na mpka anatolewa hii yote ilikuwa jana tu, ina maana toka asubuhi we upo kituoni au na ww ulikuwa rumande
kasikia kwa mtu huyu
 
Mama....usiendelee....nliambiwa wewe ni mmoja ya wanawake wenye matusi humu ndani. Unaweza mtukana mtu mpaka akafa... Nakumbuka kuna yule kaka ulimtukana siku moja mpaka akajitoa jamiiforums na baadaye wanasema alikufa kwa msongo wa matusi yako.

Mi sjakushambulia wewe...nmeshambulia tu story yako ya kubumba....oooh...sorry. Ya ukwel. Maana yu ve said once yu re provoked yu can do or say anything..

Mimi Gudume Gwenu. Nmeamua kukuunga mkono kuwa hii story yako ni ya ukweli, na ni ukweli kabisa kulingana na story yako unavyotaka iwe. Nikiwa sina akili timamu na nimeshawishiwa na kutishiwa na wewe Heloo kuwa nisipokubaliana nawe utanitukana mpaka nizimie.

GuDume.Naomba uwe serious kidogo basi Na badilisha Iyo Avatar yako inanitisha .Kwa Heshima Na taadhima Naomba umPm. Sr erica .Hili Ni tukio la Kweli.Au nenda mbezi Shule ya Mavurunza Kule Kimara onana Na Mkuu wa Shule.Ulizia tu kuhusu mtoto aliyemsingizia mjomba wake kubakwa Na Sasa yupo Kituo cha Ustawi akisubili transfer. Jifanye Pengine umesikia Na una Lengo la kumsaidia mtoto.Baada ya kupata ukweli urudi tena Hapa kusahihisha.

Huwa napata tabu sana kukufikilia huenda Pengine Ni kati ya watu waliofukuzwa Kazi kwa vyeti feki Sasa una Stress sana.Kwa nini huwa unapenda kupotosha??? Na chuki juu Tena kwa vitu usivyokuwa Na uhakika navyo.Ukiambiwa Evidence huna kama kipindi Kule ukawa unashadadia vitu usivyokuwa Na uhakika navyo.
Hii Ni tabia mbaya sana kuwa nayo Mwanaume anayejielewa.
Kawaida Yangu Mimi MTU akinibeep kama unavyojaribu kufanya kuwa Napiga!!
Tuheshimiane kama ninavyokuheshimu.Najua Na kutambua nia ya jukwaa hili Sio chuki ama kuchafuana Ni kuelimishana Na kuburudika Na kama una chuki binafsi Ni bora ukaja Pm ukanielezeaa.Nipo Tayari kurekebisha kama nakukwaza but don't provoke me!!!!!!

Sent from my Solar 5 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli, nlifoji cheti cha darasa la nne. Wamenitimua kazini. Nina stress nataka nizimwagie kwako.

GuDume.Naomba uwe serious kidogo basi Na badilisha Iyo Avatar yako inanitisha .Kwa Heshima Na taadhima Naomba umPm. Sr erica .Hili Ni tukio la Kweli.Au nenda mbezi Shule ya Mavurunza Kule Kimara onana Na Mkuu wa Shule.Ulizia tu kuhusu mtoto aliyemsingizia mjomba wake kubakwa Na Sasa yupo Kituo cha Ustawi akisubili transfer. Jifanye Pengine umesikia Na una Lengo la kumsaidia mtoto.Baada ya kupata ukweli urudi tena Hapa kusahihisha.

Huwa napata tabu sana kukufikilia huenda Pengine Ni kati ya watu waliofukuzwa Kazi kwa vyeti feki Sasa una Stress sana.Kwa nini huwa unapenda kupotosha??? Na chuki juu Tena kwa vitu usivyokuwa Na uhakika navyo.Ukiambiwa Evidence huna kama kipindi Kule ukawa unashadadia vitu usivyokuwa Na uhakika navyo.
Hii Ni tabia mbaya sana kuwa nayo Mwanaume anayejielewa.
Kawaida Yangu Mimi MTU akinibeep kama unavyojaribu kufanya kuwa Napiga!!
Tuheshimiane kama ninavyokuheshimu.Najua Na kutambua nia ya jukwaa hili Sio chuki ama kuchafuana Ni kuelimishana Na kuburudika Na kama una chuki binafsi Ni bora ukaja Pm ukanielezeaa.Nipo Tayari kurekebisha kama nakukwaza but don't provoke me!!!!!!

Sent from my Solar 5 using JamiiForums mobile app
 
mtoa uzi huu,mie nakuchukulia with a pinch of salt,hauleti maana kabisa na siamini kuwa tuna polisi wapumbavu kiasi hiki cha kumweka mtu ndani bila ya ushahidi,nilitegemea kuambia mtoto alipelekwa kwa doctor ambaye alithibitisha kuwa she was raped,then polisi wamekusanya vielelezo na kuchukua sample za mtuhumiwa ili vipimo vya DNA vifanyike,then arrest will follow kutokana na matokeo ya DNA,ni wajibu wetu kuwaambia hawa watoto wetu kuwa wanapokabiliwa na tatizo hili watoe taarifa mapema kwa wazazi,wasioge au kunawa,na crime scene itunzwe,ndio maana watoto wako ni vema wakupende ili wasiwe waoga kuripoti vitu kama hivi,upendo ndani ya familia ndio njia ya kulea family.
 
Nadhani hapo ni hadith njoo uongo kolea

Sent from my SM-T231 using JamiiForums mobile app
 
mtoa uzi huu,mie nakuchukulia with a pinch of salt,hauleti maana kabisa na siamini kuwa tuna polisi wapumbavu kiasi hiki cha kumweka mtu ndani bila ya ushahidi,nilitegemea kuambia mtoto alipelekwa kwa doctor ambaye alithibitisha kuwa she was raped,then polisi wamekusanya vielelezo na kuchukua sample za mtuhumiwa ili vipimo vya DNA vifanyike,then arrest will follow kutokana na matokeo ya DNA,ni wajibu wetu kuwaambia hawa watoto wetu kuwa wanapokabiliwa na tatizo hili watoe taarifa mapema kwa wazazi,wasioge au kunawa,na crime scene itunzwe,ndio maana watoto wako ni vema wakupende ili wasiwe waoga kuripoti vitu kama hivi,upendo ndani ya familia ndio njia ya kulea family.
Sijui we Ni me ama vipi.Bahati nzuri humu yupi member kwa jina la sr erica anawajua mpaka Ndugu. Kumbuka Hii Ni 3rd World country yanayotendeka Unajua.Au nakusihi nenda Shule ya msingi Mavurunza onyesha Hii SMS kwa Mkuu.Usipoenda nyamaza.Usipotoshe.

Sent from my Solar 5 using JamiiForums mobile app
 
Mama....usiendelee....nliambiwa wewe ni mmoja ya wanawake wenye matusi humu ndani. Unaweza mtukana mtu mpaka akafa... Nakumbuka kuna yule kaka ulimtukana siku moja mpaka akajitoa jamiiforums na baadaye wanasema alikufa kwa msongo wa matusi yako.

Mi sjakushambulia wewe...nmeshambulia tu story yako ya kubumba....oooh...sorry. Ya ukwel. Maana yu ve said once yu re provoked yu can do or say anything..

Mimi Gudume Gwenu. Nmeamua kukuunga mkono kuwa hii story yako ni ya ukweli, na ni ukweli kabisa kulingana na story yako unavyotaka iwe. Nikiwa sina akili timamu na nimeshawishiwa na kutishiwa na wewe Heloo kuwa nisipokubaliana nawe utanitukana mpaka nizimie.
GuDume cool down my brother. I do care about you.

Sent from my Solar 5 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom