Nilichoshuhudia POLICE Jana!

Nilichoshuhudia POLICE Jana!

si kila aendae jela na makosa wengne huenda kwa makosa ya kusingiziwa
Yaani.Hata Huyo Afande wakati anasimulia akasema jani kweli Sio wote wanaofungwa wametendaa.Ila kilichomsaidiaa mjomba mpaka kuonewa Huruma.Ni kulia mfululizooo Bila kukoma.Mungu akamwona akamsaidia
 
Una mahusiano yapi na Afande huyo, hadi kukupatia namba yake...!!? Au umemdanganya unawasiliana na WAANDISHI wa Habari, ili atoe USHUHUDA...?!

Muulize kwanza yeye ndie msemaji wa Jeshi la Polisi...?

Punguza kutoa POVU mleta Mada...Jasho na Mate yanakutoka kama JAMES una ugonvi nae.

Nenda nyumbani UKAPUMZIKE, waache Polisi wafanye kazi yao...
 
Miaka saba au sita darasa la 7.
Jf sometimes sijui akili nyingi sana ama vipi.Rudia kusoma nisingehua ana miaka mingapi ndo mana nikasema miaka 6,au 7,Na pia 7 nikarekebisha la Kwanza.Hujaelewa wapi ndugu???
 
Kuna dalili ya chumvi hapa mara miaka 6,7
Mara darasa la 7
Rudia kusoma.au njoo Pm Afande akuelezee mwenyewe.Sijui kwa nini mnapendaga kujenga hoja pasipo hoja
 
Tayari Nimetoka no.Watakuja Na mrejesho.Yoyote anayetaka aje Pm.hii Ni story ya kweli.
 
Jamesi kibaka sana uyo
Amekakomaza katoto mpaka hakaelewi kitu.I wish MTU sense tu Pale police.Aulizie hiki kisa.Inauma Hasa kwa innocent kid Na kwa mjomba
 
Una mahusiano yapi na Afande huyo, hadi kukupatia namba yake...!!? Au umemdanganya unawasiliana na WAANDISHI wa Habari, ili atoe USHUHUDA...?!

Muulize kwanza yeye ndie msemaji wa Jeshi la Polisi...?

Punguza kutoa POVU mleta Mada...Jasho na Mate yanakutoka kama JAMES una ugonvi nae.

Nenda nyumbani UKAPUMZIKE, waache Polisi wafanye kazi yao...
Afande Huyo Nilikuwa Na Kazi naye.Ikalazimika niwe Na no.yake Na pia alihusika kuunda time.So hapo ilikuwa kama anasimulia Na walikuwepo Watu wengi.Na Baada ya timu kupata ukweli kwamba mjomba ahudlsiki akawa anasimulia kama onyo. Ni kweli ndugu Yangu.I swear.
 
Sio kila mtu aliye fungwa ana hatia wengine wamesingiziwa tu
 
UKIWA MUONGO SHARTI UWE NA KUMBUKUMBU huyu mleta mada anataka kutu maanisha mtoto alianza darasa la kwanza na mwaka 1?!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom