Nihamie wapi kati ya Arusha na Mbeya?

Nihamie wapi kati ya Arusha na Mbeya?

Mautarii??? Hehehe tumeshajua tunapoteza muda kumshauri mtu wa aina Gani
Siyo! Maana nina zaidi ya miaka 4. sijafanya kazi ya utalii, mimi ni jiko la shamba sichagui kuni, ili mradi fursa ya pesa..!
 
Ukitaka maisha kuvuta bange, kusokota dread au kuvaa kimasai ili ugonge vizee vya wazungu nenda Arusha. Ila uwe na mabega imara kwa ajiri ya kubeba mabegi yao na uhakikisha unaijua mitaa.
 
Mkuuu mbeya ingependeza zaidi .....naishi arusha nauelewa ule mji ni expensive kwa mabegginer kwahiyo haitakuchukua mda mpaka uwe tee mfukon .....ila mbeya na mwanza cheap sana na chances zimejaaaa kibao ni ww nakujiongeza tu ila arusha panakauzito sana
 
Naomba watu mnaofahamu vyema haya majiji mawili mnishauri kitu, natamani kubadili sehemu ya kuishi kwa miaka zaidi ya kumi niko Dar es Salaam.

Sasa naona ni muda wa kubadili makazi nina machaguo mawili Mbeya na Arusha hii ni miji miwili ninayoipenda sana, so please nishaurini.

Arusha naijua ingawa siyo sana, ila Mbeya sijawahi hata kufika huko, nataka nikaanze upya kabisa from zero Dar es Salaam imenichosha napambana sitoki better nichange mazingira.


PLEASE NISHAURI KAMA UNAFAHAMU VYEMA ENEO KWA MAANA YA FURSA ZILIZOPO NA UCHACHE/WINGI WA FURSA KWA KIJANA ANAYEANZA MAISHA.
Hamia pale ambapo una michongo na unajua utakachofanya ukifika
 
Mkuuu mbeya ingependeza zaidi .....naishi arusha nauelewa ule mji ni expensive kwa mabegginer kwahiyo haitakuchukua mda mpaka uwe tee mfukon .....ila mbeya na mwanza cheap sana na chances zimejaaaa kibao ni ww nakujiongeza tu ila arusha panakauzito sana
Asante!
 
Kuna fursa gani uko mkuu?
Ktk sekta ya tourism unataka kuajiriwa ama kujiajiri?

Km unataka kuajiriwa basi kuna kampuni nyingi tu za utalii ambazo utaweza pata nafasi za kuwa Dereva....uweze kuwaendesha wateja, guider wa wateja wanaohitaji huduma za kampuni yenu etc

Kujiajiri.
Ukiwa na mtaji utaweza fungua duka la kuuza vitu vya asili, waweza ukawa unaenda kwa wamasai waliopo vijijini unachukua bidhaa wanazotengeneza alafu unazileta mjini, ama unawaelekeza wakutengenezee vitu fulani kulingana na preference ya soko la mjini.
 
kwamaana hiyo Arusha ni sehemu wanayoishi wababe sana kama jamaa sio mkorofi awe ku-negotiate na hao wakorofi akajiepusha nao basi ata servive ...

Arusha ni sehemu nzuri sana mkuu. Hila maisha ni ghari sana sio sawa na mbeya
Ndio maana nikasema aende mbeya akajipange then akiwa na fedhe aje arusha.
 
Back
Top Bottom