Niijuavyo Freemasonry

Niijuavyo Freemasonry

the more i read about many things the more i realize that christianity is full of contradictions.
nikipata muda wa kutosha ntakuja kumwaga nondo zangu regarding freemasons maana naona watu wengi wametiwa uoga na maneno ya mtaani regarding this.

Unasoma bila Roho wa Mungu ndio maana haupati ufunuo sahihi.
 
Ni mpu.mb.avu tuu ndiye atakaye kubali kuamini huu uongo wako........Inaelekea wewe ni mchungaji kanjanja unayetumia haka kastori chako cha kutunga kuvuna sadaka...

Hii namba 666 inatumika sana ila kwa kificho mno. Ipo katika vitabu vya dini na ipo katika maisha ya kawaida pia.

Mfano kama unajua mchezo wa kamali unaitwa ROULETE una namba 0 hadi 36,sasa ukichukua zile namba toka 1+2=3+3=6 ukiendelea kujumlisha jibu unalopata na namba inayofuata hadi mwisho utapata 666

Sasa mtu mwaminifu wa Imani yake hawezi gusa hii kitu wala kanyaga katika majumba ya kamali

Mimi nina mifano miwili mitatu hai niliyoiona kwa macho yangu ya nyama lakini siwezi weka hapa mtandaoni

Siyo kila kitu lazima kiwekwe mtandaoni na pia naangalia madhara yake yakoje. Kama hakina madhara sana kwa jamii sikiweki,pia kama naona watu wengi watakua na uwezo wa kikimudu sijisumbui. Watu watakao kimudu watasaidia wasiojimudu na tutasonga mbele.
 
COCKINGTON,

Usitishwe na habar za mitandaoni na mitaani ,namba 666,ni namba kama namba zingine,nikuulize,kwan katika Biblia namba ngapi zimetajwa??,huu ni uoga usiokuwa na maana ,.Masonic hawastahili kuogopwa namna hiyo sababi ni watu kama wewe,ila tu tofauti ya mawazo.
 
Mbona wauliza maswali ambayo hayahusiani na hoja zangu ? Kuabudu ndo kufanyeje. Kushukuru ndiko unaita kuabudu ? Au kuabudu una maanisha nini ?

Kumbe hata hujui kuambudu na kushukuru??,nna waswas na Imani yako hiyo.kumbe inawezekana unaenda msikitini ama kanisan kwa mazoea lakini hujui unafuata nini.
Kumbe kushukuru na kuabudu kwako ni sawa??
 
Usitishwe na habar za mitandaoni na mitaani ,namba 666,ni namba kama namba zingine,nikuulize,kwan katika Biblia namba ngapi zimetajwa??,huu ni uoga usiokuwa na maana ,.Masonic hawastahili kuogopwa namna hiyo sababi ni watu kama wewe,ila tu tofauti ya mawazo.

Je 666 ni kati ya namba wanazotumia hawa jamaa? Naomba kufahamiswa tafadhari

Mimi simuogopi mwanadamu mwenzangu ambaye akili yake,nguvu zake,uhai wake na vyote alivyo navyo vina ukomo

Pia elewa mimi nafahamu kuwa hawa jamaa ni watu kama watu wengine ila kuwa kwao watu kama wengine hakuwafanyi wasiwe waovu kwa mambo wanayoyatenda.
 
Je 666 ni kati ya namba wanazotumia hawa jamaa? Naomba kufahamiswa tafadhari

Mimi simuogopi mwanadamu mwenzangu ambaye akili yake,nguvu zake,uhai wake na vyote alivyo navyo vina ukomo

Pia elewa mimi nafahamu kuwa hawa jamaa ni watu kama watu wengine ila kuwa kwao watu kama wengine hakuwafanyi wasiwe waovu kwa mambo wanayoyatenda.

666,ni namba kama namba zingine,ndo mana nikasema katika Biblia namab zingine pia zimetajwa??,.lakini muhimi ni kuwa,ukiona namba 666,imetumika basi ujui inamaana yake
 
666,ni namba kama namba zingine,ndo mana nikasema katika Biblia namab zingine pia zimetajwa??,.lakini muhimi ni kuwa,ukiona namba 666,imetumika basi ujui inamaana yake

Nauliza tena labda hatujaelewana,ni hivi

666 ni namba au alama mojawapo inayotumika na hawa unaowazungumzia?

NDIYO AU HAPANA???????

Acha mabishano toa jibu
 
Nauliza tena labda hatujaelewana,ni hivi

666 ni namba au alama mojawapo inayotumika na hawa unaowazungumzia?

NDIYO AU HAPANA???????

Acha mabishano toa jibu

Namba zipo nyingi,0- zaidi ya billions,.Kutumika 666,sio sababu mbona ni namba kamazingin e??,maana hata 1,,3,7,11 n.k. ama 1,2,3,4,5,6 zinatumika??,
 
Namba zipo nyingi,0- zaidi ya billions,.Kutumika 666,sio sababu mbona ni namba kamazingin e??,maana hata 1,,3,7,11 n.k. ama 1,2,3,4,5,6 zinatumika??,

Angalizo: Jaribu kuacha mabishano unavyoendeleza mabishano ndiyo unajiongezea maswali ya kujibu.

Tafadhari nauliza tena 666 ni namba au alama mojawapo inayotumika na na hawa unaowazungumzia?

NDIYO AU HAPANA?
 
Angalizo: Jaribu kuacha mabishano unavyoendeleza mabishano ndiyo unajiongezea maswali ya kujibu.

Tafadhari nauliza tena 666 ni namba au alama mojawapo inayotumika na na hawa unaowazungumzia?

NDIYO AU HAPANA?

Ukitaka kujibiwa ndio au hapana utakuwa hujasovu tatizo maana ndio au hapana bila kuelewa nn maana yake bado utaendelea kuuliza.ndo mana najaribu kukupa maelezo upate japo mwanga
 
Hi Guyz!!
Hoja motomoto zarushwa huku na kule. Naomba tu muwe na utulivu katika kupeana hizi hoja. Niliposoma post nika-google swali la anima sacrifice by Freemasons. Mojawapo ya majibu ni hii debate hapa kwenye hii link:

Do Freemasons preform Ritual Sacrafice ? | Masonic Forum of Light

Niliipenda kwa sababu kuna Freemason mmoja amejibu hili swali: "do Freemasons perform animal sacrifice?"

Mchango wangu tu kwa sasa. Enjoy.
 
Kumbe hata hujui kuambudu na kushukuru??,nna waswas na Imani yako hiyo.kumbe inawezekana unaenda msikitini ama kanisan kwa mazoea lakini hujui unafuata nini.
Kumbe kushukuru na kuabudu kwako ni sawa??

Nimekwisha kugundua na nimekujulisha, ulijiita mwanasayansi kwa ulimbukeni tu, wewe ni pseudoscientist, haiwezekani unashindwa kujibu maswali au kujenga hoja kutokana na na kile ulichokiandika na kuulizwa, yaonyesha ni kweli unatumia akili pasipo rejea yoyote lakini unacho download na kupost humu ni kile ulichokariri.
Nimekwambia unauliza maswali ambayo hayahusiani na Hoja, nimekuuliza kuabudu ndiyo kufanyeje ? wewe ndiye umeleta habari ya kuabudu hapa,sijui kuabudu au kutoabudu kuna uhusiano gani na kujua uwepo wa Muumba wa Ulimwengu na vyote vilivyomo. Ulilalamika kwamba nimekulaumu bure,niliposema hujui namna ya kujibu maswali kwa kuwa wewe ni pseudoscientist na ndiyo kawaida yenu. baada ya kulalamika nimekuwekea maswali husika,badala ya kutoa majibu unaleta habari ya kuabudu,yaani ukikurupuka tu, unashusha kariri zako pasipo kujali kama zinahusiana na kilichoandikwa au lah...
 
Nkwesa Makambo,

Kinachofanya nisiwajibu wewe na wengine aina yako,mnauliza vitu vya kitoto kabisa na maswali yenu hayana kichwa wala mikono.haiwezekani kila ninachoandika unazalisha swali la kip...zi,eti maana yake nn.wakati huo huo hamuoneshi uelewa wenu katika mada zaidi ya kuuliza kila kitu maana yake nn!!.

Mtu unamwambia dunia haikuumbwa!!,bali iliyokea .badala aulize hiyo process ilivokuwa,ye anauliza maana ya neno ilitokea.Sasa huo ujinga nani ajibu??,jenga hoja usiulize mambo unayoyajua tayar na mi sio mwalimu wa kiswahili.
 
Free ideas,

You are Untrainable...unauwezo wa kukariri tu,kuelewa na kufikiri Zerooo!, tuhuma zako ungezitoa kwa kunukuu hayo maswali ya kitoto, ili wasomaji huru wapate kujua ukweli kama ni maswali ya kitoto au ni wewe una akili ya mtoto under 6 ndiyo sababu unayaona ni maswali yasiyostahili kujibiwa kwa kuwa yanaulizwa na wakubwa.
Huwezi kuandika dunia haikuumbwa bali ilitokea bila kueleza ilitokeaje.labda kama hujui nini maana ya kutoa maelezo ya kisayansi. You are Untrainable...
 
Nkwesa Makambo,

We bado sana kijana,una uelewa mdogo sana .Hujui hata mtu anajenga vipi hoja.nikikwambia Dunia haikuumbwa nikaishia hapo maana yake nakupa nafasi ama hoja uulize kivipi ilitokea.

Hapo nikiwa na maana tunaendeleza mjadala na kupima uelewa wako pia ka kwel uko makini ama unasoma juu juu tu.kwa sababu ya upeo wako mdogo hilo hulioni bali unauliza et kuumba maana yake nn.

Sasa nikisema we ni janga ntakuwa nimekosea?? .haya sasa inabidi tuache mada nikueleweshe maana ya UUMBAJI,afu ulivo zero brain ukishaeleweshwa unasahau hoja ya msingi unakurupuka na maswali kama hayo katika kila jibu.Mimi najibu nilichoulizwa sijibu nje ya swali.We umeuliza nini maana ya Uumbaji hapo hapo unataka ujibiwe dunia ilivotokea.

Sasa nikisema unamatatizo ntakosea??,we nilishakwambia tangu mwanzo hujai kwangu kwa hoja zaidi ya kuuliza maswali katika maswali nak usahau hoja yasema .Afu unabaki kubwabwaja na kutoa kashfa ambazo zinakuhusu.fikiri kijana usikirupuke.
 
Free ideas,

Arrogance + pseudoscientist = your posts
Hujielewi, angalia hoja yako hapo juu, umeongea pumba nyingi bila hata kuweka quote ya kile unachokisema kwamba ni maswali yanayokuwa nje ya topic.
Huna lolote,endelea kushusha kariri zako.
 
Back
Top Bottom