Nihurumieni mwenzenu nakufa

Nihurumieni mwenzenu nakufa

Swali: Kama hizo 25 ml.ziliingia kimakosa nawewe ukadhani ndo zile ulizokuwa ukizitazamia, je, zile ulizozitazamia mbona hautuletei mrejesho wake?
Ziko wapi, ulitarajia zitoke wapi ?
Jibu kwanza haya maswali ili wengine tuanze kuchambua. Tatizo mjini kila mtu tapeli, pesa kuitoa sasa mpaka ujiridhishe.
Sina utapeli jamani nihurumieni mwenzenu wananidhalilisha sana hii bank sina msaada
 
Yaani unawapangia kabisa kila mmoja atoe miliooo... Yaani milioooo kwa mtu tu. Usione hivi, humu kila mtu anashida zake.

Ungesema mtu kama anachochote achangie ungeshangaa mpaka mchana unazaidi ya milioo ya kuwapooza.
Hao wa kila mtu milioni nilimaanisha wanikopeshe nitawalipa kidogo kidogo au wanipe masharti yoyote nitafanya
 
Hizo ambazo ulitegemea ziingizwe na zo umeoeleka wapi?si ungelipa bank?aunuliwaona wajinga ukala na hizo nyingine,umekula milioni 50 halafu sisi tukulipie,wafuate wale makahaba ulikokaanao pale BAR YA TABATA.
sijala jamani ni story
 
Hiyo pesa uliyonayonayo anzisha biashara ya wanzuki na gongo mara moja mpaka mwezi unaisha utakuwa umerejesha laki moja-tano kwa kuwa wewe ni wakike unaweza ukautoa mwili wako kwa muda maalumu wakati huohuo unaofanya biashara ya gongo unakuwa "Multipurpose worker"
Asante kwa kunidhalilisha zaidi
 
Kwanini usitumie ID yako ya zamani hadi ufungue mpya?au ndio wale humu JF mnaomiliki Range,na Wenye mijengo Osterbay & Masaki na mishahara ml 5!!.
Unaficha ID halafu unatangaza Shida kipi cha maana kinahitajika kufichwa kati ya hivyo?

.Is your ID worth than 25 ml,which you are in quest for?.
 
Hiyo pesa uliyonayonayo anzisha biashara ya wanzuki na gongo mara moja mpaka mwezi unaisha utakuwa umerejesha laki moja-tano kwa kuwa wewe ni wakike unaweza ukautoa mwili wako kwa muda maalumu wakati huohuo unaofanya biashara ya gongo unakuwa "Multipurpose worker"
Asante kwa kunidhalilisha zaidi ila Mungu yupo
 
Acha hadithi za kitoto.
Maelezo yako haya shawishi kukusaidia.
RUDIATENA KUTUNGA HIYO HADITHI
Siyo hadithi jamani siwezi kuandika nikaeleweka kutokana na hali mbaya niliyonayo jamani naona dunia chungu bora nife tu jamani
 
Mimi sio tapeli jamani ila kila mtu ana maoni yake na ninayaheshimu hii story ni ndefu sijui nianzie wapi na niishie wapi hiyo milioni 25 haikuingizwa yote iliingizwa 12m na mimi nilikua na deni na hiyo bank so wamepiga mahesabu natakiwa kurudisha 25m mimi naipata wapi mwenzenu sina hata pa kuanzia jamani sina mali zozote zaidi ya fridge na godoro langu uwiii mimi
Watu wanauliza vipi kuhusu ile 25 mil ambayo iliitarajia kuingia kihalali.

Kitu pekee cha kufanya jitoe akili mtafute Diamond kila angle anzia nyumba yake ya mbezi mpaka ofisini kwake akosi kukupa hata 8 Mil, my advice sound craizy than damm.
 
Igawe kwa watu 50k wa jf kisha jibu utakalopata uombe wana jf wakusaidie jero jero hizo.
 
Hizo pesa ulikuwa unategemea ziingizwe kwenye akaunti yako ni za nini na zinaingia lini? Zisubiri hizo ziingie then wakate deni lao juu kwa juu. Halafu deni na kifo wapi na wapi? Hukumu ya deni ni kunyongwa siku hizi?
 
acha uongo fedha benki ikiingizwa kimakomakosa haiwezi ikakaa muda wote huo kwako na uifanyie biashara
 
Siku ukikitoa uhai na kufa utuambie tutatoa michango ya rambirambi lakini sio kulipa deni
 
Back
Top Bottom