X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,700
- 14,768
aisee mbaya zaidi wengi hujikuta wameshirikiana na huyu mwovu shetani bila kupenda ama kujua...ni hatari sana aisee
Ukiwa na ndinga kama BMW kupata wachuchu wala haihitaji uwe na ndere, vipi mkanganyiko wa kutumia mali ulizochuma wakati ukimtumikia while now haupo naye![]()
![]()
na wachuchu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Lakini unaweza ukiingia kwa lengo la kuwafaidi wapumbavu waliomo humoNo God no Evil.. Be Atheist u wil enjoy your life forever..usijiingize kwenye mambo mawili hapa Duniani. DINI NA SIASA..utakufa bila kuenjoy duniani..wakati ukifa umekufa ndugu..
Hebu weka yako kwakuwa hata wewe ni shetani mwenye sura ya binadamu![]()
![]()
nimeshamfahamu huyu shetani hata mimiKaka lengo ni kuwekana sawa na kusahihishana.View attachment 393480
Kwa wale wachangiaji wa kukurupuka watofautishe kati ya kujua na kufahamu
Nakiri wazi kabisa kuwa namjua shetani...huyu kiumbe mbaya kabisa mwenye kutisha na kuogofya hasa.
Kwa mara ya kwanza nilimfahamu shetani kupitia maandiko na simulizi kwenye imani imani yangu...nikasoma na kusimuliwa vizuri tu kuhusu hiki kiumbe na jinsi lilivyokaa kimvuto (japo kinatisha sana kwa baadhi ya picha)nikamfahamu shetani kwa njia hiyo
Kilichofuatia ni kumjua shetani...nimekuwa mshirikina waje kwa miaka mingi tumefanya naye kazi pamoja, tuneshirikiana kwenye mengi na nimegundua ni mtu wa aina gani...shetani ni shetani tuu hata awe na sura nzuri ya kuvutia kama malaika hata akupe kila kitu..sio mwema kwako na daima anania maovu.
Hii ni siku ya mapumziko na ya ibada kwa wengine lakini wengi muda huu wako kazini wakishiriana kufanya kazi na shetani..cha kushangaza ukiwaukiza wanaweza kukana kabisa kumjua wala kumfahamu shetani na huu ndio uhalisia wetu UNAFIQUE
View attachment 393483
View attachment 393484View attachment 393485
Nauliza kwa hakika, kuna mambo nataka niyaweke sawa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
acha izo...! Labda kama unamsimanga Mzee Yusuph
Kujua kitu si lazima mpaka ukione huko ni kukata tamaa katika kuutafuta ukweli.kiranga haamini uwepo wa huyu kiumbe,
uliwahi kumwona shetani? kujua kitu lazima uwe umekiona ila unafahamu kitu kwa kusimuliwa
Hebu weka yako kwakuwa hata wewe ni shetani mwenye sura ya binadamu![]()
![]()



Uko sahihi kwakuwa shetani ni formless lakini binadamu tunajaribu kuunda ile dhana ya shetani kitu ambacho ni upotoshaji mkubwaHivi ungekuwa unamjua ungeleta picha za kuchora?
Mshana kuwa mkweli bwana![]()
Mbona taarifa kutoka kwenye maandiko zinasema hauonekani wala hashikiki?
Kweli shetani wa kijini amejaaliwa uwezo wa kujibadilisha katika maumbo shata ( yaani tofauti ),na mara nyingi sana huwa anajibadilisha katika umbile la mbwa mweusi au nyoka mweusi,ila kuna umbile kamwe hawezi kujibadili akawa katika umbile hilo.umbo lake original
Aaaaaah!! MI namjua yule shetani mwenye rangi ya kijani kama kile kidumu cha...... NduziView attachment 393480
Kwa wale wachangiaji wa kukurupuka watofautishe kati ya kujua na kufahamu
Nakiri wazi kabisa kuwa namjua shetani...huyu kiumbe mbaya kabisa mwenye kutisha na kuogofya hasa.
Kwa mara ya kwanza nilimfahamu shetani kupitia maandiko na simulizi kwenye imani imani yangu...nikasoma na kusimuliwa vizuri tu kuhusu hiki kiumbe na jinsi lilivyokaa kimvuto (japo kinatisha sana kwa baadhi ya picha)nikamfahamu shetani kwa njia hiyo
Kilichofuatia ni kumjua shetani...nimekuwa mshirikina waje kwa miaka mingi tumefanya naye kazi pamoja, tuneshirikiana kwenye mengi na nimegundua ni mtu wa aina gani...shetani ni shetani tuu hata awe na sura nzuri ya kuvutia kama malaika hata akupe kila kitu..sio mwema kwako na daima anania maovu.
Hii ni siku ya mapumziko na ya ibada kwa wengine lakini wengi muda huu wako kazini wakishiriana kufanya kazi na shetani..cha kushangaza ukiwaukiza wanaweza kukana kabisa kumjua wala kumfahamu shetani na huu ndio uhalisia wetu UNAFIQUE
View attachment 393483
View attachment 393484View attachment 393485
AaaaaahPicha ya eve inasisimua sio siri
Sasa uzi wako unayafanya wasiopenda kufikiri wazidi kuzipa nguvu imagination zaoUko sahihi kwakuwa shetani ni formless lakini binadamu tunajaribu kuunda ile dhana ya shetani kitu ambacho ni upotoshaji mkubwa
Tumevizwa na anuani na vitu ndio maana tuna majina
Aaaaaah