KERATO MOMBAA
JF-Expert Member
- Feb 4, 2025
- 4,400
- 5,920
Ulivyopotea umerudi nikajua kuwa utakuwa sawa..ndo umeharibika mnoSiku moja nilipika dagaa kwa mafuta ya baby care baada ya maisha kunichapa kofi, nilipogundua kuwa yale mafuta yanafaa ndiyo ikawa jadi yangu kupikia.
Aisee ndani ya siku chache niligeuka kuwa kibonge hadi nikawa naitwa kifutu, na hii ilisababisha nikose demu. Wala sikuumiza akili, niliamua tu kuwa mpiga nyeto matata sana hapa nchini.
Mbaga Jr what's up
Binti wa zamani
Mbaga Jr