Inferior Complex
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 3,655
- 5,033
We acha tu hivi Nani AliichoraInafanya utamani kugonga
We acha tu hivi Nani AliichoraInafanya utamani kugonga
We acha tu hivi Nani Aliichora
Unajiita Jacobs urio halafu unajifanya wewe ni atheist. ..si afadhali mshana jr akijiita atheist kidogo italeta maana? ! Japo yeye ni wa Kristo 100%No God no Evil.. Be Atheist u wil enjoy your life forever..usijiingize kwenye mambo mawili hapa Duniani. DINI NA SIASA..utakufa bila kuenjoy duniani..wakati ukifa umekufa ndugu..
Aaaaaah!!! Ndiyo maana wale Malaika waliwatamani watoto wake wakike!!Aisee kwa kweli kama ni kweli alikuwa hivyo basi babu yetu Adam alifaidi sana tena alikuwa anagonga mwenyeweeee
Aaaaaah!!! Ndiyo maana wale Malaika waliwatamani watoto wake wakike!!
Kaka dini kilugha maana yake ni mfumo kamili wa maisha na kiistillahi ni mtu kujisalimisha kiukamilifu kwa Mola apasaye kuabudiwa kwa haki.Na katika mifumo ipo iliyo mibovu na mizuri.No God no Evil.. Be Atheist u wil enjoy your life forever..usijiingize kwenye mambo mawili hapa Duniani. DINI NA SIASA..utakufa bila kuenjoy duniani..wakati ukifa umekufa ndugu..

Aaaaaah!!!! Umenikumbusha mbaliHahahaha aisee dah ile kazi unaweza piga weeeee mwili unachoka lakini abdala kichwa bado kasimama pale ndo raha ya kuchapa
Aaaaaah!!! Ndiyo maana wale Malaika waliwatamani watoto wake wakike!!
Shetani wa kijini ana umbo lake la asili.Naona kama umesahau kuwa shetani wa kijini ni kiumbe.Satan is formless
Aaaaaah!!!! Umenikumbusha mbali
Kuna mlinzi fulani wa shule ya wasichana alikufa huku anajiona kwa jumbo hilo
Kwa jinsi ulivyo na mshabiki wengi hapa jf, ukisema unamjua shetani na umefanya nae kaziThen they are not great thinkers na wanapaswa kulog off ASAP![]()
![]()
![]()

Halafu ukiwanyima wanaanza kukukejeliSio mijanamke ya siku izi ina vitambi, midomo inanuka papuchi zinanuka mwili umetepeta ukipiga moja tuu hutaki tena
Wanajua kuomba ela tuuuu
Aaaaaah!! Huwezi amini Yale jamaa alikufaHahahaha maana unadinda mpaka unatamani kulia hahahahahaa
Nakubaliana nawe japo ndio tulivyozoezwa na ndio maana kuna baadhi ya washika dau wanaomba wengine waishi kama shetani bila kujua kuwa satanism is just a state of mind...!![]()
PICHA KAMA HIZI PIA NI MIONGONI MWA UONGO WA SHETANI KUWAPOTEZA WANADAMU.
SHETANI ALIKUWA MARAIKA SAFI, KUMCHORA AU KUMFANANISHA NA HAYA MADUDE NI KUWAPOTEZA WATU JUU YA SHETANI, WAKATI WAKITEGEMEA NI DUDE LA HATARI LENYE MAKUCHA SURA MBAYA KUMBE YEYE ANAKUJA KAMA KTU MWEMA MTU SAFI KABISA NA KIUMBE MZURI MWENYE UONGO MWINGI NA UPOTOFU WA KIWANGO CHA HALI UYA JUU.
SIUNGI MKONO UWAKILISHO WA SHETANI NA MAJINI KWA PICHA HIZI. JUSTFY