Bob Kawari
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 1,231
- 1,623
Ikiwa dar pamekushinda bora uhamie mbeya, Arusha ni pagumu kutoka kwa miaka hii
Nitaenda capital ya 500k hivisema mtajii wako wa kuanzia ili tuweze kukusahauri
DohNitaenda capital ya 500k hivi
Why mbeya mkuu nisaidie kwanini mbeya n not arusha..!Kama unataka kutoka kimaisha na haraka nakushauri hamia mbeya
Kwanini mbeya?? Make nimesomea mautarii..!Popote kambi, komaa mwanaume...!
Ningeweza kukuambia MBEYA na MWANZA ingependeza zaidi....maisha yanafanana kimtindo na kuchomoka ni fasta!
Nyau wewe..Dah... Wanaume wanazidi kupungua tu 😀😀😀😀😀😀
Mimi nina kijiuzefu na issue za tourism..!Mbeya utatusua hata ukiwa goigoi. Arusha kunahitaji jitihada kwa sana lasivyo utasoma namba zaidi ya ulikotoka (Dar)
I know ila ujue pia competition ni kubwa mimi siyo mtu wa kuajiriwa mkuu!Fursa zote ziko Dar akili yako. Wanaume hawakimbii changamoto bali huzikabili
Mimi pia siyo boya kiivyoo..Arusha itakuchukua muda kutoka, ni mji wa wajanja sana. Maisha yako juu kwa kila nyanja.
Siyo sana...! Ila priorities ni mkwanja nina kijiuzoefu na tourismKama unatumia sana kilevi aina ya totoz uende Arusha, kuna rangi hatare, usije tu ukamtupa masapu.
Mkuu nishawishi why ARUSHA ingawa nina kijiuzoefu na utarii..Achana na Mbeya,nenda Arusha ukapate njia ya kutokea kwenye maisha.
Why mkuu??Njoo Mboka.
Ddm ama??Kaa kati kati