Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 3,891
- 5,953
Honestly sioni tatizo la mtoa mada kuleta hii taarifa humu ila ninachoshangaa ni hawa jamaa wanaolalamika kuhusu hii taarifa ambayo bila shaka ni waafrika weusi na haiwahusu hata kwa asilimia .0001, because it doesn't make any sense to hate unless you're stupid headed.
Wazungu, waarabu, waasia basically watu weupe wote hawana uhusiano wowote na waafrika weusi.
So haijalishi chochote kitakachotokea kwa hao wote kwa mwafrika hakina uhususiano wowote, it doesn't matter.
Dini zinawatia wazimu waafrika wakati wenye nchi na dini zao hata hawajali lakini waafrika huku wanalia na kupigana juu ya dini za mabwana zao. this is so pathetic. Islamic au Christianity ikitawala Europe na Amerika wewe mmatumbi huku kwenye bara la giza lililokushinda kwa umasikini inakugusa kivipi au nakuhusu nini na unalalamika na kuchukia kama nani?
Watu wanaojitambua tayari walishaacha kulialia juu ya mitazamo ya kidini bali wanawekeza kwenye future, lakini ona hawa watu humu?
Mimi sichukii wala kudharau dini ya mtu yoyote lakini siwezi kuamini hii JF home of great thinkers imejaa fanatics wa dini kiasi cha kuamini kwamba dini yangu ndio sahihi na nyingine ni fake kiasi cha kuweka chuki, this is some Adolf Hitler shit here. hawa watu hawana tofauti yoyote ni Nazis.
Fake ID na anonymous zinaonyesha na kufichua uhalisia wa mtu ndani kabisa ya nafsi yake, kumbe watanzania ni wanafiki kiasi hichi na wanachukiana namna hii?
Au ni wajinga wachache tu mostly waliokulia kwenye maisha ya chuki za kidini vijijini na hawajui uhalisia wa ulimwengu ulioanza kustaarabika, but I think the former is more correct.
Yaani inaniwia vigumu kuamini kwamba mpaka leo kuna watu wa aina hii Tanzania na JF kuna wajinga na fanatics kiasi hichi, na ndio maana siku zote nasema dini ikizidi inageuka ujinga sugu.
Look at these people?
Wazungu, waarabu, waasia basically watu weupe wote hawana uhusiano wowote na waafrika weusi.
So haijalishi chochote kitakachotokea kwa hao wote kwa mwafrika hakina uhususiano wowote, it doesn't matter.
Dini zinawatia wazimu waafrika wakati wenye nchi na dini zao hata hawajali lakini waafrika huku wanalia na kupigana juu ya dini za mabwana zao. this is so pathetic. Islamic au Christianity ikitawala Europe na Amerika wewe mmatumbi huku kwenye bara la giza lililokushinda kwa umasikini inakugusa kivipi au nakuhusu nini na unalalamika na kuchukia kama nani?
Watu wanaojitambua tayari walishaacha kulialia juu ya mitazamo ya kidini bali wanawekeza kwenye future, lakini ona hawa watu humu?
Mimi sichukii wala kudharau dini ya mtu yoyote lakini siwezi kuamini hii JF home of great thinkers imejaa fanatics wa dini kiasi cha kuamini kwamba dini yangu ndio sahihi na nyingine ni fake kiasi cha kuweka chuki, this is some Adolf Hitler shit here. hawa watu hawana tofauti yoyote ni Nazis.
Fake ID na anonymous zinaonyesha na kufichua uhalisia wa mtu ndani kabisa ya nafsi yake, kumbe watanzania ni wanafiki kiasi hichi na wanachukiana namna hii?
Au ni wajinga wachache tu mostly waliokulia kwenye maisha ya chuki za kidini vijijini na hawajui uhalisia wa ulimwengu ulioanza kustaarabika, but I think the former is more correct.
Yaani inaniwia vigumu kuamini kwamba mpaka leo kuna watu wa aina hii Tanzania na JF kuna wajinga na fanatics kiasi hichi, na ndio maana siku zote nasema dini ikizidi inageuka ujinga sugu.
Look at these people?