Asante kwa mtazamo wako,na ndo mana nikasema situmii rejeo ama kitabu chochote,na asante kwa kujudge kwamba sijui chochote,naomba unijibu maswali hata kutokana na majibu yako hapo jui.
1.,ufalme wa nuru na ufalme wa giza maana yake nn??
2.nani ambaye ni controller,ama mmiliki wa falme hizo mbili\??,kama jibu ni mungu kwa nn anaruhusu falme mbili\???kma jibu ni shetani,je mungu kambuimba ili apingane nae??
3.,je ulishawahi kufikiria kwa nini dunia ambayo imeumbwa na umsemaje mungu mwenye mapendo na baraka zote,tena asiye na ovu na ikawa na maovu,visasi,chuki na mioyo migumu??
4.je ulishwahi kufikiria kwa nn mungu anapingana na shetan aliyemuumba??,uliwahi kujiuliza kwa nn shetan alimwambia yesu kwba miliki zote za nnchi ni mali yake\???
Jibu hayo kwanza nione IQ,,yako maana naweza kukup mzigo usiouweza