Nihurumieni mwenzenu nakufa

Nihurumieni mwenzenu nakufa

Hiyo pesa uliyonayonayo anzisha biashara ya wanzuki na gongo mara moja mpaka mwezi unaisha utakuwa umerejesha laki moja-tano kwa kuwa wewe ni wakike unaweza ukautoa mwili wako kwa muda maalumu wakati huohuo unaofanya biashara ya gongo unakuwa "Multipurpose worker" 😂😂😂
Kwa staili hii huyo dada haitaji kujiua akiona hii comment anakufa mwenyewe kimya kimya.
 
Poleee, ID/Account umefungua usiku saa tatu, Huu uzi umeuandika usiku huu saa tisa kamili, ngoja tukusubr mpk asubu ukanushe au laaa.... pengne unaota au n haya masimu ya tecno umelilalia limeshafungua ID lenyewe likacopy mavitu kutoka FB au kweny Msg za kawaida likaingia Jf likapest lika post, maana inaonesha umepost tu n kama lijisaa limepita hukurud tena hewan, Au ndo umepata usingz? M mwenyewe sidaiwi wala sina stress zozote lakn nimekosa ka usingz sembuse mtu anaefikiria kufaaa?

Kama n kweli, Pole sanaaa kwan huna assets zozote zinazofka hio 25M Au kukaribia? Mda wa kulipa deni kwa hiari walikupa na umeshapita? umejarb kuongea nao kwa busara ukawaeleza nia yako ya kulipa? huwez huko huko bank ukafanya kaz bure kwa mda utakaofidia hilo deni?
M25 si haba kama huna hata mia na huna mzunguko wa kuipata, ila huwez ilinganisha na uhai wako dada, una uhakika wapo serious wanataka wakufunge?

Mana Hakuna watu wenye mikwara kwenye kudai kama bank, hata wakikukopesha au wakikuomba ukope wanakuletea vijidada vizurii vinawaka waka, sauti nyororo, ngozi chocolate,
Wakija kudai sasaaa.... Unaletewa njemba imefumuka usoo. Nyeusi tiii huku imevaa miwani inafunika mpk matundu ya pua, suruali kama pajama, chini bonge ya buti au raba kama za kangi, ikiingia inakua na mbwembwe mnasalimiana huku anazima switch huku anachomoa cable za tv, fridge n.k

Unasema atakae kusaidia utampa chochote atakachotaka,
My dear sister hicho chochote baadae inaweza iwe mthan zaid ya huu utaman ukakope tena bank hata mara mbili ya hio ulipe kuondokana na chochote,
Binafsi mimi na hvyo sina familia bd, ningetoroka kwanza nikaanze kuzisaka, Kama kuna watakachofanya huko nyuma poa tu, LAWAMA HAPEWI MBUZI, siku nazipata nawaletea kwa suprise uone kama watakusumbua,

Wazee tujifunze kitu hapa, usikubar kutoka kapa
Mbona kasema hapo ID Ni mpya jamani
 
Nilikua nachukua top up bank fulani pesa zikaingia kama ule mkopo wa mwanzo almost 12m. Nikakumbuka mkataba niliosaini kabla ya hizo pesa kuingia ulikua unasoma the same amount ambayo iliingia kwenye akaunti yangu. So nikajiridhisha that was my top up loan. Nikawa nadraw kidogo kidogo kama kawaida tu bila shida. After a month the bank called me and asked why I took the money I was not supposed to. By that time I had already put the money into a business ya kukopeshana. Watu wamenidhulumu hela nikajikuta sina nilichokifanya zaidi ya kupoteza hela. Today is almost four months toka wanitafute hiyo bank na huwa nadepost at least kila mwezi laki tatu kutoka kwa wateja baadhi kuwa waaminifu. Sasa wateja waaminifu wamemaliza madeni yao na mimi sina pa kupata hela zaidi ya mshahra wangu wa laki2 sina mali yoyote wala biashara tena benk wananizalilisha kila sehemu nashindwa hata kutoka nje..watu wananicheka kila wakiniona natamani tu Mungu anichukue hata SAA hii..nadhalilika mno nisaidieni jaman
Kudaiwa sio kudhalilishwa usiogope deni....tafuta wakili akusaidie huna kosa hapo...
 
Kwasababu ulikua na mipango ya uhakika ya kupokea 25M na haikuingia kwa wakati basi ikishaingia kawalipe jamaa.
Kingine kama hamna mkataba kwa kukopeshana basi wewe kimbilia mikoani kaanze maisha upya, acha kutumia namba za simu na simu zote ziache mjini.
anawaza kujiua
 
Mimi sio tapeli jamani ila kila mtu ana maoni yake na ninayaheshimu hii story ni ndefu sijui nianzie wapi na niishie wapi hiyo milioni 25 haikuingizwa yote iliingizwa 12m na mimi nilikua na deni na hiyo bank so wamepiga mahesabu natakiwa kurudisha 25m mimi naipata wapi mwenzenu sina hata pa kuanzia jamani sina mali zozote zaidi ya fridge na godoro langu uwiii mimi
Kwa hiyo unataka kufa?

Jiulize tangu dunia ianzishwe wangapi wamekufa?

Kwenda jera na kufa kipi bora?
 
Umesema ulizitumia ukijua ni zako kwani kuna hela uliokuwa unategemea ingizwe kwenye Account ,Vipi hawajaingiza? Na pia kama ni kutoa serekalini au taasisi huoni una point ya msingi ktk utetezi Mahakamani wakikupeleka?
Habari zenu wanajf wenzangu nina shida jamani eee Mungu wangu nisaidie niweze kueleweka nahitaji watu wenye moyo wa kujitoa wanisaidie jamani nipo karibu na mauti mimi.

Wapendwa nadaiwa pesa nyingi sana na bank na sijui wapi nitaweka sura yangu maana watu hawa wamechachamaa kweli mfukoni nina elfu 6500 tu jamani mimi nitaenda wapi natamani nijitoe uhai ila nawaza huko niendako itakuwaje nikikutana na moto wa jehanamu milele?

Wanajf nyie ndio tegemeo langu la mwisho naombeni mnisaidie deni linatakiwa kulipwa kabla mwezi kuisha la sivyo mimi nitahukumiwa jamani ohhh

Sina pa kukimbilia yeyote anayeweza kunisaidia kwa masharti yoyote nipo tayari ili mradi mimi niachane na hili deni jamani niishi kwa amani. Nahitaji watu 25 wakujitolea kila mmoja milioni moja nipate milioni 25 nilipe hii bank niishi kama watu wengine. Yeyote atakayenipa nitakua namlipa taratibu au anipe kazi yoyote nimfanyie bure na nitaifanya kwa akili na uwezo wangu wote.

Nisaidien jamani nawaomba Mungu atawaridishia mlipotoa.

I declare my interest ID hii ni mpya kwa sababu zisizozuilika.

Yeyote atakaeweza kunisaidia nipo tayari kuongozana nae hadi bank ili ahakikishe kweli ninadaiwa.

Story ya deni ilivyo
Pesa hizo ziliingizwa kimakosa kwenye akaunti yangu na bank yenyewe na mimi kwa vile nilikua nategemea pesa nikajua ndio zangu nikafanya nazo biashara na biashara yenyewe watu wamenidhulumu nimebaki sina kitu nifanyeje mimi na biashara ilikua haijasajiliwa sina haki hata ya kuwapeleka mbele ya sheria ninaowadai jamani nitakufa mimi dunia itaniua mimi
Chochote ulichonacho naomba mchango wako jamani nitafanyaje mimi sina hela nipo nipo tu natamani nikitembea gari linipitie nife hapohapo dah
 
Poleee, ID/Account umefungua usiku saa tatu, Huu uzi umeuandika usiku huu saa tisa kamili, ngoja tukusubr mpk asubu ukanushe au laaa.... pengne unaota au n haya masimu ya tecno umelilalia limeshafungua ID lenyewe likacopy mavitu kutoka FB au kweny Msg za kawaida likaingia Jf likapest lika post, maana inaonesha umepost tu n kama lijisaa limepita hukurud tena hewan, Au ndo umepata usingz? M mwenyewe sidaiwi wala sina stress zozote lakn nimekosa ka usingz sembuse mtu anaefikiria kufaaa?

Kama n kweli, Pole sanaaa kwan huna assets zozote zinazofka hio 25M Au kukaribia? Mda wa kulipa deni kwa hiari walikupa na umeshapita? umejarb kuongea nao kwa busara ukawaeleza nia yako ya kulipa? huwez huko huko bank ukafanya kaz bure kwa mda utakaofidia hilo deni?
M25 si haba kama huna hata mia na huna mzunguko wa kuipata, ila huwez ilinganisha na uhai wako dada, una uhakika wapo serious wanataka wakufunge?

Mana Hakuna watu wenye mikwara kwenye kudai kama bank, hata wakikukopesha au wakikuomba ukope wanakuletea vijidada vizurii vinawaka waka, sauti nyororo, ngozi chocolate,
Wakija kudai sasaaa.... Unaletewa njemba imefumuka usoo. Nyeusi tiii huku imevaa miwani inafunika mpk matundu ya pua, suruali kama pajama, chini bonge ya buti au raba kama za kangi, ikiingia inakua na mbwembwe mnasalimiana huku anazima switch huku anachomoa cable za tv, fridge n.k

Unasema atakae kusaidia utampa chochote atakachotaka,
My dear sister hicho chochote baadae inaweza iwe mthan zaid ya huu utaman ukakope tena bank hata mara mbili ya hio ulipe kuondokana na chochote,
Binafsi mimi na hvyo sina familia bd, ningetoroka kwanza nikaanze kuzisaka, Kama kuna watakachofanya huko nyuma poa tu, LAWAMA HAPEWI MBUZI, siku nazipata nawaletea kwa suprise uone kama watakusumbua,

Wazee tujifunze kitu hapa, usikubar kutoka kapa
Kila mstari nliousoma umenitoa machozi kwa kichekou make my day.
 
Back
Top Bottom