Mkosoaji
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 363
- 41
Hakuna majibu huko ipasemapo,na kama apo yalete.kuhusu mimi sina dini na wala sihitaji kuwa na dini maana sion haja.
Nimekuelewa, I rest my case.
Hakuna majibu huko ipasemapo,na kama apo yalete.kuhusu mimi sina dini na wala sihitaji kuwa na dini maana sion haja.
Mtoa maada ww dini yako ipi?huwez kumtamka mason usimtamke shetan kama usivyoweza kumpamba nyoka kama ww sio nyoka.think big
Swali gan ambalo sijajibu ???
Sasa kama hukumbuki swali, utakua unakumbuka ulichoandika mkuu? Au tunapoteza tu muda hapa?
Kuhusu namba 666,wala usiwe na hofu maana haita kudhuru wewe wala ndugu yako,na sio namba ya madhara ndo mana huwa nadema hapa kila siku kuwa watu wanatafsiri visivyo mambo haya.,kuna vitu vingine haviepukiki tayar vipo na vingine vingi huvijui,lakini pia unatakiwa kujua kwamba hofu yako haitasaidia kitu maana huna haja ya kuwa na hofu.hakuna baya zaidi ya mema na usiogope mambo ya watu.karibu
umekopi wewe acha kusema ni mawazo yako
Free ideas unaona matatizo yako ayo!
Umeulizwa maswali badala ya kujibu wewe unauliza! Tutafika kweli?
Kwanini usijibu and then uulize maswali yako?
Ni Matatizo ya watu wanaokariri umesahau tu, wewe ni mmoja wa wanatumia maswali kujibu maswali...
Mtoa maada ww dini yako ipi?huwez kumtamka mason usimtamke shetan kama usivyoweza kumpamba nyoka kama ww sio nyoka.think big
Mkuu, i must admit kuwa huo mkanganyiko unaousema, kuhusu "nyota ya Asubuhi".. nadhani nimewahi kuuona mahali japo sikumbuki vizuri ni wapi hasa.Plz plz plz LUCIFER SIO SHETANI, NI MAKOSA YA KIUANDISHI, LUCIFER NI YESU KRISTO MUNGU ALIYE HAI. USISTUKE HEBU TAFUTA UKWELI NDUGU YANGU. NYOTA YA ASUBUHI (LUCIFER) SIO SIFA YA SHETANI...FOLLOW THE TRUTH WHERE IT LEADS YOU
Umenifanya nitafakari sana juu ya masonic works.