The Hyper
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 1,787
- 1,107
...after death. Ila ukimpokea Yesu Kristo unaepuka fire
Nawe unaamini katika Kristo Yesu?
...after death. Ila ukimpokea Yesu Kristo unaepuka fire
Ndio misemo mipya ya shetani [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Aaaaaah!! Hilo Jina siku hizi linasimama mbadala wa neno LA mpinzani!
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Ukweli mchunguNdio misemo mipya ya shetani [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Thnks u umenifany nichek leo mku[emoji23]Hebu weka yako kwakuwa hata wewe ni shetani mwenye sura ya binadamu [emoji15] [emoji3]
Mkuu nafikiri Kiranga hana nia ya kumuona shetani.. Kama ana hilo hitaji aweke wazi, hata mkuu mshana jr anaweza kumpeleka bila gharama yoyote lakini vigezo na masharti azingatie.kiranga haamini uwepo wa huyu kiumbe,
uliwahi kumwona shetani? kujua kitu lazima uwe umekiona ila unafahamu kitu kwa kusimuliwa
Ukweli mchungu
Et unataka kuombewa wakati unakinyongo na mpinzani wako?!
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Bado jf kufungiwaView attachment 393513hihihiiii
What is formless then?Satan is formless
Umeshawahi kumuona malaika au stori tu? Kama hujawahi kumuona umejuaje kama anaweza kubadilika kuwa malaika?Na kama umesikia kwa watu sema umesikia na huna uhakika na kile unachokisema.Umbo gani hilo mkuu, wakati anaweza kujibadilisha kua hata malaika wa nuru
Duu asante kwa kututambia na misamiati ya kizungu...ungekuwa mahiri ungeandika kikwetu ila sio mbaya sana kwakuwa kuna kamusi ngoja tukadukueWe jamaa una psychopathology, una delusion of religiosity, delusion of grandiosity,visual hallucination na illusions.....kanywe dawa inaitwa haloperidol uone kama utaendelea na hizo dalili mkuu