Niijuavyo Freemasonry

Niijuavyo Freemasonry

Hapo nimekuelewa!
:focus:
Unatetea ufrimason, jee wewe ni mmoja wao?
Haujanijibu hapo!

Nimeshakujibu sema hukuelewa!,lakini pia lazima ujue kwamba mi sitetei masonic bali naeleza mtazamo wangu kuhusu MASONIC,sasa umeelewa ehh??
 
Namba za masonic mfano ni 3,7,9,11 jinsi ulivyotaja hapo juu na ndo maana ww uliamka sa 9 kuandika hizo fikra zako
 
Mtoa mada umesema freemason ilikuwepo tangu enzi za Solomon.Naomba nikuulize,walikuwa wakiitwa kwa jina gani?
 
Kwenye link yako unasema kuwa ulipata wazo la kuandika hii kitu na ilipofika saa 9 usiku ukaamka na kuanza kuandika sasa iyo tisa ipo kwenye zile namba za siri za masonic mfano ni 3,7,9,11 nk mbona ukuamka saa 8 au sa 10
 
Vema,lakini lazima ujue,kuna masonic ideas ama theory ambazo ni tofauti na zinafanya pamoja.na kwa kawaida kuelezea mipango na madhumuni kama alichofanya Albert Pike,sio kosa ilehali ana wajibu kama kiongozi wakati huo(1800s).faham kitu kimoja kwamba mwingine huwa ni utabili na sio madhumuni sahihi,japo utabir hupelekea kufanya mikakati na kujiandaa na litakalotokea.


Inahitaji muda sana kukufahamisha mambo haya yanavyokwenda.lakini tambua kwamba lengo ni ZURI,wala sio ubaya kama wajuavyo wengi

mkuu we ziite theory ama ideas vyovyote vile, haidia hazina siri kama ni idea makini, na idea ya kuchinja mbuzi na kutoa kafara na kuwa mwanachama wa siri havina msaada. jiulize kwanini memba wanatakiwa wafanye siri yaani wasijulikane na jamii.
lakini jua huu ni mkakati wenye lengo la kuwepo dini moja duniani si mkakati wa juzi miaka ya 1800s descendants kwa akili sana. na kama unavyoona hawa freemanson wanavyoona umuhimu wa vita ya dunia kuwa sehemu ya mkakati wao, na pia namna ya kuangamiza dini zote ulimwenguni. Na wanasema wazi kuwa marekani ili itawale lazima kwanza wahakikishe dola ya marekani inaongozwa na watu wao.
na lengo la mvurugano huu wa dini duniani, ili wafanye watu waweze kuzichukia dini zao, na mwishoni FM wapige marufuku dini zote na wasimamishe dini yao moja ulimwenguni kwa uwazi zaidi. Kimsingi Dunia ni lazima mwishowe iwe na dini moja na sio kuwa ya kipagani. na ndio maana wanasema wataiweka wazi muda ukifika.

watu waliochoshwa na dini zao wakiwa wamekata tamaa ya kurubuniwa na manabii wa uongo, watajikuta wananasa kwenye ulimbo wa lucifer kiulaini, yaani wanajiunga na chama chao kwa mantiki ya kupata mwanga(light).na angalia wanavyosema wameweza kuudhohofisha ukristo inamaana sasa wako pia katika mkakati wa kuudhohofisha uislamu.

na hii ni probable kuwa hata wewe pengine unaona hizi dini za ukristo na uislamu hazina ukamilifu wa hapa na pale. hapa ndipo unajikuta ukiikaribishwa kwenye imani yao ili upate nuru yao kilaanini. Vilevile wanaojiona ni atheists, wanatakiwa washambulie wenye dini, lakini mwishoni kwakuwa wao (freemansonry) ndio wachonganishi wakuu waweze kuteka makundi yote, na kupiga marufuku upagani , atheisms na dini zote kisha kuweka wazi dini yao ya lucifer ulimwenguni mwote.
kumbuka kwenye ukristo wanapozungumzia mambo ya dhiki kuu na kuja kwa mpinga kristo duniani.
hawa freemansory hawana siri ya maana zaidi ya ibada yao kwa mungu wao shetani(falling angel) na mkakati wa kuweka dini moja ulimwenguni. mambo ya compas, piramidi ni mambo ya zamani kuliko 1800s lakini yako applicable mpaka leo kwenye imani yao.

na ukichunguza ndio freemansorny ndio fraternity yenye pesa sana na watu maarufu duniani hivi wanapata wapi pesa?

"We shall unleash the Nihilists* and Atheists*, and we shall provoke a formidable social cataclysm which in all its horror will show clearly to the nations (people of different nationalities), the effects of absolute atheism, origin of savagery and of the most bloody turmoil. Then everywhere, the citizens obliged to defend themselves against the world minority or revolutionaries, will exterminate those destroyers of civilization, and the multitude, disillusioned with Christianity, whose deistic spirits will be from that moment without compass (direction), anxious for an ideal, but without knowing where to render its adoration, will receive the TRUE LIGHT, through the universal manifestation of the pure doctrine of Lucifer, brought finally out in the public view,* a manifestation which will result from the general reactionary movement which will follow the destruction of Christianity and Atheism, both conquered and exterminated at the same time."
 
Mtoa mada umesema freemason ilikuwepo tangu enzi za Solomon.Naomba nikuulize,walikuwa wakiitwa kwa jina gani?

Masonic katika historia imepitia vipindi vingi sana,na pia wamekuwepo zaman kama nilivosema.kubadilika kwa majina na walikuwa wanaitwa vipi sio hoja sana.hoja ni ile falsafa na itikadi pamoja na malengo yao.


Nikianza kufafanua majina kwa kila Phase,itakuchua masaa sita.nakupa mwanga kidogo.
Kam unajua historia unamkumbuka VLADMIR I.Lenini wa russia,ama NAPOLEON BORNAPATE,wa france,hawa wote walikuwa wanaitikadi sawia na masonic ideas katika tawala zao lakini hawakuwa wakitumia direct Symbols za masonic.inawezekana hata wenyewe bila kujua kwamba ni wanachama walioingia katika masonic idea bila wao kujua,ukwel ukaja kujulikana baadae na elewa kwamba walikuwa wanatumia majina tofauti na itikadi hazikufanana na masonic.

Kwa hiyo lazima.ujue kwamba masonic ideas imepitia stage nyingi na katika kila stage kuna element za masonic hata kama wahusika hawajui kwamba wanahusika.
 
Nimependa hoja zako na pia naendelea kufatilia nice idea ilaaaaa kuna sehem uliboa watu baada ya kusema kuwa uwez kuabud kile usichokiona yaaaani Allah mwenyez mungu muumba wa mbingu na ardhi daaah nimesikitika ila uzur ni kwmba kila mmoja ataonjaaa umauti icho ndicho ninacho shukuru##sina tatzooo na mtu
 
Nimeshakujibu sema hukuelewa!,lakini pia lazima ujue kwamba mi sitetei masonic bali naeleza mtazamo wangu kuhusu MASONIC,sasa umeelewa ehh??

Hahahahahahahahaaaa!
Haya bhana! Siwezi kukulazimisha ufrimaso wakati mwenyewe unapinga hilo! But kama utafikiria vizuri kuna somo hapo!

Kwa kawaida binadamu ni kiumbe anaependa kusifiwa na kujifakhiri kwa ubora alionao! Na hata wale binadamu wasiokuwa na ubora huo! Hutumia njia zisizofaa kuhakikisha wanasifiwa! Process hii inaitwa ASPD = Attension seeking personal disorder (wanasaikolojia wanatambua hilo) swali la kujiuliza, kwanini watumie njia mbaya (wadanganye) ili waonekane watakavyo wao?
Hapa jibu ni dogo tu! Wanafake ili nao waonekane wamo!!!!
...
Nadhani haujaelewa main focus yangu hapo! Usijali soma na hapa chini:
...
Kwavile binadamu anapenda kusifiwa (hii haipingiki hata matahira wanapenda kusifiwa na kuonekana wanaakili sawa na watu wengine au hata kuwazidi)
kwa kuhakikisha mwanadamu anapata sifa hiyo (kusifiwa/kuonekana bora) humlazimu kuacha and/or kuficha yale yote anayohisi huenda yakamuondolea hitaji hilo!
(nadhani tunakwenda sawa hadi hapo!)

kwa mantiki hiyo, watu tunaficha maovu na kudisclose mema!
(hapo utatafsiri mwenyewe vile upendavyo!)
...
Kwa upande wa pili, elimu haina mipaka!
Inaruhusika mtu kusomea lolote, (kwa vile huamini Mungu, sijikiti na hoja za kiimani) hapa naongelea THE LAW OF MORALITY WHICH IS INHERENT TO EVERY PERSON! (nadhani unatambua hiyo principle ya law of morality)
Soma, soma, soma tena na tena, soma lolote, soma chochote! Kisichoruhusika ni matumizi mabaya ya kile ulichokisoma! Matumizi mabaya ni any usage which is harmful to other people and/or environment!
...
Free ideas (my friend) Nadhani umenielewa hapo!
Wish u gud day!
 
Free ideas,

mkuu,mimi nataka unitajie tu jina mojawapo,basi.Sihitaji maelezo kwa nini waliitwa jina hilo.Nitajie jina moja(apart from freemason) ambalo waliwahi kulitumia.Just a name.Haitakugharimu hayo masaa sita kutaja jina moja tu.
 
Mashaxizo,

Umekusudia kusema nini maana maelezo yamekuwa mengi kuliko pointi,em sema nikuelewe sio unakopy na kupaste
 
mkuu,mimi nataka unitajie tu jina mojawapo,basi.Sihitaji maelezo kwa nini waliitwa jina hilo.Nitajie jina moja(apart from freemason) ambalo waliwahi kulitumia.Just a name.Haitakugharimu hayo masaa sita kutaja jina moja tu.

Mbona majibu yangu yanajieleza?!!,nilipokupa mifano ile nilijua kabisa kwamba umeelewa.ok ni hivi kila sehem ilikuwa na ideas na jina tofauti na mwisho wa siku kunikuta wote wakiwa katika ushirika mmoja
 
Nimependa hoja zako na pia naendelea kufatilia nice idea ilaaaaa kuna sehem uliboa watu baada ya kusema kuwa uwez kuabud kile usichokiona yaaaani Allah mwenyez mungu muumba wa mbingu na ardhi daaah nimesikitika ila uzur ni kwmba kila mmoja ataonjaaa umauti icho ndicho ninacho shukuru##sina tatzooo na mtu

Asante kwa kufuatilia uzi wangu.kuhusu kuabudu nisichokiona nikwa kwamba,huwa napenda sana kusimamia kile nnachoamini.nadhan ulivonielewa ni sahihi kabisa
 
Kwenye link yako unasema kuwa ulipata wazo la kuandika hii kitu na ilipofika saa 9 usiku ukaamka na kuanza kuandika sasa iyo tisa ipo kwenye zile namba za siri za masonic mfano ni 3,7,9,11 nk mbona ukuamka saa 8 au sa 10

Hha asante kwa kufuatilia,ni kwel niliamka saa tisa na dakika 11
 
Aiseeeee we ni mbayaaaa 9 na 11 ni vitu ambavyoo vipo similar na namba za siri kama hapoo juu 3,7,9,11 nieleweshe
 
free ideas;
Pia mkuu, huu mkakati wa kuunda dini moja ulimwenguni ni mkakati halisi na sio siri upo, ukiratibiwa na Illuminati, japo sababu wanazotoa ni tofauti kidogo, wenyewe wanasema wanalenga kuondoa suffering ya binadamu, kutokana na mifumo ya kinyonyaji iliyopo ulimwenguni.wakitaka binadamu awe mungu wa dunia na sio dini zinazoonekana kshindwa kutoa suluhisho kamili. Na ndio kitu wanakiita NEw WOrld ORder(NWO)

NWO is not a myth... Is real
hiki kitu kimekuwa kikisemwa na viongozi wa Iran, US, na viongozi mbalimbali wa ulaya, ili kuleta ustawi wa binadamu.
hiki kitu kinalengo sawa la ku-ondoa dini zote ulimwenguni kwakuwa zimeonekana zikileta mateso kwa waumini wake, kwa namna moja ama nyingine. Na pia kukomesha ubabe wa mataifa makubwa dhidi ya mataifa madogo. mambo mengine kama unyonyaji wa mifumo ya kiuchumi kama u-Capitalism,communisms vinatakiwa viondoke duniani.
mkakati huu wanatamba ni wa siri na lazima utatimia. Pia illuminati wanajaribu kulaumu ndugu zao freemansonry kuwa wanaendeleza mambo ya Old world order kwa kuendelea kujilimbikizia utajiri wakati jamii inayowazunguka inateseka.
kwa umaskini. Hivyo way foward n kuunda NWO.
 
Head teacher,

Hata mi yalishanikuta lkn sijui chochote, walinikamata wakanifunga kamba na kunipeleka kwenye kanisa lao wakaanza kuniombea ''against christ!''ndo nikashtuka nikaanza kuomba ''shindwa ktk jina la Yesu kristu'' wakachemka,waliangaika na mi siku nzima pale Arusha lkn wapi mpk wakakata tamaa wakaniachia.
 
2013,

Mwanzo sikutaka kutaja NWO,kwa sababu tungefika mbali lakini kwa kuwa umeleta sio mbaya.ni kwel kabisa kuna kitu kinaitwa New World Oder,lakini tatizo ni tafsiri za watu wengi.kama ambavo nimesema huko juu,inategemeana unaichukuliaje na hapa ndipo watu wengi wankosea
 
Back
Top Bottom