Uchira 1
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 6,016
- 8,762
pia soma comment yake alotuma ka 35dk then utagundua zaidi anadai anaweza kulipa kwa mwezi watu 200 ambao atawarudishia 5000@ so ka ingekuwa hivyo sidhani hata ka angekuwa analialia hapa kihivyo, nadhani anajitafutia yake hapa na najua atapata, hawezi tudanganya kwa hesabu zake za kitoto hivyo eti kwa mwezi alipe watu 200 ambayo ni sawa na 1million anazipata wapi wakati hanahata kazi hana assetNinachohisi kuna mahali tunadanganywa ni kuwa, inakuwaje akopeshwe zaidi ya milioni kumi ilihali anasema mali anazomiliki ni fridge na godoro tu? Aliweka dhamana gani?