Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,660
- 7,948
Haaaaaa haaaaaa teeeh.
Inasemekana ...niliambiwa...niliambiwa...na blahblah nyingine
BTW nimeigoogle hiyo makala nimeikuta kwenye site zaidi ya 30 ipo kama ilivyo sijui aliandika nani?
Acheni kulisha watu ujinga.
Ninacho mkuuSoma kitabu " A knight in Africa" kilichoandikwa na Andy Chande utaelewa kazi za freemason na kwanini hufanya mambo yao kwa siri
ahsante kwa kufikiria vyema, haya maneno ya vijiweni na watu wenye matatizo, au makusanyo ya google bana. We need somebody who met the real undoubt masojn, atueleze.
Ahsante kwa kutujuza, historia siku zote ni nzuri na ina fundisho ndani yake
Ukiambiwa uthibitishe utaanza oh fulani kasema inasemekana inahisiwa mara wikipedia....blah blah blah..Apo kwenye kusalitiana na ukristo(r.c)si kweli maana hao r.c ndo wenyewe masonic na walitajirika kwa kujenga makanisa zaid na zaid,masonic walianza na hekalu la suleiman kisha wakafata r.c pale vatcan church,nahic kitu kama hicho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hi! Mkuu kalanga2