Nile vyakula gani niongeze kilo 5 ndani ya wiki2?

Nile vyakula gani niongeze kilo 5 ndani ya wiki2?

Asubuhi, chapati, supu na pepsi baridi..
Tafuna tafuna chocolate 🍫za kutosha..
Mchana gonga wali wako, na pepsi,
Saa 10 hivi kandamiza kiepe yai na soda baridi..
Shida unakula kula vi snacks
Usiku kula saa 4 au saa 5, ugali wako na nyama nyingi.. piga na pepsi
Kesho yake gonga uji na blee banda ya kutosha
Saa 4 chapati, mixer na soda..
Irudie ratiba hii, ndani ya wiki 2 utaipata habari yake

Akifanya haya bila stress na roho mbaya matokeo atayaona
 
1. Asubuhi pata supu, supu sio buku jero kwa mama ntilie. Nenda bar, agiza zile za elfu tatu na kuendlea. Kula na chapati au na ndizi za kuchemshwa. Ukimaliza gonga pepsi.

2. Mchana piga kitimoto au pilau au ugali wa dona. Piga na kuku, nyamanyama n.k kunywa maji 1 litre.

3. Saa 11 au 12 kula mayai manne ya kukaangwa.

4. Saa 3, 4 gonga chipsi yai na mishkaki. Piga na Pepsi.

NB: Hakikisha unapata muda mwingi wa kulala. Usiwe na stress za kijinga. Pata muda mwingi wa kupumzisha mwili. Achana na pirikapirika na mihangaiko isiyofaa mkuu.

Kula vizuri, kula vizuri, kula vizuri.
 
Kuna miaka nilikuwa pale udsm, sasa nilikuwa napga sana shuttle pori (sp), (mabibo>main campus), nlikuwa na rafiki yangu mmoja hv ambaye siku moja aliniamby njoo nikuonyeshe pa kula..lunch nilikuwa nakula pale chuon kariakoo cafe au huku coet.. Jion kwa mama mmoja anaitwa mama kifusi yupo pale mabibo kwa nje(remember: nilikuwa sinywi chai) siku isiyokuwa na jina huyo mchaga akanionyesha kwa mwarabu cafe(mabibo kwa nje) ikawa kila asbh nilianza kunywa pepsi baridi na ile mnaita donati mayai 1 pamoja na sharifu..nikitoka chuoni saa tisa au kumi n mwendo wa pepsi barid+donati yai 1+sharifu moja.
Pamoja na kuwa nilikuwa mwembamba, lakn ndan ya wiki 2 hadi tatu niliumuka nikawa kibonge had wa leo naitwa bonge..
Thanks to my LORD GOD zile nanihii hazijaisha, changamoto ni kuwa warembo vibonge wameishakuwa mama mkwe kwangu.
Binti wa zamani
secretarybird
Mbaga Jr
 
Ongeza na kitu Cha Arusha kuongeza appetite.
Alafu kula kama walivyoshauri wadau mbalimbali.
 
Uzito unaoutafuta ipo siku utapambana kuushusha na itakua ni jambo gumu mno kuliko ulivyoutafuta
 
Kama unataka kunenepa haraka kama bata mzinga wa Xmas basi angalia clips za wafugaji huko Ulaya
Miezi hii ndio wamekazana haswa kuwalisha kwa nguvu
 
Kuna miaka nilikuwa pale udsm, sasa nilikuwa napga sana shuttle pori (sp), (mabibo>main campus), nlikuwa na rafiki yangu mmoja hv ambaye siku moja aliniamby njoo nikuonyeshe pa kula..lunch nilikuwa nakula pale chuon kariakoo cafe au huku coet.. Jion kwa mama mmoja anaitwa mama kifusi yupo pale mabibo kwa nje(remember: nilikuwa sinywi chai) siku isiyokuwa na jina huyo mchaga akanionyesha kwa mwarabu cafe(mabibo kwa nje) ikawa kila asbh nilianza kunywa pepsi baridi na ile mnaita donati mayai 1 pamoja na sharifu..nikitoka chuoni saa tisa au kumi n mwendo wa pepsi barid+donati yai 1+sharifu moja.
Pamoja na kuwa nilikuwa mwembamba, lakn ndan ya wiki 2 hadi tatu niliumuka nikawa kibonge had wa leo naitwa bonge..
Thanks to my LORD GOD zile nanihii hazijaisha, changamoto ni kuwa warembo vibonge wameishakuwa mama mkwe kwangu.
Binti wa zamani
secretarybird
Mbaga Jr
Siku moja nilipika dagaa kwa mafuta ya baby care baada ya maisha kunichapa kofi, nilipogundua kuwa yale mafuta yanafaa ndiyo ikawa jadi yangu kupikia.

Aisee ndani ya siku chache niligeuka kuwa kibonge hadi nikawa naitwa kifutu, na hii ilisababisha nikose demu. Wala sikuumiza akili, niliamua tu kuwa mpiga nyeto matata sana hapa nchini.

Mbaga Jr what's up
 
Back
Top Bottom