Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,869
Hivi kwa nini hambadiliki jamaan na kuquote story yoteAhsante kwa kutujuza, historia siku zote ni nzuri na ina fundisho ndani yake
Hivi kwa nini hambadiliki jamaan na kuquote story yoteAhsante kwa kutujuza, historia siku zote ni nzuri na ina fundisho ndani yake
article yote ni crapHadi naandaa nilijua wakurupukaji watashindwa kuelewa hapa, ndugu aliyenisaidia baadhi ya nukuu alizichambua juzi tu,kwahiyo sio kama nimesahau kuedit ndivyo ilivyo.
Another silly ideas again !!Haihusiani na mada mkuu, halafu sio kila mtu. Ni msabato, na hao jamaa ,SDA lilishasemaga haliwajui



