mdada mkiwa
Member
- Oct 9, 2018
- 44
- 63
- Thread starter
- #81
Nimeshauriwa kifuatacho na mdau kuhusu tatizo langu nami nalileta kwenu kuomba ushirikiano wenu wana Jf sina kwingine pa kukimbilia ni Mungu na huku Jf
Mdau amenishauri hivi:
Nipate wana Jf 5000 ambao wanweza kunichangia kila mmoja tsh 5000 ili nipate 25m nimalizane na hii bank.
Kila atakaenichangia nitamuandika then kila mwisho wa mwezi nitakua narudishia watu 200 walionichangia hizo elf 5000 hivyo ndani ya miezi 25 nitakua nimemrudishia kila mwana Jf pesa aliyonisaidia. Wana Jf naomba mnisaidie kwa hili bank wanataka pesa kabla mwezi haujaisha
Mnaweza kutafuta mtu wa kupokea hiyo michango na atakaethibitisha kweli ninadaiwa kwenye hiyo bank coz wengine mnaweza kuhisi mimi ni tapeli ila sivyo. Chochote kitakachopatikana hata leo naenda kupeleka bank ili kupunguza deni. Nisaidieni wapendwa sina pa kuanzia nimefiliska vilivyo
Mdau amenishauri hivi:
Nipate wana Jf 5000 ambao wanweza kunichangia kila mmoja tsh 5000 ili nipate 25m nimalizane na hii bank.
Kila atakaenichangia nitamuandika then kila mwisho wa mwezi nitakua narudishia watu 200 walionichangia hizo elf 5000 hivyo ndani ya miezi 25 nitakua nimemrudishia kila mwana Jf pesa aliyonisaidia. Wana Jf naomba mnisaidie kwa hili bank wanataka pesa kabla mwezi haujaisha
Mnaweza kutafuta mtu wa kupokea hiyo michango na atakaethibitisha kweli ninadaiwa kwenye hiyo bank coz wengine mnaweza kuhisi mimi ni tapeli ila sivyo. Chochote kitakachopatikana hata leo naenda kupeleka bank ili kupunguza deni. Nisaidieni wapendwa sina pa kuanzia nimefiliska vilivyo

